kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,095
- Thread starter
- #81
Aya nimenyamaza😢😢Usilie jamani utanilizaaaa na Mimi 😭
Aya nimenyamaza😢😢Usilie jamani utanilizaaaa na Mimi 😭
Uwiii jamani poleni sana aisee mimi iliwahi kunitokea lakini nikaomba msamaha nikasamehewaUsijali kuwa huru ila akiunganisha kwenye PC au laptop 💻 itakuwa balaa , iliwahi kumkuta rafiki yangu kumbe mtu wake alishare WhatsApp yake kwenye laptop yeye hajui, tulienda ilikuwa krismas ile tukawa tunapikq yeye anachat na mpango wa pembeni then anafuta kumbe aalistukiwa jamaa akawasha laptop akawa anasoma meseji zake wanavyochat na huyo mtu alafu ana screen shot kabla hajafuta, kosa alilofanya nikuomba 30000 kwa huyo mtu alafu jamaa asubuhi alimpa 150000, jamaa alipokuja juu tukawa tunamtetea rafiki yetu, jamaa akaonesha ushahidi, na ndoa ikavunjika siku hiyo hiyo 😂😂
Watoto ikawaje? Hawarudiana Hadi Leo?Ilikuwa ni aibu balaa 😂
Njoo nikifute machoziiijAya nimenyamaza😢😢
Ilikuwaje ya kwako?Uwiii jamani poleni sana aisee mimi iliwahi kunitokea lakini nikaomba msamaha nikasamehewa
Una moyo wa pekee sana! Kwa kuwawaza watoto.Watoto ikawaje? Hawarudiana Hadi Leo?
Walikuwa Bado hawajapata mototo, jamaa alikaza Hadi Leo, maana jamaa siku hiyo aliongea mengi sana Hadi kusema alitoa mimba yakeWatoto ikawaje? Hawarudiana Hadi Leo?
Hapo kwenye mambo mengi hapo ndo kwenye tatizo huwezi kwepa kuchunguzwa kama mtu amehisi au amejua una mambo mengiMambo mengi sana mkuu
Ngoja nimfatilie na yeye sasaHapo kwenye mambo mengi hapo ndo kwenye tatizo huwezi kwepa kuchunguzwa kama mtu amehisi au amejua una mambo mengi
Nilikuwa nachat na watu mtandao flani hivi ilikuwa birthday yangu kuna wengine wakanitumia zawadi nikachukue sehemu dukani mwengine nilimwambiaga anipe zawadi, alafu wakati huo yeye mtu wangu alikuwa amenipa pesa kama 50k hivi nilimwambia nataka niende sehemu nipoe nile chakula kizuri nienjoy, sasa alivyokuja kuziona hizo sms nyingine na ndiyo ilikuwa mwanzoni mwanzoni hivi alimind sana aisee alinikasirikia siku 2Ilikuwaje ya kwako?
no,Hiyo App haipo kwenye simu yangu
Ngoja nibadili simu mapema sana hii italeta shidano,
ipo ila sio rahisi kuijua au kugundua kwasababu huitumii wewe,
iko hivi,
naweza kuinstall hiyo app kwenye simu yako baada ya kukuazima niitumie kwa dk3 tu, nikafanya mambo yangu, halafu chap nikaiondoa hiyo app miongoni mwa apps kwenye screen ya simu yako bila kui-unstall, infact naihide tu ili usiweze kugundua na kisha nikaendelea kukufuatilia.
hakuna namna ya kukwepa hilo bila kubadili simu 🐒
infact,Ngoja nibadili simu mapema sana hii italeta shida
Wivu tu hakuna kingineinfact,
itaendelea kukuletea shida,
lakini pia itamsababishia shida moyoni huyo aliefanya hivyo.
Chabo ni kitu mbaya sana, huwezi kua na amani hata nukta moja.
ni vizuri kufahamu kwamba,
dume lenye uhakika halimchungulii mkewe 🐒