Unajua niache unafki maria ni mwanamke anayeweza kunisubiria hata maishaniSonga mbele acha kurudi nyuma
Kiukweli ni hakika kuwa maria ananipenda sana amekuwa mvumilifu ana sifa ya kuwa mama WatotoNipe namba ya maria nimpimie kama anafaa kuwa mke.
Hpn huyu mwanamke kalelewa vizur na mama yake ni tofauti na wasichana wengineMaria atakufaa,wanachuo vigeu geu apo tayar chuo ana mtu atakayemsaidia kitaaluma ambye atamgeda pia,na lazima awe ambaye atamspot financially ili kusolve boom prblm
Aliongea maneno yalionigusa nikawa sina jinsi hasira zote juu yake zikaisha alafu sasa iv kawa mkubwa kiakili anajua kupangilia maishaMimi ninachokiona kwako ni kwamba, kwa MARIA umeingiwa na moyo wa HURUMA ila huna MAPENZI ya dhati kwake!
Ukwel ndo hivo wote moyo wangu unawathaminiUkweli unajua mwenyewe
Maria nimemuonea huruma lakini nimekumbuka siku za nyuma jinsi tulivopendana kwa mda mrefu imenibidi nimpende tenaTayari ushaseme unampenda sana mwana college wako sasa tukushauri nini wakati maria unamuonea tu huruma lakini humpendi? Inamaana tukikushauri urudi kwa maria siku huruma itaisha utamuumiza tena mnyaturu wa watu we fuata Maisha yako upendavyo usituletee ngonjera hapa
Kama kweli unaomba ushauri na unamaanisha,
1. Futa mtazamo wa pesa za maria, mpende maria kama maria kwani maria anakupenda pia.
2. Muoe Maria haraka iwezekanavyo.
3. Huyu mwanachuo usimwambie kitu, punguza mawasiliano taratibu sana na muweke wazi maria juu ya mwanachuo.
Ndoa njema na usichepuke kamwe.
Kumbuka kuleta mrejesho.
Ahsante
Ndo maana nimesema binadam dunian hatujakamilika kwa kwel nilifanya kosa nadhani kipind hicho sijui wote tulikuwa hatujielewMij2 mingne bana...asa km huyo Maria alkua hajui kuvaa c ungemvsha apendeze ili naye awe kwny list ya kuvutia!!?
Na ole wako umuoe huyo wa chuo,utajuta maisha yako yote!!!
Kumbuka huyo wa chuo anakupenda na kukuheshm 7bu ya vjsent vyako na elewa watoto weng wa mjn wanapenda v2 vnavyoonekana lyk pesa,gar nk!!
Maria ana'nia nzur na fu2re yenu tena unatakiwa kumhesh na kumpenda sana Maria la cvyo utakuja kujutia k2 ambacho ktaumiza sana maisha yako!!
Take care n'Mungu akusaidie