G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 12,277
- 38,850
Basi baki huko huko maana kuna unafuu wa maisha. Labda utuambie unataka kufa mapema ila umegundua mbinu ni kufanya hayoSikati vitunguu wala maboxi. Naendesha mabasi ya mjini. Kama UDA ya zamani.
Basi baki huko huko maana kuna unafuu wa maisha. Labda utuambie unataka kufa mapema ila umegundua mbinu ni kufanya hayoSikati vitunguu wala maboxi. Naendesha mabasi ya mjini. Kama UDA ya zamani.
Hata 51 sio mbaya... kama alijitunza vizuri na akanusurika na maradhi, 51 mtu anakuwa na nguvu za kutosha!Dar karibu sana Bongo hyo 1500 mbona ndogo. Ila bora urudi tu nyumbani uanze upya ungejuaga ungerudi ukiwa na nguvu. Sisi wenyewe twapambana kibishi bishi maisha yakaendelea.
Hata 51 sio mbaya... kama alijitunza vizuri na akanusurika na maradhi, 51 mtu anakuwa na nguvu za kutosha!
Mkuu Anithape, aidha sasa or never manake, kama akiba yenyewe ndo hiyo, ina maana unakuja bila pesa ya kuanzia na kwa maana nyingine mtaji wako ni nguvu na akili zako! Kwa umri ulionao sina shaka bado una nguvu za kutoka na akili inachemka na kwahiyo unaweza kufanya jambo!
Sawa Mkuu, komaa tu na hayo mabasi.Sikati vitunguu wala maboxi. Naendesha mabasi ya mjini. Kama UDA ya zamani.
HahahahaMkuu, tulia tu huko huko na hizo dola buku na mianane zako, maisha yamebadilika sana sana mambo yanaenda kasi sana tangu 1992, wewe endelea kukata vitunguu na kubeba mabox huko, game ya TZ ni mziki mwingine.
Aliondoka Chama Kimojaunataka kula vizuri na usafiri private bila pesa?
Mi naweza kukushuri haya, kwanza tafuta Mara tatu hiyo 1800$D kisha ukirudi bongo usiende mjini nenda mikoa kama Ruvuma, Rukwa kafungue mashamba+ ufugaji kidogo hapo unaweza kuish. Karibu nyumbaniHabari wana jf.
Mimi ni mbongo ambaye nipo ughaibuni tangu 1992 na sijawahi kurudi bongo. Nilikuja huku kutafuta maisha na kusoma, lakini kutokana na gharama za maisha na gharama za elimu sikuweza kusoma. Sasa nina miaka 51 na natamani kurudi bongo. Elimu yangu ni ya form 4 ya pugu secondari 1988. Benki nina dola 1800 tuu. Jee naweza kurudi bongo na kuishi comfortably? Yaani kunywa maziwa, kulala pazuri, kutotumia madaradara kwa usafiri, kula chakula nzuri (siyo kula nafaka).
Kuna fursa gani huko kwa wazee kama mimi?
Naombeni msaada wenu
Wewe utakuwa mchawi unaloga wenzako.Habari wana jf.
Mimi ni mbongo ambaye nipo ughaibuni tangu 1992 na sijawahi kurudi bongo. Nilikuja huku kutafuta maisha na kusoma, lakini kutokana na gharama za maisha na gharama za elimu sikuweza kusoma. Sasa nina miaka 51 na natamani kurudi bongo. Elimu yangu ni ya form 4 ya pugu secondari 1988. Benki nina dola 1800 tuu. Jee naweza kurudi bongo na kuishi comfortably? Yaani kunywa maziwa, kulala pazuri, kutotumia madaradara kwa usafiri, kula chakula nzuri (siyo kula nafaka).
Kuna fursa gani huko kwa wazee kama mimi?
Naombeni msaada wenu
NYUMBANI KWAKO NI MAHALI POPOTE PALE UNAPO LALA NA KUAMKA, ASUBUHI UNAPATA BREAKFAST, MCHANA - SUPPER , JIONI -DINNER , KOMAA HUKO HUKODar karibu sana Bongo hyo 1500 mbona ndogo. Ila bora urudi tu nyumbani uanze upya ungejuaga ungerudi ukiwa na nguvu. Sisi wenyewe twapambana kibishi bishi maisha yakaendelea.
huyu hajui hata fitina za ccm hana faida kwa polepoleUnadhani Mfano Manji Angenunua Coco Beach
Pesa Yake Huyo Jamaa Hata
Kiingilio Kisingetosha
Lakini Arudi Home
Aunge Juhudi Mkono
Kwa miaka uliyokaa huko kwa mwezi ulikuwa una-save dola ngapi ndio mpk leo ziwe 18000. Bora ubaki tu hukohuko uendelee kupambana tu la sivyo utakuja kuokota machupa ya palstick huku