Naombeni msaada kwenye picha hii

Naombeni msaada kwenye picha hii

Siri yangu

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2023
Posts
1,847
Reaction score
3,746
45835.jpg

Wakuu Samahanini kwenye hii picha nimeitoa kwenye ukurasa wa ofisi ya waziri mkuu wakisema kuwa picha hii ni vijana waliokuwa wanaagwa na kwenda kufanya kazi ya boda boda huko UAE ama falme za kiarabu .

Swali: Hawa kweli ni vijana wanaoenda kuendesha boda boda uarabuni na je ni kweli uarabuni kuna uhitaji wa bodaboda na je biashara hii inalipa sana huko?
 
View attachment 3534824
Wakuu Samahanini kwenye hii picha nimeitwa kwenye ukurasa wa ofisi ya waziri mkuu akisema kuwa picha hii ni vijana waliokuwa wanagwa na kwenda kufanya kazi ya boda boda huko UAE ama falme za kiarabu .

Swali: Hawa kweli ni vijana wanaoenda kuendesha boda boda uarabuni na je ni kweli uarabuni kuna uhitaji wa bodaboda na je biashara hii inalipa sana huko?

Ukiangalia idadi yao wengi wao ni wanawake ambao wanakwenda huko kuwa watumwa wa kufanya kazi za ndani za uboi kwa mateso sana!! Wengine huko hudhalilishwa na hawa waarabu mpaka kuwalazimisha kuingiliwa na mbwa kwa ujira kiduchu wanaopata!!
Ni serikali mufilisi inayodhani kupeleka nguvu kazi yake Uarabuni inatatua tatizo la ajira nchini mwao!! Kuwa na uongozi wenye vision ndio suluhisho la matatizo ya ajira nchini. Kuwapeleka vijana Uarabuni ni sawa na kufanya biashara ya kuwauza binadamu kama watumwa!! No difference at all.
 
Wakuu Samahanini kwenye hii picha nimeitwa kwenye ukurasa wa ofisi ya waziri mkuu akisema kuwa picha hii ni vijana waliokuwa wanagwa na kwenda kufanya kazi ya boda boda huko UAE ama falme za kiarabu .
Wanaagwa na nani Mkuu?

Hili taifa vichekesho ni vingi sana kadri siku zinavyozidi kwenda, hizo ndio ajira walizotengeneza au ilikuwa mchezo tu wa kisiasa?

Mungu atusaidie kwakweli.
 
Ukiangalia idadi yao wengi wao ni wanawake ambao wanakwenda huko kuwa watumwa wa kufanya kazi za ndani za uboi kwa mateso sana!! Wengine huko hudhalilishwa na hawa waarabu mpaka kuwalazimisha kuingiliwa na mbwa kwa ujira kiduchu wanaopata!!
Ni serikali mufilisi inayodhani kupeleka nguvu kazi yake Uarabuni inatatua tatizo la ajira nchini mwao!! Kuwa na uongozi wenye vision ndio suluhisho la matatizo ya ajira nchini. Kuwapeleka vijana Uarabuni ni sawa na kufanya biashara ya kuwauza binadamu kama watumwa!! No difference at all.
Hii haina tofauti na akina mama wajasiliamali wanao wakusanya wasichana huko Iringa na kuwaleta dar ili kuwatafutia kazi za uhahouse girl.
 
Nipe idadi ya wanawake ambao hawana ushungi then nikwambie kazi wanaokwenda kufanya huko falme za Kiarabu.
Acha upumbavu wakristo wa kenya na Uganda wamejazana uko uarabuni tele we endelea na taarab wenzio wakirud Wana nyumba 3 kibit wewe unaendelea na kupanga chumba singo gongo la mboto kodi 30k
 
Wanaagwa na nani Mkuu?

Hili taifa vichekesho ni vingi sana kadri siku zinavyozidi kwenda, hizo ndio ajira walizotengeneza au ilikuwa mchezo tu wa kisiasa?

Mungu atusaidie kwakweli.
Mkuu mie mwenyewe nimetafakari ila nikaishia kutoelewa ndio maana nikaja hapa tusaidiane kuwaza
 
Back
Top Bottom