Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 10,493
- 17,533
Rudi nyumbani kumenoga!!!!
Watakuwa wanakosea timing! Dogo Mmoja wa kitaaa anauza GAME pale Mlimani city, nilimuuliza why wanafunzi wa vyuo jirani wanajaa sana maeneo yale? Wana purchasing power ya kutosha pale? Akanambia wale boys na mabeg yao mgongoni wanawinda Majimama!Bongo kuna wanawake wanaoa? Mbona vijana MMU wanalalamika saana?
Wako wanaolalamika kila siku eti Bingo hamna peace Baeleze.Bongo Kuna peace flani kiukweli kabisa
Naomba nikubuku asee ukifika tu nakutambulisha kwa nabii ili nakupiga ndoa fasta ila ujiandae kufanya kazi ya Mungu. Ila mi Mzee wa miaka 48.umenichekesha mnooo yaani sina hofu mume umeniandalia tyr
Chini nako jamani we Mzee mzima kashindwa fanya lolote unadhani KIKUBWA alikua kaendekeza Nini?Lakini mbona madereva huwaga wanalipwa vizuri tu,imekuwaje?
Sasa kazi unayo si uendelee na maisha maana kwa masharti yako utaishia kunywa sumu tu,Sikati vitunguu wala maboxi. Naendesha mabasi ya mjini. Kama UDA ya zamani.
Bora ubaki hukohuko dingi...maana huku Jiwe kawakazia raia hawahemi....Habari wana jf.
Mimi ni mbongo ambaye nipo ughaibuni tangu 1992 na sijawahi kurudi bongo. Nilikuja huku kutafuta maisha na kusoma, lakini kutokana na gharama za maisha na gharama za elimu sikuweza kusoma. Sasa nina miaka 51 na natamani kurudi bongo.
Labda bombardier likianza ruti za huko azamie kurudi nyumbaniNauli ya kurudia ni sehemu ya hiyo dola 1800? Uko nchi gani? Umeoa au ni Senior Bachelor? Hadi unafikia umri wa miaka 51 bado haujaamua utaseto wapi maisha ya uzeeni? Unafuatilia kujua mabadiliko ya dola na shilingi? Unaomba usaidiwe au anaongea kwa dhihaka? Unaaminisha kweli au umetumia lugha tata kufikisha manung'uniko yako dhidi ya current regime? Nina maswali mengi lakini naomba unijibu hayo ili nione namna ya kukushauri.
HahaaàaaLabda bombardier likianza ruti za huko azamie kurudi nyumbani
Hahaha! Raha sana enzi hizo... enzi za Yahoo Messenger! Wanazengo wakikushtukia, si kelele hizo "...don't trust Mr. Experience, he's a Nigerian!" Halafu najiita Mr. Experience wakati ndo kwanza nimetoka chuo... sina cha kufanya zaidi ya kushinda kwenye PC!JF raha sana,
Chige, umenichelesha sana.
Mr experience you know!
Lemutuz mbona ana miaka around 56 mtoto wake alivujisha siriLe Mutuz na yeye alirudi Bongo akiwa na umri around na huo na hivi sasa nasikia yeye ndo King of Social Networks! Sasa wewe ukitua Bongo itabidi ufungue Instagram Account na ujiite Zee la Mastory Ya Mbele! Au nikukopeshe jina langu nililokuwa natumia miaka hiyo, enzi hizo kabla ya JF... Mr. Experience, na stori zangu za kuuza Tanzanite wakati hata Arusha kwenyewe sikujui!
Dah! Ujana raha sana!!
Kwahiyo alirejea Bongo wakati akiwa kijana zaidi sio!Lemutuz mbona ana miaka around 56 mtoto wake alivujisha siri