Naombeni msaada wenu kimawazo, pesa ama kazi ndugu zangu

Mkuu umewahi kuomba kwenye hizi kampuni za auditing? Au kampuni zingine related?

USHAURI WANGU
Kama unaweza pata mtaji hata wa 100k jaribu shughuli hizi ndogo ndogo ndogo wanaita shughuli za kijasiliamali uweze kwanza kupata ela ya kula na kulipa kodi, kwa sasa ondoa kabisaaaaa mawazo yakumiliki biashara kubwa kubwa target yako kwanza ni kuwa na uhakika wakula na kulipa kodi na vocha yakuingia JF kusoma nondo za GT,

Way back niliwahi kuishi kwa shughuli hizi na wateja unawapata mtandaoni trust me hukosi 10k faida kwa siku bila kuchoka
At least nimekutana na comment yenye akili
 
Unafanya kazi kwa siku unalipwa elfu 25, unaondoa matumizi na kubaki na elfu 14 lakini bado unaona haitoshi? Unaujua mshahara wa mwalimu kweli?

Una masihara na maisha wewe, unataka maisha mazuri ilhali kipato chako ni cha chini. Watu hampendi kuambiwa ukweli, najua hautonielewa.
 
Unafanya kazi kwa siku unalipwa elfu 25, unaondoa matumizi na kubaki na elfu 14 lakini bado unaona haitoshi? Unaujua mshahara wa mwalimu kweli?

Una masihara na maisha wewe, unataka maisha magumu ilhali kipato chako ni cha chini. Watu hampendi kuambiwa ukweli, najua hautonielewa.
Before nilitaka nimwambie ivoivo sema kwa anavoonekana hafanyi kazi apate mtaji ajitegemee anataka kazi yenye mshahara mkubwa aishi nao

Mfano kuna mtu kamwambia atafute security guard kwa mwezi 400k kakubali lakn 25k kwa siku anaona ndogo wakati 25,000×30 ni 750k kuna tatizo mahari kwenye hustle zake
 
Unajibu shortcut elezea unaagiza wapi Ali Express au Ali Baba? TOA maelezo ya kutosha umfungue jamaa apate ramani umekaa unajibu mstari mmoja wakati kule juu unanipiga unajaza paragraph mbili mpaka 3, unaagiza kwa nani unamtuma mtu una mtu una nini unafanyaje mzigo ukufikie au unaenda kuchukua kwa wachina wa K/koo? TOA ramani
Broh unatumia nguvu nyingi sana kujua biashara ninayofanya kwa kutumia wazo la mtoa uzi kamwe utabaki dilemma 🤣
We badala ya kumshauri mtoa mada nini cha kufanya unaanza kuwapiga vijembe wachangiaji we jamaa bure kabisa
 
Broh unatumia nguvu nyingi sana kujua biashara ninayofanya kwa kutumia wazo la mtoa uzi kamwe utabaki dilemma 🤣
We badala ya kumshauri mtoa mada nini cha kufanya unaanza kuwapiga vijembe wachangiaji we jamaa bure kabisa
Acha uchoyo
 
Hata idea ya biashara uliyonayo n mtaji Tosha wengine Wana mitaji lakini hawajui cha kufanya
 
Unafanya kazi kwa siku unalipwa elfu 25, unaondoa matumizi na kubaki na elfu 14 lakini bado unaona haitoshi? Unaujua mshahara wa mwalimu kweli?

Una masihara na maisha wewe, unataka maisha magumu ilhali kipato chako ni cha chini. Watu hampendi kuambiwa ukweli, najua hautonielewa.
Kasema iyo ela anaweza akaipata leo, halafu wiki kadhaa mbelee akawa hana uhakika wa kupata kazi ya kumuingizia hyo pesa, so hapo mambo lazma yataendelea kua magumu tuu
 
Before nilitaka nimwambie ivoivo sema kwa anavoonekana hafanyi kazi apate mtaji ajitegemee anataka kazi yenye mshahara mkubwa aishi nao

Mfano kuna mtu kamwambia atafute security guard kwa mwezi 400k kakubali lakn 25k kwa siku anaona ndogo wakati 25,000×30 ni 750k kuna tatizo mahari kwenye hustle zake
Iyo kazi inayompa iyo pesa ni Leo, then wiki kadhaa mbelee haipatii iyo kazi, so sio kama hivyo ulivyoandika hapo mkuu
 
Before nilitaka nimwambie ivoivo sema kwa anavoonekana hafanyi kazi apate mtaji ajitegemee anataka kazi yenye mshahara mkubwa aishi nao

Mfano kuna mtu kamwambia atafute security guard kwa mwezi 400k kakubali lakn 25k kwa siku anaona ndogo wakati 25,000×30 ni 750k kuna tatizo mahari kwenye hustle zake
Hata yeye mleta mada ana matatizo mkuu.
 
Sina stress Mzee hapa nipo napigwa na kiyoyozi,

Pole
kwanini una dharau watu wanaotaka kufanya kazi za ulinzi wakati wewe huwezi au hutaki kuwasaidia? Mtu kafanya hiyo kazi then kaacha now anafanya ishu ingine..unahoji kwanini aliacha? (hapa reasoning capacity yako inaleta ukakasi)
 
Hata yeye mleta mada ana matatizo mkuu.
Matatizo yako wapi, sema huwez kuzuia watu kukuchallenge ningepata hyo 25k kila siku nisingekuwa na haja ya kulalamikia malipo hayo Ila unapata hyo alaf unakaa muda Tena kuipata hyo au ambacho hukuelewa na kunifanya nionekane nna matatizo Ni nn, weka wazi matatizo hayo pengne ndo MSAADA wangu niliokuwa nausubir
 
Matatizo yako wapi, sema huwez kuzuia watu kukuchallenge ningepata hyo 25k kila siku nisingekuwa na haja ya kulalamikia malipo hayo Ila unapata hyo alaf unakaa muda Tena kuipata hyo au ambacho hukuelewa na kunifanya nionekane nna matatizo Ni nn, weka wazi matatizo hayo pengne ndo MSAADA wangu niliokuwa nausubir
Tagambaga lulu.
 
Nimefatilia michango mbalimbali ya wadau, lakini ngoja nikwambie kitu mtoa mada. Kwenye Aya maisha kabala ujafanya maamuzi angalia kwanza wewe mwenyewe unataka kufanya Nini. Kuna mchangiaji hapo juu ameongea Jambo zuri sana, ukiwa katika utafutaji usipende kutanguliza elimu katika Dunia hii, hivi unajua ni watu wangapi walioko mtaani na elimu kama Yako lakini hawana kazi?.

Fata ushauri wa mdau hapo juu, Nenda kwenye kama Gad world, SGA, G4S, usiende kwenye kampuni tofauti na hizo nilizokutajia, Peleka maombi endapo utachaguliwa kujiunga. Ukiwa katika hatua za mwisho kupangiwa sites mwambie kiongozi akupeleke Zanzibar Kuna siku utanishukuru, ukisikia kiongozi anasema wanaotaka kwenda zanzbar mwambie akuweke kwenye list.Ukipata nafasi ya kwenda Zanzbar ni poa sana maana kule site nyingi ni mahotel makubwa ya kitalii, kwaiyo unakaa Camp Bure, unakula Hotel NK. Pesa Yako unatunza, ukipambana mwaka mzima umepata mtaji. Wanao kwambia siju mshahara ni 120000. ni ungo kabisa, Zanzbar milinzi wa G4S, Gad world SGA analipwa Hadi laki 4 ukubali ukatae Mimi nilipita uko.

Kingine ni kwanini ukomalie Dsm tu?, Ni kwanini vijana wengi mkmaliza vyuo hamtaki kutoka kwenye Hilo jiji? Kama vipi badili mazingira njoo hata mikoani ucheki furusa nyingine, Fact ni kwamba jiji la Dar limeshabana Yani kutoboa ni kipengele kikubwa. Walio nacho wataendelea kuwa nacho na asie nacho anabaki patupu. Badili mtazamo Rudi Hata mkoa upambane. Kwani dar pekee ndo Kuna maisha tu? Yangu ni hayo ukiambiwa kitu changanywa na zako. Maisha hayana huruma, sio Kila mtu anakushauri hapa ana huruma na Wewe, mwambie basi hata uende kwakwe ukale ugali kama atakubari.
Yes yes yes
 
Unafanya kazi kwa siku unalipwa elfu 25, unaondoa matumizi na kubaki na elfu 14 lakini bado unaona haitoshi? Unaujua mshahara wa mwalimu kweli?

Una masihara na maisha wewe, unataka maisha mazuri ilhali kipato chako ni cha chini. Watu hampendi kuambiwa ukweli, najua hautonielewa.
Kwa kazi ya ukuli na mda anao utumia iyo ni hela ndogo
 
Unatumia 11,000 na unajua una hali ngumu?

Aisee maisha hayajakubana vizuri..

Karibu mtaani
 
Habari za muda huu ndugu zangu.
Napenda kuandika ujumbe huu kwenu kuomba MSAADA wa mawazo, pesa ama kazi.

Mm Ni kijana wa kiume( msukuma), mhitimu wa chuo, course ya bachelor of science in taxation(TRA tax officer). Nmemaliza mwaka huu Bado Niko hapa dar kuzunguka kujikwamua kiuchumi.

HISTORIA YANGU YA UTAFUTAJI.

° wakati nikiwa primary, secondary nilikuwa nafanya kazi za ujenzi, kubeba mizigo kwenye magodown, na nying sana za kufanana na hizo(kufupisha story)ili kulea familia yangu huku nikiendelea na masomo yangu, ambapo mzee wangu alikuwa mgonjwa so jukumu la kulea familia ya watoto sita ikawa kwangu.

° hivyo hivyo mpaka chuo nimefanya the same thing. Wakati wa chuo maisha hayakuwa magumu sana maana nilikuwa napata boom na huku napata pesa zangu binafsi kupitia kazi km hizo nilizofanya awali,

° kwa Sasa yamekuwa magumu mno, kazi hzo Tena zmekuwa ngumu mtaani nafanya Ila pesa haitoshi, ukipata Leo unakaa wiki hata tatu hamna kazi, ndipo nikaamua kwenda kariakoo kubeba mizigo kwenye ofisi za kusafirisha mizigo kazi niliipenda maana napenda kufanya kazi hata bila kulala huwa sioni shida kabsa, lakini malipo yake sikuweza kulidhika nayo ndipo nikaamua kuachana nayo maana nafanya kazi kutwa nzima naunganisha usiku mpaka asubuhi KIFUPI naamkia kazini nalala kazini lakin unalipwa 25 na hapo tumepiga kazi, nimekunywa maji, kula chakula unajikuta unarudi na elf 14 nyumbani ambapo siku inayofuata hamuendi wanaenda kikosi kingne ambacho kilikuwa kimepumzika wakati nyie mnafanya kazi, ile elf14 haiongozeki Tena unaitumia hyo siku ambayo unapumzika, Sasa inaniwia ugumi sana mpaka nmeamua kuachana nayo.

°nasema kipato hakitoshi walau hata kidogo kwakuwa nimepanga, nyumbani siwez kurudi kwa Sababu hakuna Cha maana Cha kufanya hatuna mifugo, mashamba Wala asset yoyote.

° kwa kipindi hiki nasaidiwa na mwanadada ambaye Ni mpenzi wangu ambaye naye maisha ya nyumbani kwao hatutofautiani na kwetu hivyo anazijua shida ( nimesoma naye darasa moja hapa chuoni), Ila yeye aliwahi kupata kazi lakin licha ya kunipush kidogo anachopata Kuna dalili zote kabsa za kuachana maana amebadilika sana, Sasa ananiweka kwenye wakati mgumu ndiyo maana namm nahitaji nipate kitu Cha kufanya niondokane na mawazo yasiyo ya msingi,

° Cha msingi nahitaji kazi yoyote hata kazi ngumu, ama za ofisini zote hizo nitafanya (ambazo nitafanya kila siku) nitafanya kwa bidii zote hakika.

° kwa upande wangu nataman sana nifungue ofisi yangu Yan tatizo Sina mtaji

°naomba KUSAIDIWA kwa yeyote atakayewiwa (Ila huwa sifanyi kazi siku ya jumamosi) namba ya simu Ni 0764847468

NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI

Kwa Ushauri wangu , Jaribu Digital marketing , Endelea na kazi huku ukiwa una jifunza digital marketing na ukisha pata wateja watano tu na contract zao za mwaka basi unauwezo wa kuachana na kazi, Pitia hii thread

SAFARI YA MAFANIKIO INAANZIA HAPA
 
Nyie wasukuma Magufuli aliwapa ajira sana, tena alikuwa na project maalum ya kuhakikisha wasukuma wote mnakuwa mnarun Tz, Asante Mungu,
Uzi wako nimesoma title mana title Inahusisha yaliyomo.
 
Back
Top Bottom