Jina langu John na tena kila jpili naenda church alafu duh hata km dini ingeruhusu siwez kuishi na wanawake wawili na sbb kubwa ni kuwa na moyo mmoja hivo ni wajibu wangu kumiliki mmojaBora uwe na yule unayeyafahamu mapungufu yake (Maria)
Ila kwani ukiwaoa wote kuna tatizo gani sheikh?
Maria sio mchezo siku hizi me mwenyewe nilidata siku naenda kukutana nae hukoo tegeta aisee mtoto kawa shida niache uwongo nimempenda kwa mara nyingine na kumtaman mbayaabakia na wa chuo Maria mnipe mimi
Huo ni ubadhirifu pia, subira kutumbuliwaMaria sio mchezo siku hizi me mwenyewe nilidata siku naenda kukutana nae hukoo tegeta aisee mtoto kawa shida niache uwongo nimempenda kwa mara nyingine na kumtaman mbayaa We ntakutaftia mwingine hawa waache kwanza niseme nao nijue mwishowe
Hahahaha mkuu umenchekesha sana kwamba huu utawala mpya hadi sisi tunaohodhi wanawake wengi wengi dawa yetu bado ipo jikonHuo ni ubadhirifu pia, subira kutumbuliwa
Kama kweli unaomba ushauri na unamaanisha,
1. Futa mtazamo wa pesa za maria, mpende maria kama maria kwani maria anakupenda pia.
2. Muoe Maria haraka iwezekanavyo.
3. Huyu mwanachuo usimwambie kitu, punguza mawasiliano taratibu sana na muweke wazi maria juu ya mwanachuo.
Ndoa njema na usichepuke kamwe.
Kumbuka kuleta mrejesho.
Ahsante
Sasa umeshasema Maria kakiri alikusaliti kwa wafanyabiashara apo Naona unatafta magonywa wafanyabiashara hususan wa mipakan kama mbeya wanajulikana walivyomuamia na magonjwa yetu yale kutokana na muingiliano na nchi jiran pia fanya utaft ujue chanzo cha ela zake iskute kapewa mtaji na hao jamaa zake ..pili r a man acha kulialia fanya maamuzi. ...huyo wa chuo anaonekana yupo smart ila kuna msemo unasema ukisomesha mchumba ni hatari atamaliza atakukmbia japo si wote cha kufanya madam wa chuo upo nae karbu muweke ndani chap uakawze ni mawazo yangu si lazma uyachukue
Where ur ...mwanamke anaweza kua anachepuka na anakuonyesha mapenzi kuchepuka hakupunguzi mapenzi ni sawa na kusema mtu Ana mke na ana mchepuko hapunguzi mapenzi kwa mke wake labda kwa wachache wasiojua umuhimu wa mke...kwa hiyo yeye kuonyesha anakupenda ts just a feeling bt simuhukumu ila anaweza kua anaendelea nao...pia u mbali ktk mahusiano si mzuri umbali tunajua unasababshwa na kazi hatuna jinsi bt mtu uliyenaye karbu kwa stage ya uhusiano kabla ya ndoa unaweza kumsoma vzuri....bt huyo wa chuo kama ni wale wa kila club mpya ikifunguliwa wanajua adi tarehe ya uznduz na sku ya ladies free una hatari ...unaweza ikakubd umwage woteMawazo yako ni mazuri sana nadhani yamejaa hekima hata me nlifikiria sana kvp maria ameweza kuanza ujenz wa nyumba huko kijijin akati me hata kiwanja sina
Kwann mkuu? Watoto tumejaa sana humu ndani au?Masikini JF yangu inakufa sasa!!!
Kimsingi nataka nijue kama kumrudia maria na kumuacha huyu nilienaye ni sahihi kwa kuwa tu maria ananifaa kwamba mawazo yangu au labda nisijaribu kabla sijaja kujuta ni kwa nn nilimwacha mpenz wangu mpya ambaye ameonesha kunikolea sanaJitu hujui unataka nini halafu unataka tukushauri nini?
Ww endelea tu kurukaruka si umesomea sanaa?
Mda ukifika ndio utakuja kujuta.
Kimsingi nataka nijue kama kumrudia maria na kumuacha huyu nilienaye ni sahihi kwa kuwa tu maria ananifaa kwamba mawazo yangu au labda nisijaribu kabla sijaja kujuta ni kwa nn nilimwacha mpenz wangu mpya ambaye ameonesha kunikolea sana
Mbn easy sana kuelewa nashangaa wewe tu unajikuta hunipati
Kwann mkuu? Watoto tumejaa sana humu ndani au?