Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,608
- 2,736
Sasa inakuwaje kwa muda wa miaka 26 uwe na dola 1800 tu ?, tatizo liko wapi ? maana nafahamu malipo ya huko ughaibuni huwa sio kama hapa bongo mtu analipwa mshahara wa laki 3 kwa mwezi, kama walivyosema wadau wengine hiyo dola 1800 ukifika hapa na lifestyle unayotaka utakaa nayo wiki mbili tu tena haitoshi, kwani umesema hutaki kupanda madaladala,Sikati vitunguu wala maboxi. Naendesha mabasi ya mjini. Kama UDA ya zamani.

♂️