Naombeni mwaliko wa kesho

Karibu sana Maua 🌸

20240407_103605.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Hatuna mualiko watu wanakula pamoja , ukiona watu wanaenda kula wewe unga tela.

Hatuna mambo ya kadi kama wafungwa ,hata harusi zetu simple tu kishkaji ...Mambo ya maukumbi kama wakimbizi hatunaga .
 
kesho asubuhi na mapema tu naanza na supu ya kuku saaafi.

na kuku nachinja mwenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom