Naombeni msaada, Rafiki yangu anaangamia

Naombeni msaada, Rafiki yangu anaangamia

Huyo mke kwani ana documents zote za hayo mashamba na Mali ili aweze kuclaim zao?
Ndio maana hutakiwi kumuonesha kila kitu chako mke Kama kakukuta navyo.
Ndugu zako wanatosha kuwaonesha.

Mwenzenu mashamba yangu yote nimeandika jina la mama yangu.
Hata kama alishakufa lakini ndio hivyo tena.
Na hayajui hata yalipo Ila ndugu zangu wanayajua.
Na nilishawaambia, nikifa Mali zangu ni za wanangu popote walipo.
Sasa umeshakufa wakiamua wawapige chini watoto wako utawafanya nini?

Watoto wa mama yako ndugu zako wakisema Mali za mama yao unahisi wanao watapata urithi wao?

Umeandika kwa ujasiri ukajiona mjanja kumbe umepotea.....mzee ukishaoa na ukapata watoto no way out muamini tu mkeo muoneshe kila unachomiliki hata akiichoka ndoa akitaka mgawane mpe ni mama watoto wako pengine atakiendeleza ulichompa then watoto wako wakanufaika.

NB: Nenda kabadilishe hilo jina la marehemu mama yako mapema kabla hujafa hakuna ndugu atakayewapenda na kuwahudumia watoto wako 100% kukuzidi wewe na mkeo
 
Duh, mpe pole zake.

Ndo maana naipenda saana dini yangu, haianaga shobo kwenye mambo kama haya.
 
Tukiwaambia mwanamke anayetakiwa kuolewa ni bikra tu unaleta povu!ona sasa X anavyochomoa berti
 
mnavyomuhurumia mpaka mnatia huruma

Hakuna X wake wala nini huyo kaka atakuwa mnyanyasaji kisa anajiona anatumali.
Tungesikia huyo mke ana sababu gani mpka anadai talaka....
Toa msaada kwa kile kilichoandikwa na usielezee unayoyajua wewe....
 
Ni Sheri tu hapo inaamua Ila jamaa agome kutoa talaka na akifika mahakamani aeleze sababu ya mkewe kutaka talaka, mahakama inaweza tupilia mbali madai hayo
Watawekeana sumu..... Ampe na wagawane tu atatafuta vingine
 
Sasa umeshakufa wakiamua wawapige chini watoto wako utawafanya nini?

Watoto wa mama yako ndugu zako wakisema Mali za mama yao unahisi wanao watapata urithi wao?

Umeandika kwa ujasiri ukajiona mjanja kumbe umepotea.....mzee ukishaoa na ukapata watoto no way out muamini tu mkeo muoneshe kila unachomiliki hata akiichoka ndoa akitaka mgawane mpe ni mama watoto wako pengine atakiendeleza ulichompa then watoto wako wakanufaika.

NB: Nenda kabadilishe hilo jina la marehemu mama yako mapema kabla hujafa hakuna ndugu atakayewapenda na kuwahudumia watoto wako 100% kukuzidi wewe na mkeo
[/QUOT.
. Bora umemwambia ukweli uyo anajiona mjanja kumbe zero Kabisa mama kashakufa mashngazi na Baba wadogo ndo watawasumbua watoto.
 
Kaoa kwa kupitia dini gani?kama ni kwa Wakristo akatae kutoa taraka kama ni kwa Waislam kuna sheria anapewa 1 ya nne
Katika uislam hamna kugawana mali mkiachana. Mali ya mke ni ya mke, mume hana haki nayo bila ruhusa ya mke. Na mali ya mume ni ya mume mke hana haki nayo. Labda mmoja anapokufa ndie mwenzake anaweza kumrithi kwa kiwango maalum ambacho tayari kimewekwa ktk Qur an.
 
Hapa ndo nimepata JIBU KWA NINI WANAWAKE WANAULIWAGA NA KUCHOMWA MOTOOO...!!

Mpe pole sana Jamaa ako na Mpe hongeraa kwa Kuwa na moyo wa ujasiri wa kuvumilia Ufuska wa namna hiyoo ila mimi naapa Ningejua hiyo ndo Mbinu yakee nasemaa ASINGEKUWA HAIIII...NASEMA ASINGEKUWA HAIII
 
Huyo mke kwani ana documents zote za hayo mashamba na Mali ili aweze kuclaim zao?
Ndio maana hutakiwi kumuonesha kila kitu chako mke Kama kakukuta navyo.
Ndugu zako wanatosha kuwaonesha.

Mwenzenu mashamba yangu yote nimeandika jina la mama yangu.
Hata kama alishakufa lakini ndio hivyo tena.
Na hayajui hata yalipo Ila ndugu zangu wanayajua.
Na nilishawaambia, nikifa Mali zangu ni za wanangu popote walipo.
Si umeandika jina la Mama yako ndugu zako ndo warithi...!! Wajukuu hawawezi rithi mali za bibii
 
Umepotea ndugu... Hivi malalamiko yote ya ndugu kudhulumu mali za marehemu kaka yao hujasikia?
Hebu acha mawazo ya kuamini ndugu, watoto wako watateseka bro Ukitangulia mapema. Ungekuwa unaweza kuona usingeamini kinachotokea, hilo lenye jina la Mama yako warithi ni ndugu zako na sio watoto wako.

Utawadhulumu bure watoto wako kwa kujifanya unamficha mkeo.
Kabisa mkuu umemalizaa
 
Katika uislam hamna kugawana mali mkiachana. Mali ya mke ni ya mke, mume hana haki nayo bila ruhusa ya mke. Na mali ya mume ni ya mume mke hana haki nayo. Labda mmoja anapokufa ndie mwenzake anaweza kumrithi kwa kiwango maalum ambacho tayari kimewekwa ktk Qur an.
OK Asante kwa ufafanuzi
 
Juzi ofisini kwetu dada wakazi alikuwa anamali zake kabla ya kuoana na kilaza fulani baada ya mume wake kuwa na hawara nje akaenda akaomba talaka na mahakama ili muamuru yule mama wagawane mali zote pasu kwa pasu yule mama kagoma kuhangaika kwa muda mrefu ila hakushinda.
Kwa maana yule mama ndiye aliyekuwa na mali nyingi kushinda mumewe huyo basi wakauza kila kitu hadi nyumba wakagawana pasu kwa pasu hadi huruma ila kuna maujanja ya kufanikisha kesi hiyo ila kwangu mimi naogopa kusema hapa nisije nikaletewa noma .
Ni pm ili nijifunze kabla hayajanitokea niwe nimeshachukua mbinu za kujikwamua Mama
 
Huyo x wake atampiga chini asubuhi sana, kabla jogoo hajawika. Hawa wanawake wakukutana nao barabarani ni shida sana, ukitaka kuoa study family history, wakoje kwao itakusaidia kufanya muamuzi sahihi. Wanawake wengi sasa hivi ni wajasiliamali kuchoma toka kwa Waume waende Lee na maisha yao , siyo waolewaji. Huyo x wake akipata habari hakuna ndoa tena. Huyo jamaa awake camera kwenye nyumba wakati anapiga pumbu arecord siku ya siku arushe kwa x wake huyo.
Fullfiledtruth 100% √
 
Sheria ndivyo inavyosema.

Nyongeza: Kama mke/mme alikukuta una mali fulani na mkaiboresha kwa pamoja basi na yenyewe inajumuishwa kwenye mali zinazotakiwa kugawanywa.


Screenshot_20190919-130514.jpeg




Unforgetable
 

Attachments

Huyo mwanamke si anataka kwenda kudanga? Mwambie atowe upuuzi sheria ya ndoa iko wazi watagawana walivyo chuma wote.

THE LAW OF MARRIAGE ACT [CAP 29 R.E. 2002], section 114(1),(2 a-d),(3) a some vizuri Hiki kifungu na kukielewa.

Nb: ukipata nafasi ya kuongea na shemela wako anaeenda kudanga, mwambie awe makini, watu wanaoishi njee (sio wote jamani) wengi wao waliosomea maneno matamu, at first lakini, asitegemee kuhudumiwa maana wengi wao (sio wote jamani) walizoea kupewa hela. na wanawake wa kizungu. Pia umwambie nimesema hivi laana ya kuwa alishawahi kuolewa akatoka kisa anaenda kudanga itamuandama mpaka kifo .mwisho umwambie luckyline kasema hakuna mwanaume mpumbavu atakaeoa mwanamke ambae kwa tamaa zake za kipuuzi kamuacha Mme wake ndani kaja kwake, anajua kuna siku nae ataachwa, kwa sasa atamgegeda tu ila hakuna future hapo.( maneno yangu sio sheria).
Nakupenda sana jinsi unavyobadilikaga kwa hoja nzuri bila kuwa na mihemuko ya chuki kwa upande wowote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom