Naombeni msaada kurudi bongo

Naombeni msaada kurudi bongo

Yaani comment za humu ni kumwaga tu chozi kwa kicheko,watu mna hasira kali na huu mzee,huyu mzee kiukweli kama amaekuwa ana kaushamba flan hivi,sijui kaongea utumbo gani hapo,au kamaanisha U$D 1.8 Mil?
 
Wangapi humu mliopo Tz mna savings 4.4m kwenye akaunti zenu? Ndugu yangu maisha kama yamekushinda huko rudi Tu. Akili yako na afya njema vinatosha kufanikiwa.

Wanavyohesabia mwenzao miaka,tukitumia kipimo hicho hicho kwao sijui km patakalika hapa
 
Imejipost
IMG-20180923-WA0028.jpeg
 
Kufanya kazi za kibarua ukiwa ughaibuni kwenye mabohari viwandani, kwenye ujenzi na kwingine kwaitwa kupiga boksi.

Kwenye mabohari kama Amazon, unakuwa na ujuzi wote wa kutumia mitambo ya kisasa ya aina zote, khasa chombo cha forklift ambacho ni lazima uwe mtaalam wa "counter balance".

Kuna vyombo vingine kama scissor lift, Gennie na spider crane ambazo hutakiwa kutumia akili kuviendesha.
Asante Mkuu kwa kunielewesha asee. Thank you.
 
Back
Top Bottom