Sasa ishu inakua ngumu wapi huyu wa chuo ananipenda sana kila siku ananisisitizia nisije kumtenda kiukweli na yeye ametulia ingawa sio mtafutaji kama alivo maria.. Nashukuru mungu huyu wa chuo na ye huwa ana nidham na hela ananikumbushaga mambo muhim ya kufanya ili nipate maendeleo ni mshaur mzur tu