Teh teh...Mzee vipi usharudi?..Nataka demu wangu nianze kumfungia ndani.mimi siogopi maisha nyie vyura, acheni hasira zenu na kunitisha na maisha.
Mwezi February mwaka kesho narudi bongo na pesa hii hii na nitaishi tu.
Na pia mademu wenu nitawagonga.
HAKI YA MUNGU 😂😂😂😂 NIMEONGEZA SIKULe Mutuz na yeye alirudi Bongo akiwa na umri around na huo na hivi sasa nasikia yeye ndo King of Social Networks! Sasa wewe ukitua Bongo itabidi ufungue Instagram Account na ujiite Zee la Mastory Ya Mbele! Au nikukopeshe jina langu nililokuwa natumia miaka hiyo, enzi hizo kabla ya JF... Mr. Experience, na stori zangu za kuuza Tanzanite wakati hata Arusha kwenyewe sikujui!
Dah! Ujana raha sana!!
Haya maneno ya kukatisha tamaaMwenzio tibaijuka alitumia $5000+ kwaajili ya mboga sasa nikuulize ndugu mleta maada wewe unataka kula ugali mkavu?