Naombeni msaada wa mawazo wadau.

Naombeni msaada wa mawazo wadau.

Masue 1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
696
Reaction score
1,223
Hope mpo pouwa kijana katika harakati za kutafuta maisha nimepangiwa kazi huku kigoma kama mhasibu na shirika fulani hivi la nje NGO's.. Ila lengo langu ni kusoma CPA (T) ila kwa kigoma hamna centre ni mpaka Tabora. Kwa wale wadau wa kigoma naombeni mbinu mliyoitumia na mimi November nipige pepa. Asanteni sana.
 
Tafuta mtu wa kubadilishana naye kwe magroup ya facebook
 
Hope mpo pouwa kijana katika harakati za kutafuta maisha nimepangiwa kazi huku kigoma kama mhasibu na shirika fulani hivi la nje NGO's.. Ila lengo langu ni kusoma CPA (T) ila kwa kigoma hamna centre ni mpaka Tabora. Kwa wale wadau wa kigoma naombeni mbinu mliyoitumia na mimi November nipige pepa. Asanteni sana.
Nazani unaweza kujisajili kama private ukafanya pepa, pia kuna centre zinaendesha online review classes check na convenant financial consultancy au cornerstone
 
Back
Top Bottom