TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 929
- 1,276
Habar wakuu,
Kwanza nikiri kuwa nepata wazo la kufanya hii biashara ya maharage ya kuchemsha kutoka humu humu kwa MSELA Q Beans, Ila sio dhambi, msela nimemtafuta kwa number yake ile ya watsap aliyoitoa lakini haipatikani.
Nimecheki inbox hajajibu, huenda Yuko bize, najua akiwa online atanichangia MAWAZO.
LENGO LANGU NIKUBORESHA
je kuna haja ya package?? Soko langu uswazI
Je, soko lake wadau likoje?
Je , nitumie usafiri kuwapitia uswaz, au nitege sehemu?
Je, kwa kipindi hichi nikianza itafaa au nisubiri maharage yashuke?
Je, mipimo cha robo kwa bei ya 1000, je nitapata wateja?
Wapi nitapata chimbo la maharage kwa bei rahisi?
Je, nifanyeje niweze kuepuka changamoto za Aina mbali mbali za maharage?
Na mengineyo ambayo mtanisaidia niweze kufikia malengo
NB: pia kama kuna mwana ambaye haoni aibu wala kujistukia,na yupo dar,karibu tushirikiane kwenye hii biashara, nategemea nitumie usafiri wa gari kuwafikia wateja.
Asanteni
UPENDO, IMANI,MIUJIZA
Kwanza nikiri kuwa nepata wazo la kufanya hii biashara ya maharage ya kuchemsha kutoka humu humu kwa MSELA Q Beans, Ila sio dhambi, msela nimemtafuta kwa number yake ile ya watsap aliyoitoa lakini haipatikani.
Nimecheki inbox hajajibu, huenda Yuko bize, najua akiwa online atanichangia MAWAZO.
LENGO LANGU NIKUBORESHA
je kuna haja ya package?? Soko langu uswazI
Je, soko lake wadau likoje?
Je , nitumie usafiri kuwapitia uswaz, au nitege sehemu?
Je, kwa kipindi hichi nikianza itafaa au nisubiri maharage yashuke?
Je, mipimo cha robo kwa bei ya 1000, je nitapata wateja?
Wapi nitapata chimbo la maharage kwa bei rahisi?
Je, nifanyeje niweze kuepuka changamoto za Aina mbali mbali za maharage?
Na mengineyo ambayo mtanisaidia niweze kufikia malengo
NB: pia kama kuna mwana ambaye haoni aibu wala kujistukia,na yupo dar,karibu tushirikiane kwenye hii biashara, nategemea nitumie usafiri wa gari kuwafikia wateja.
Asanteni
UPENDO, IMANI,MIUJIZA