Naombeni msaada kurudi bongo

Naombeni msaada kurudi bongo

Watu kama wewe wanapenda raha sana sasa maziwa kila Siku Nyumba na chakula kizuri bank una 1800? 😁😁😁😁😁😁😁😁😁

Labda uje kuosha vyombo hotelini udoee masalia.
 
Siku hizi nimekua nunda aibu sina tena lol,I guess ukikaa nje zaidi ya miaka mitatu au minne then ni bora ubaki huko huko,unakua umepoteza logistics AMA coordinates za bongo,Ila kumiss bongo kupo bwana wee..hakuna hela Ila watu wako peace,ughaibuni kuna hela Ila watu wako stressed,it’s your choice unataka nini lol...Daby wewe ulikaa baada ya muda gani?
Sasa mtu ana hela stress za nini?...
 
Ukishapata usd 500 kwa wiki, ukishalipa tax? Na ukishalipa medicare insurance? car insurance? childcare? pocket money ya watoto? leisure activities za watoto? kula chakula kizuri? kunabaki usd ngapi?
au unataka niishi nakula nafaka nisave pesa? kama hujui maisha ya huku siyo lazima useme lolote.
Bora mkuu unasema ukweli, umedadavua vizuri!

Mkuu una familia huko?
 
Watakuwa wanakosea timing! Dogo Mmoja wa kitaaa anauza GAME pale Mlimani city, nilimuuliza why wanafunzi wa vyuo jirani wanajaa sana maeneo yale? Wana purchasing power ya kutosha pale? Akanambia wale boys na mabeg yao mgongoni wanawinda Majimama!
Duuuh.....kweli mjini kugumu!
 
Ndugu wana JF wengine tukoje, huyu ndugu kaomba msaada wa mawazo, na katueleza ukweli wake, mbona wengine tunamjibu visivyo.

Heshima ni kitu cha bure
Uwoni kaandika majivuno chini yaani ni maskiji jeuri
 
We Rudi Tu Ila ujitoe fahamu kama Let mutuz,ikiwezekana unga naye urafiki kabisa ......mwenzio alirudi na hela ya kutosha kununua laptop tu
 
Kwanini watu ambao hamjawahi hata kwenda Namibia au Sri Lanka ndiyo mnajibu sana tena kwa hasira? Nani amewaambia maisha ni kufanya saving tuu bila ya kuishi? Mbona wazungu wengi hawana savings kabisa bank?

My weekly revenue and expenditure hii hii hapa.

Mshahara 500

Nyumba (3 bedroom) -115
Income Tax and social security -80
Energy Bill -22
Kula vizuri, family of 4 (siyo kula grain na mahindi) -80
Pocket money watoto wawili -30
Nauli za shule watoto wawili -18
Leisure club (swimming, hunting, etc) watoto wawili -20
Car Insurance -30
Car Fuel -35
Home broadband and Cable TV package -6
Mobile phone (parents) -12
One weekend meal out -50

Saving 2

Hapo bado kwenda sinema
Bado kupeleka watoto Disney Land

Sasa watu ambao wamishindwa kusafiri hata kwenda Msumbiji wanaleta hasira bure humu.
 
Kwanini watu ambao hamjawahi hata kwenda Namibia au Sri Lanka ndiyo mnajibu sana tena kwa hasira? Nani amewaambia maisha ni kufanya saving tuu bila ya kuishi? Mbona wazungu wengi hawana savings kabisa bank?

My weekly revenue and expenditure hii hii hapa.

Mshahara 500

Nyumba (3 bedroom) -115
Income Tax and social security -80
Energy Bill -22
Kula vizuri, family of 4 (siyo kula grain na mahindi) -80
Pocket money watoto wawili -30
Nauli za shule watoto wawili -18
Leisure club (swimming, hunting, etc) watoto wawili -20
Car Insurance -30
Car Fuel -35
Home broadband and Cable TV package -6
Mobile phone (parents) -12
One weekend meal out -50

Saving 2

Hapo bado kwenda sinema
Bado kupeleka watoto Disney Land

Sasa watu ambao wamishindwa kusafiri hata kwenda Msumbiji wanaleta hasira bure humu.

Acha dharau mkuu...hao wenye hasira ndio wanakupa picha vizuri au ulitegemea Majibu ya upande mmoja???..mie naona ushukuru Mungu kwa watu km hao,afu una nini na nafaka? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hutaki kuzisikia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbona una hasira kali sana?
Hasira yote hii ni juu ya nini sasa?
You need a chillout pill bwana mdogo.
Wengine mumenipa ushauri murua asanteni sana. Na wale mumekasirika sana samahani sana.
Sorry mzee dereva nilitaka kukuambia tu kwa hela uliyonayo bongo hata hiyo nafaka hasa mchele hutakula utakula mihogo na maji kila siku mwisho wa siku utakuwa mnene Kama Kagame.
 
Mpuuzi ww! Umeshindwa kutoboa tokea 1992 leo bongo 2018 utaweza? Nakushauri kaa tuu huko hiki kipindi kidogo cha maisha yako yaliyobaki vizuri huko huko... hakuna maziwa acha ujinga na hatuli nafaka... akili yako inaonyesha iko very weak bongo hutaweza
 
Mkuu hizo dollar ulizoandika ni kusema umesahau kuweka sifuri kadhaa mbele au!?

Ila kama ulichoandika upo sahihi kwa hela hiyo waweza kurudi nakuanza biashara ya bodaboda. Japo umri wako ushakwenda itakupasa uifanye mwenyewe maana ukisema uweke kijana jua utaliwa na mwisho wa siku uwe hauna kitu kabisa
Habari wana jf.
Mimi ni mbongo ambaye nipo ughaibuni tangu 1992 na sijawahi kurudi bongo. Nilikuja huku kutafuta maisha na kusoma, lakini kutokana na gharama za maisha na gharama za elimu sikuweza kusoma. Sasa nina miaka 51 na natamani kurudi bongo. Elimu yangu ni ya form 4 ya pugu secondari 1988. Benki nina dola 1800 tuu. Jee naweza kurudi bongo na kuishi comfortably? Yaani kunywa maziwa, kulala pazuri, kutotumia madaradara kwa usafiri, kula chakula nzuri (siyo kula nafaka).
Kuna fursa gani huko kwa wazee kama mimi?
Naombeni msaada wenu
 
Habari wana jf.
Mimi ni mbongo ambaye nipo ughaibuni tangu 1992 na sijawahi kurudi bongo. Nilikuja huku kutafuta maisha na kusoma, lakini kutokana na gharama za maisha na gharama za elimu sikuweza kusoma. Sasa nina miaka 51 na natamani kurudi bongo. Elimu yangu ni ya form 4 ya pugu secondari 1988. Benki nina dola 1800 tuu. Jee naweza kurudi bongo na kuishi comfortably? Yaani kunywa maziwa, kulala pazuri, kutotumia madaradara kwa usafiri, kula chakula nzuri (siyo kula nafaka).
Kuna fursa gani huko kwa wazee kama mimi?
Naombeni msaada wenu
We mshamba yaani dola 1800 uje ule bata bongo!! Yaani unatuambia kuwa kwa sababu unadola ukifika Bongo tukutetemekee au? Ule upenyo wa kuja na Rambo unaondoka na Tanzanite Magu ameshauziba, waulize ACACIA sasa wewe ndo unakuja kuishi afu eti upande bito yako na umiliki nyata, hii hadithi imeshaisha. Njoo uone kilichomfanya nyoka kumshawishi maza kula apple!
 
Back
Top Bottom