Naombeni msaada, Rafiki yangu anaangamia

Naombeni msaada, Rafiki yangu anaangamia

Ushauri wangu ni huu
Kama ndoa hio haijawahi pitia sehemu yoyote ile kwa ajili ya usuluhisho..moja kwa moja ikaenda mahakamani haiwezwi kuvunjwa labda mahakama iamue kuwa separation lakini ndoa inaendelea kuwepo.

Kwa mujibu wa Law of marriage act Matrimonial properties ni mali ambazo zilipatikana kipindi mume na mke wanaishi pamoja, kama zilipatikana kabla haiwezi kuwa mali ya mume na mke itakuwa ni mali ya mtu 1. Japo ndani ya ndoa pia huwa kuna haki ya kila mtu kuwa na kitu cha peke yake ata kama wapo ndani ya ndoa.

Hakuna sheria ya 50 kwa 50 kwenye kugawana mali maana watu wengi sana wamekuwa wanaongea hili.

Sijaona ground nzuri ya uyo mwanamke kwenda mahakamani kudai taraka, asiongope ajipange vizuri atafuke wakili mzuri


Best lucky
 
Kaoa kwa kupitia dini gani?kama ni kwa Wakristo akatae kutoa taraka kama ni kwa Waislam kuna sheria anapewa 1 ya nne
Labda ungekiquote hapa hicho kifungu cha sharia maana nachelea ukachanganya na sharia ya mirathi Qur'an 4:12 inayoeleza mke kurithi robo ya mali ya marehem mumewe!

Ikumbukwe ndoa ktk uislam inaleta mambo makuu matatu tu ambayo ni;

1. Kuhalalisha tendo la ndoa
2. Kuhalalisha nasaba, na
3. Kuhalalisha mirathi

Wala haileti umiliki wa mali baina ya wenza/wanandoa hawa. Ispokuwa ktk kila jambo la kiuchumi wanalolifanya ni muhimu kila mmoja kujua sehem yake ktk chumo jumla.

Mfano, mke anapowekwa ktk duka la mumewe alilolikuta kwa ajili ya kuuza ni muhimu sana afaham/afahamishwe wazi kabla kwamba;

1. Anajitolea kama ihsani tu kwa maana bila malipo,
2. Anaajiriwa, au
3. Ni mwekezaji mwenza/mshirika (shareholder) na hisa yake ni sehem gani ya mali, kwa maana anakuwa mshirika kwa vile ushirika unaweza kuhusisha mshirika anayetoa utaalam tu (kama hivyo kukaa dukani na kuuza) na mwingine akatoa fedha.
 
Labda ungekiquote hapa hicho kifungu cha sharia maana nachelea ukachanganya na sharia ya mirathi Qur'an 4:12 inayoeleza mke kurithi robo ya mali ya marehem mumewe!
Ikumbukwe ndoa ktk uislam inaleta mambo makuu matatu tu ambayo ni;
1. Kuhalalisha tendo la ndoa
2. Kuhalalisha nasaba, na
3. Kuhalalisha mirathi
Wala haileti umiliki wa mali baina ya wenza/wanandoa hawa. Ispokuwa ktk kila jambo la kiuchumi wanalolifanya ni muhimu kila mmoja kujua sehem yake ktk chumo jumla.
Mfano, mwanamke anapowekwa ktk duka la mumewe alilolikuta inapaswa ifahamike wazi kwamba;
1. Anajitolea kama ihsani kwa maana bila malipo
2. Anaajiriwa kwa malipo fulani
3. Ni mwekezaji mwenza/mshirika/shareholder na hisa yake ni sehem gani ya mali, kwa maana anakuwa mshirika kwa vile ushirika unaweza kuhusisha mshirika anayetoa utaalam tu (kama hivyo kukaa dukani na kuuza) na mwingine akatoa fedha.
OK Asante
 
Sasa umeshakufa wakiamua wawapige chini watoto wako utawafanya nini?

Watoto wa mama yako ndugu zako wakisema Mali za mama yao unahisi wanao watapata urithi wao?

Umeandika kwa ujasiri ukajiona mjanja kumbe umepotea.....mzee ukishaoa na ukapata watoto no way out muamini tu mkeo muoneshe kila unachomiliki hata akiichoka ndoa akitaka mgawane mpe ni mama watoto wako pengine atakiendeleza ulichompa then watoto wako wakanufaika.

NB: Nenda kabadilishe hilo jina la marehemu mama yako mapema kabla hujafa hakuna ndugu atakayewapenda na kuwahudumia watoto wako 100% kukuzidi wewe na mkeo
Mali zangu alizonikuta nazo hata wakifaidi ndugu zangu haina shida.
Si ndugu zangu!!
Za watoto nawatafutia zao na ninaandika kila mmoja jina lake.
Mkuu, mnachosahau ni kuwa tupo kwenye zama za wanawake kutafuta kuchuma mali kupitia ndoa.
Kama una Mali zako binafsi unahitaji muda wa kumtrust unayedhani ni mwandani wako kabla hujakabidhi kila kitu.
Aafu, sio wote tuna mke mmoja mkuu.
 
Mfate Pm msaidie.Anatia huruma sana
Juzi ofisini kwetu dada wakazi alikuwa anamali zake kabla ya kuoana na kilaza fulani baada ya mume wake kuwa na hawara nje akaenda akaomba talaka na mahakama ili muamuru yule mama wagawane mali zote pasu kwa pasu yule mama kagoma kuhangaika kwa muda mrefu ila hakushinda.
Kwa maana yule mama ndiye aliyekuwa na mali nyingi kushinda mumewe huyo basi wakauza kila kitu hadi nyumba wakagawana pasu kwa pasu hadi huruma ila kuna maujanja ya kufanikisha kesi hiyo ila kwangu mimi naogopa kusema hapa nisije nikaletewa noma .
 
Huyo mke kwani ana documents zote za hayo mashamba na Mali ili aweze kuclaim zao?
Ndio maana hutakiwi kumuonesha kila kitu chako mke Kama kakukuta navyo.
Ndugu zako wanatosha kuwaonesha.

Mwenzenu mashamba yangu yote nimeandika jina la mama yangu.
Hata kama alishakufa lakini ndio hivyo tena.
Na hayajui hata yalipo Ila ndugu zangu wanayajua.
Na nilishawaambia, nikifa Mali zangu ni za wanangu popote walipo.
Mkuu unaishi na mke au adui yako?
 
Msaidie baharia mama
The law says that married spouses must equally divide all of the property that the couple gained during marriage. It doesn't matter who paid for what, or whose name is on the deed for the property. Remember that the matrimonial home is divided equally even if someone owned it before the couple got married.
 
The law says that married spouses must equally divide all of the property that the couple gained during marriage. It doesn't matter who paid for what, or whose name is on the deed for the property. Remember that the matrimonial home is divided equally even if someone owned it before the couple got married
 
Hata hivyo tumesikia upande mmoja, hatujasikia upande wa dada
 
Agome kumpa talaka.....ila sheria zipo wazi.....amtafute mwanasheria atamsaidia......hilo sio tatizo kabisa...akomae....
 
The law says that married spouses must equally divide all of the property that the couple gained during marriage. It doesn't matter who paid for what, or whose name is on the deed for the property. Remember that the matrimonial home is divided equally even if someone owned it before the couple got married
hapana, kama una udhibitisho ulio dhabiti, hakika alizokukuta nazo hapati kabisa.......sheria iko vaisi vesa...
 
1. 50/50 sio automatic. Lazima anedai 50/50 aiobeshe mahakama mchango wake katika hizo mali "MACHUMO YA NDOA". Mali za urithi, mali personal, hususani ambazo spouse amezikuta, HAZIGAWANYWI.
2. Mahakama pia itaangalia Demeanor ya upande unaodai talaka au mgawanyo wa mali, akionesha UJINGA basi mahakama inaweza ikamuumizia hapo.

So, in summary:
- Contribution (proof)
- Demeanor.

Zipo decided cases Kwenye hili, unfortunately sipo nazo kwa hapa.
 
Pole yake mwamba.

Same story kuna jamaa alisomesha mke baadaye mke akapata kajamaa chuo akawa anakalisha kabisa.

Mume akamaindi mke akaenda mahakaman kudai talaka ili awe huru na kajamaa kake wakati huo mke alikuwa amepata ajira na amezaa mtoto mmoja kwa mumewe.


Mahakama haikuona sababu za msingi za kuachana mwisho ikaamua mali walizochuma pamoja zitakuwa za mtoto.


Mtoto ni wa kiume hataki kuishi na mama anahitaji baba.


Mke akaondoka zake kwa kajamaa kake.


MUME NA MKE ni WAZALIWA WA KUSINI MAshariki.


MUME JEURI NA ANAAPA HATAKUFA KWA PRESHA akaamuua aoe kusini kinda la 20yrs anatoka kitambi sasa.


MKE X ANAANZA KUTEMBEA KUWASABAHI MAJIRANI aishipo mume x.



Mama zetu usipowaelewa jua ndo umewaelwa.
 
Awe makini sana na kitu kinaitwa sheria na mahakama pale akifeli kidogo tu panga linatembea!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom