Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 8,589
- 18,992
Acheni kumkatisha tamaa huyu mzee, aje Tanzania apambane kutafuta kwanza kadi ya chama cha Ccm na kuunga mkono juhudi, atapewa U DC, au aje ajipange agombee ubunge siasa za Tanzania zinalipa..... Na zitamtoa fasta aungane na kina Le Mutuz