makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,482
- 5,133
Usihukumu Kitabu kwa kuangalia kava la nje!Jina lako linaogopesha mno mkuu
Nipe nafasi hata niwe rafiki yako tu
Kisha utajionea,
Usihukumu Kitabu kwa kuangalia kava la nje!Jina lako linaogopesha mno mkuu
Umejibu kama mwenyekiti wa Jumuiya 😂Ahsante kwa somo hili. Barikiwa. 🙏🙏
Ni nini kimefanya uhisi kuna mtu amehack Whatsapp yako?Eid Mubarak ndugu zangu waislamu, I hope mmekula sikukuu fresh.
Hivi kuna uwezekano mtu akahack WhatsApp yako akawa anaona meseji zote zinazoingia? Na je kama huo uwezekano upo nawezaje kuzuia hili maana nahisi kama kuna mtu amenifanyia hivi au anatarajia kufanya hivi naombeni msaada kabla mambo hayajaharibika.
Afu ni kweli, woiiiih 😂😂😂😂Umejibu kama mwenyekiti wa Jumuiya 😂
Usijali kuwa huru ila akiunganisha kwenye PC au laptop 💻 itakuwa balaa , iliwahi kumkuta rafiki yangu kumbe mtu wake alishare WhatsApp yake kwenye laptop yeye hajui, tulienda ilikuwa krismas ile tukawa tunapikq yeye anachat na mpango wa pembeni then anafuta kumbe aalistukiwa jamaa akawasha laptop akawa anasoma meseji zake wanavyochat na huyo mtu alafu ana screen shot kabla hajafuta, kosa alilofanya nikuomba 30000 kwa huyo mtu alafu jamaa asubuhi alimpa 150000, jamaa alipokuja juu tukawa tunamtetea rafiki yetu, jamaa akaonesha ushahidi, na ndoa ikavunjika siku hiyo hiyo 😂😂Asante mkuu nilikuwa na wasiwasi bure
Yaani ulivyojibu, inaonyesha katika maandishi mengi unayoandika sana katika simu yako hili neno "Barikiwa" unalitumia sanaAfu ni kweli, woiiiih 😂😂😂😂
Ni kweli huwa nalitumia, ila sio kivileee.Yaani ulivyojibu, inaonyesha katika maandishi mengi unayoandika sana katika simu yako hili neno "Barikiwa" unalitumia sana
Mimi mpole wananionea😭😭mama huruma
Watetezi kiranga kikawashukaaaa 😂Usijali kuwa huru ila akiunganisha kwenye PC au laptop 💻 itakuwa balaa , iliwahi kumkuta rafiki yangu kumbe mtu wake alishare WhatsApp yake kwenye laptop yeye hajui, tulienda ilikuwa krismas ile tukawa tunapikq yeye anachat na mpango wa pembeni then anafuta kumbe aalistukiwa jamaa akawasha laptop akawa anasoma meseji zake wanavyochat na huyo mtu alafu ana screen shot kabla hajafuta, kosa alilofanya nikuomba 30000 kwa huyo mtu alafu jamaa asubuhi alimpa 150000, jamaa alipokuja juu tukawa tunamtetea rafiki yetu, jamaa akaonesha ushahidi, na ndoa ikavunjika siku hiyo hiyo 😂😂
Usilie jamani utanilizaaaa na Mimi 😭Mimi mpole wananionea😭😭
Ilikuwa ni aibu balaa 😂Watetezi kiranga kikawashukaaaa 😂
Ubarikiwe sana mkuuNi kweli huwa nalitumia, ila sio kivileee.
Nilishawahi kumtetea jamaa angu, afu shemeji akatoa ushahidi.Ilikuwa ni aibu balaa 😂
kwanza ni NDIO, INAWEZEKANA , Piga **21# uone kama kuna mtu anasomq hizo taarifa zako. Ukimaliza njoo inbox nikupe maelekezoEid Mubarak ndugu zangu waislamu, I hope mmekula sikukuu fresh.
Hivi kuna uwezekano mtu akahack WhatsApp yako akawa anaona meseji zote zinazoingia? Na je kama huo uwezekano upo nawezaje kuzuia hili maana nahisi kama kuna mtu amenifanyia hivi au anatarajia kufanya hivi naombeni msaada kabla mambo hayajaharibika.
Mimi mpole wananionea
🤣🤣🤣Mbaya sana hiyo Bora kwa mwanaume sio kwa mwanamke aisee ningumu kumshawish mwanaume alieamua kufanya jambo lake.Nilishawahi kumtetea jamaa angu, afu shemeji akatoa ushahidi.
Nilikuwa mdogo sana 😂 ... Gafla nikageuka kuwa mwenyekiti wa kuomba msamaha na sio mtetezi
Ni kweli, mwanaume akisimamia misimamo wake!🤣🤣🤣Mbaya sana hiyo Bora kwa mwanaume sio kwa mwanamke aisee ningumu kumshawish mwanaume alieamua kufanya jambo lake.
you can do nothing ikiwa ameinstall app maaluumu ya kispy kwenye cm yako na yake bila wewe kujua na kisha kuzikonect kama vile unavyowasha data tu meseji zinaingia,Eid Mubarak ndugu zangu waislamu, I hope mmekula sikukuu fresh.
Hivi kuna uwezekano mtu akahack WhatsApp yako akawa anaona meseji zote zinazoingia? Na je kama huo uwezekano upo nawezaje kuzuia hili maana nahisi kama kuna mtu amenifanyia hivi au anatarajia kufanya hivi naombeni msaada kabla mambo hayajaharibika.