Naombeni msaada wa kisheria kuhusu suala hili la upimaji wa ardhi

UMUNYU

JF-Expert Member
Jan 28, 2017
685
484
Mimi ni mhamiaji hapa Mbeya! Nimepapenda na ningependa kujenga japo kajumba kakuishi ila tatizo ni viwanja vya kupimwa bado ni tatizo! Ninafikiria kununua shamba halafu baada ya kukamilisha ununuzi niwafuate ardhi ili waje wanipimie!

Ninaomba ushauri wa kisheria kuhusu jambo hili. Je linakubalika au ndiyo gharama zaidi msaada wenu wadau!! Au kama watu wa ardhi wamo humu ninaomba ushauri!!
 
Mgeni Haruhusiwi Kumiliki Ardhi
Anza Kwanza UHAMIAJI TANZANIA
Kabla Hujaenda Ardhi
CC: UHAMIAJI TANZANIA
 
Nadhani "UHAMIAJI" wake umeuchukulia vibaya. Mi Mtanzania asie na asili ya Mbeya. Mleta mada nifuate inbox nikupe maelekezo namna ya kufanya ili ufanikiwe lengo lako.
Mgeni Haruhusiwi Kumiliki Ardhi
Anza Kwanza UHAMIAJI TANZANIA
Kabla Hujaenda Ardhi
CC: UHAMIAJI TANZANIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mgeni Haruhusiwi Kumiliki Ardhi
Anza Kwanza UHAMIAJI TANZANIA
Kabla Hujaenda Ardhi
CC: UHAMIAJI TANZANIA
Nashukuru kwa ushauri wako!Hao unaowaita UHAMIAJI TANZANIA nimeshaonana nao ila walinijibu tofauti na uelewa wako!Walisema wao wanahusika na wahamiaji toka nje ya Tanzania.Sisi ambao tunahama mikoa na kuwa wahamiaji ndani ya mikoa jirani hawatuhusu!
 
Nadhani "UHAMIAJI" wake umeuchukulia vibaya. Mi Mtanzania asie na asili ya Mbeya. Mleta mada nifuate inbox nikupe maelekezo namna ya kufanya ili ufanikiwe lengo lako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushukuru sana kwa kumfafanulia vizuri!Hilo ndilo tatizo letu watanzania mara nyingi tunachukulia mambo kwa upande mmoja halafu tunafikia mkataa!
 
Maelekezo huwa tusnapeana hapa jukwaani kwa faida ya wengine.
KWASASA serikali ina mpango uitwao upinsji shirikishi, unatafuta majirani kusbzia 10 na kuendelea, mnawaita ma afiss ardhi kuja kutoa elimu na baada ya hapo mtachangia 250,000 kwa kila kiwanja kwa ajili ya upimaji.
Japo hivi karibuni Waziri alitsngaza bei mpya ya 150k sijui kama imeanza kutumika.
Njia ya pili ni kununua karibu na watu waliopimiwa, hii itakuwa nafuu sana kupimiwa kwani ramani ysko itaunganishwa kwa wale waliopimiwa.
Ukiwa peke yako mbali na waliopimiwa tumia njiabya kwanza hapo juu vinginevyo utalipa gharama kubwa sawa na mtu anayevuta umeme kwa nguzo nyingi
Nadhani "UHAMIAJI" wake umeuchukulia vibaya. Mi Mtanzania asie na asili ya Mbeya. Mleta mada nifuate inbox nikupe maelekezo namna ya kufanya ili ufanikiwe lengo lako.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakushukuru sana kwa kumfafanulia vizuri!Hilo ndilo tatizo letu watanzania mara nyingi tunachukulia mambo kwa upande mmoja halafu tunafikia mkataa!
Maelekezo huwa tusnapeana hapa jukwaani kwa faida ya wengine.
KWASASA serikali ina mpango uitwao upinsji shirikishi, unatafuta majirani kusbzia 10 na kuendelea, mnawaita ma afiss ardhi kuja kutoa elimu na baada ya hapo mtachangia 250,000 kwa kila kiwanja kwa ajili ya upimaji.
Japo hivi karibuni Waziri alitsngaza bei mpya ya 150k sijui kama imeanza kutumika.
Njia ya pili ni kununua karibu na watu waliopimiwa, hii itakuwa nafuu sana kupimiwa kwani ramani ysko itaunganishwa kwa wale waliopimiwa.
Ukiwa peke yako mbali na waliopimiwa tumia njiabya kwanza hapo juu vinginevyo utalipa gharama kubwa sawa na mtu anayevuta umeme kwa nguzo nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maelekezo huwa tusnapeana hapa jukwaani kwa faida ya wengine.
KWASASA serikali ina mpango uitwao upinsji shirikishi, unatafuta majirani kusbzia 10 na kuendelea, mnawaita ma afiss ardhi kuja kutoa elimu na baada ya hapo mtachangia 250,000 kwa kila kiwanja kwa ajili ya upimaji.
Japo hivi karibuni Waziri alitsngaza bei mpya ya 150k sijui kama imeanza kutumika.
Njia ya pili ni kununua karibu na watu waliopimiwa, hii itakuwa nafuu sana kupimiwa kwani ramani ysko itaunganishwa kwa wale waliopimiwa.
Ukiwa peke yako mbali na waliopimiwa tumia njiabya kwanza hapo juu vinginevyo utalipa gharama kubwa sawa na mtu anayevuta umeme kwa nguzo nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemjibu kwa upole...hongera
Nashukuru kwa ushauri wako!Hao unaowaita UHAMIAJI TANZANIA nimeshaonana nao ila walinijibu tofauti na uelewa wako!Walisema wao wanahusika na wahamiaji toka nje ya Tanzania.Sisi ambao tunahama mikoa na kuwa wahamiaji ndani ya mikoa jirani hawatuhusu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maelekezo huwa tusnapeana hapa jukwaani kwa faida ya wengine.
KWASASA serikali ina mpango uitwao upinsji shirikishi, unatafuta majirani kusbzia 10 na kuendelea, mnawaita ma afiss ardhi kuja kutoa elimu na baada ya hapo mtachangia 250,000 kwa kila kiwanja kwa ajili ya upimaji.
Japo hivi karibuni Waziri alitsngaza bei mpya ya 150k sijui kama imeanza kutumika.
Njia ya pili ni kununua karibu na watu waliopimiwa, hii itakuwa nafuu sana kupimiwa kwani ramani ysko itaunganishwa kwa wale waliopimiwa.
Ukiwa peke yako mbali na waliopimiwa tumia njiabya kwanza hapo juu vinginevyo utalipa gharama kubwa sawa na mtu anayevuta umeme kwa nguzo nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepata eneo lakini gharama yote ya kupimiwa hadi kupewa hati nimeambiwa shilingi milioni tatu na laki mbili,yaani hadi nimwchoka kaeneo kenyewe ni robo heka!!!
 
Hii inamaanisha uko mbali na waliopimiwa, hiyo gharama ni sawa.
Hebu jaribu kushawishi jirani zako mpimiwe pamoja.
Utapima kwa gharama nafuu
Nimepata eneo lakini gharama yote ya kupimiwa hadi kupewa hati nimeambiwa shilingi milioni tatu na laki mbili,yaani hadi nimwchoka kaeneo kenyewe ni robo heka!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom