Naombeni msaada kwenye hili

Naombeni msaada kwenye hili

kiss ov love

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2025
Posts
9,363
Reaction score
16,092
Eid Mubarak ndugu zangu waislamu, I hope mmekula sikukuu fresh.

Hivi kuna uwezekano mtu akahack WhatsApp yako akawa anaona meseji zote zinazoingia? Na je kama huo uwezekano upo nawezaje kuzuia hili maana nahisi kama kuna mtu amenifanyia hivi au anatarajia kufanya hivi naombeni msaada kabla mambo hayajaharibika.
 
Eid Mubarak ndugu zangu waislamu, I hope mmekula sikukuu fresh.

Hivi kuna uwezekano mtu akahack WhatsApp yako akawa anaona meseji zote zinazoingia? Na je kama huo uwezekano upo nawezaje kuzuia hili maana nahisi kama kuna mtu amenifanyia hivi au anatarajia kufanya hivi naombeni msaada kabla mambo hayajaharibika.
Kwa ninavyojua mimi pesa hapo imetumika sister
 
Ingia kwenye settings yako ya WhatsApp. Tafuta devices alafu nenda kwenye linked devices unazitoa Zote. Haiwezakani na kamwe haitawezekana ku hack WhatsApp ya mtu yeyote Yule. Alichofanya ameshare WhatsApp yako kupitia WhatsApp web ambapo amaeunganisha WhatsApp yako kwenye PC kama Laptop etc.
 
Eid Mubarak ndugu zangu waislamu, I hope mmekula sikukuu fresh.

Hivi kuna uwezekano mtu akahack WhatsApp yako akawa anaona meseji zote zinazoingia? Na je kama huo uwezekano upo nawezaje kuzuia hili maana nahisi kama kuna mtu amenifanyia hivi au anatarajia kufanya hivi naombeni msaada kabla mambo hayajaharibika.
Kuwa mwaminifu tu kwake basi utakua umesolve
 
Back
Top Bottom