Naombeni ushauri, nimepigwa na butwaa

Naombeni ushauri, nimepigwa na butwaa

Kiukweli ni hakika kuwa maria ananipenda sana amekuwa mvumilifu ana sifa ya kuwa mama Watoto

ukweli utakuweka huru!!! Pima faida na hasara, mwambie mwanachuo ukweli juu ya mahusiano yako na Maria, hasa hiki nilichokinukuu.
Naamini Maria atashangaa akisikia juu ya mwanachuo. Fanya maamuzi ya hekima haraka.
Nasikitika kuona wadada wanavyohadaishwa, nasikitika sana utadhania wahusika kwenye hii issue ni dada zangu. Naona mwanzo wa kuwa na hidden mke along side public mke. Nimeumia aisee...
 
Wewe baki na huyo wa kusoma, Maria sio level yako tena, anahitaji a better person than you, wewe baki unauguza maumivu ya kumkosa Maria na pesa zake
 
Ushauri wangu,huyo maria mlengeshe kwangu.wewe endelea na msomi mwenzio wa college.
 
Nachoweza kukushauri ni kwamba usioe maana hujui mwanamke sahihi kwako ni yupi....

Subiri ukipata akili ndio uoe...
 
Acha usije kumharibia maisha wewe ushakuwa mtu wa michepuko.
 
nani anaweza game kwenye sita kwa sita kati yao?!
Kiukweli kbs siwez kukujibu swali lako kiundani lakini kwa kukudokeza tu ni kwamba wote me naona kawaida ingawa huyu wa chuo anayeeh sana
Ila sasa linapokuja suala la ndoa yote hayo mavigezo tunayatupa pemben tunataka mama bora
 
unapotaka kusonga mbele ama unaoa au unaolewa shetani ama malaika hukurudia,

shetani pale ambapo walokuacha hawapendi uwe na amani hivyo wakisikia una mtu wanakuwa na dhamira yakuharibu hivyo kukuomba mrudiane

malaika, pale ambapo uliacha mtu sahihi kwa uzembe wako akisikia unaoa au olewa anarudi ili mjenge maisha usipotee. chunga sana mtu aliyekuacha anataka kukurudia akisikia una mtu wengi wavurugaji tu
 
unapotaka kusonga mbele ama unaoa au unaolewa shetani ama malaika hukurudia,

shetani pale ambapo walokuacha hawapendi uwe na amani hivyo wakisikia una mtu wanakuwa na dhamira yakuharibu hivyo kukuomba mrudiane

malaika, pale ambapo uliacha mtu sahihi kwa uzembe wako akisikia unaoa au olewa anarudi ili mjenge maisha usipotee. chunga sana mtu aliyekuacha anataka kukurudia akisikia una mtu wengi wavurugaji tu
Asante sana ndugu mwa j
 
Huyu wa chuo na uhakika japo sio sana kuwa malezi aliyokulia ni ya dini sana anajiheshimu pia ila sidhan km anamfikia maria akili za maisha na ku care familia

Una moyo mmoja tu.
Kuondoa sifa za kuchakarika, akili za maisha na kila kitu.... Wewe moyo wako unampenda nani kimapenzi?
 
Tafadhal sana usiseme hivo nimeshuhudia kwa mara ya kwanza mwanamke nayenipenda akinambia ukwel kuhusu yeye maria ipo waz ananipenda sana
Huyu mtoto mpya nilienaye Dar ana niheshimu mnoo huwa ananibariki sana

We jamaa unanichekesha

Mtu akikomenti kuhusu maria
Unamtetea mwanafunzi wa chui

Mtu akikoment wa chuo pia
Unamtetea maria duuh

Mbavu zangu basi kama ni ivo tangaza ndoa kwa wote manake huna maamuzi ya kueleweka
 
  • Thanks
Reactions: nao
Hapana sio kweli ninachokipendea kwa maria sio pesa bali ni jinsi ana vo hustle kutwa kuzitafuta, hata hivo pesa aliyonayo sio kubwa sana ila kwa muda mfupi alioanza kazi na hasa ukiangalia ni mtoto wa kike kwa kwel ana hitaji pongezi.. Kama huku Dar ningepata mwanamke wa ajabu (sifa zao unazijua) nisingejiuliza mara mbili ningemchukua mtoto maria jumla ila ugumu ni kuwa hata huyu mtoto wa Dar anajitahid kunipenda na kunionyesha ana iman asilimia Mia kuwa akimaliza shule lzm nimuoe japo mipango yote sikuwah kumwmbia dadake naye tunaheshimiana nae anasema tufunge harus mapema atatusapot kimtindo

coment zako za ajabu sana wewe umeomba ushauli yupi uoe ktk ta wote sasa watu wanakushauli yupi sahihi unaanza kutetea mmoja naada ya mmoja ss unafikiri utafikua muafaka

Oa wote basi khaaaa
 
Kwahiyo wewe jamaa unatakaje Labda maana sikupati,kuna waliopendekeza oa Maria umesema unamwonea huruma mwanachuo kwakua anaheshima katulia naliomba usimtende haya wengine wamesema oa mwanachuo unasema akili Yake haijakua ama si mtafutaji kama Maria sasa usaidiwaje? Pendekezo langu waache wote mpaka pale utakapo kua kiakili nakujua nini unakitafuta kwa mwanamke ndo uoe sio hizi blah blah Mara huyu hivi Mara yule hivi unatuchosha bana.

Nimecheka saana haeleweki kabisa yan anamtetea kila mmoja wakat kaleta uzi apate ushauli lakini mgumu kama tako la mmasai kutaka kukaa wazi
 
  • Thanks
Reactions: nao
Huyu jamaa dramaboy
Maria sio level yako tena ulizembea
pia hujielewi maria atakupelekesha yeye ndo atakuwa kichwa cha familia
Ulishindwa kumtreat vzr b4 usitegemee mseleleko ukirudiana nae wafanyabiashara ni watu wenye akili saana

Nb mwanaume mzuri ni yule alie na maamuzi yakueleweka na anauwezo wa kusimamia maamuz yake

Sasa ww ndugu yangu common stand huna mala maria mchakalikaji or mara wa chuo ananieshimu simamia maamuz yako wa kiume wewe

NB WANYANTULU UNAWAJUA TABIA ZAO LAKINI VZR???,,,
 
Wewe Jamaa huna pesa ni choka. Unachotafuta ni unafuu. Haya nenda kwa Maria anayepewa msaada na mfanyabiashara mwenzake.
 
mbona hiyo Kauli Maria Ana pesa unapenda sana kuitumia? Isijekuwa hapo kwenye ''Maria anapesa' ndipo unapohitaji kuliko uhalisia wa Penzi lenyewe na Hata ndoa yenyewe
Wachuo nae asingekua anapewa hels sidhan ka angempenda.
 
mbona hiyo Kauli Maria Ana pesa unapenda sana kuitumia? Isijekuwa hapo kwenye ''Maria anapesa' ndipo unapohitaji kuliko uhalisia wa Penzi lenyewe na Hata ndoa yenyewe
Wala hana cha kumpenda Maria huyo anataka pesa na mwonekano wa Maria tu, mwanzo alimpuuza sasa kaona Maria ana vitu na amejua kuvaa eti roho inamuuma mwe!
 
  • Thanks
Reactions: nao

Similar Discussions

Back
Top Bottom