Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 950
- 2,866
Mwaliko uliombwa na Hayati Rais John Magufuli ulikubaliwa mwaka 2019 wakati wa COVID 19 ikashindikana Papa kuja Tanzania wala Rais Magufuli kwenda Vatican.
Nani aende Vatican baada ya kuondoka kwa Rais Magufuli!? jibu ni Mama. Je, atakwenda kujifunza injili ya Bwana wetu Yesu Kristo!? Je, ataibusu Pete ya Papa pale watakapokutana? Je, atakwenda kuutetea vipi mkataba wa DP World ambao umeingiwa na hauwezi kuvunjika?
Kwa doctrine ya TEC na majasusi wa Kanisa, Vatican ina majibu yote juu ya Tanzania, watataka kusikia majibu ya Mama na wao kufanya maamuzi yao! Diplomasia ipo kwenye Kipimo.
Nani aende Vatican baada ya kuondoka kwa Rais Magufuli!? jibu ni Mama. Je, atakwenda kujifunza injili ya Bwana wetu Yesu Kristo!? Je, ataibusu Pete ya Papa pale watakapokutana? Je, atakwenda kuutetea vipi mkataba wa DP World ambao umeingiwa na hauwezi kuvunjika?
Kwa doctrine ya TEC na majasusi wa Kanisa, Vatican ina majibu yote juu ya Tanzania, watataka kusikia majibu ya Mama na wao kufanya maamuzi yao! Diplomasia ipo kwenye Kipimo.