Hapo ni busara tu itumike,cha kujifunza ukishakuwa na mali nyingi unatakiwa pia usiwe mwepesi wa kutoa talaka.....atakama utamfumania mwenzako tafuta njia nyingine hata ya kutokushirikiana naye tendo huku ukijua unafanya nini.Vinginevyo,kama una mali na unadai talaka uwe tayari kugawana mali,na kama una mali ila upande wa mwenzako ndio unadai talaka....unaweza kukataa au kama anataka aondoke,aondoke jinsi alivyo...ila wewe utabaki kusema bado unampenda; kwa sababu unajua kusudi lake ni kutaka mali tu.Inabidi utumie akili sana lasivyo uchumi wako utayumbishwa na kunyanyuka itachukua muda au usinyanyuke kabisa.