Naombeni msaada kurudi bongo

Naombeni msaada kurudi bongo

Mkuu, tulia tu huko huko na hizo dola buku na mianane zako, maisha yamebadilika sana sana mambo yanaenda kasi sana tangu 1992, wewe endelea kukata vitunguu na kubeba mabox huko, game ya TZ ni mziki mwingine.
Haaaaa mweee
 
Kwa miaka uliyokaa huko kwa mwezi ulikuwa una-save dola ngapi ndio mpk leo ziwe 18000. Bora ubaki tu hukohuko uendelee kupambana tu la sivyo utakuja kuokota machupa ya palstick huku
Mkuu angekua na dola 18000 angetamba yeye ana dola 1800 ha ha ha ha ha ha nimecheka analudi na kiingereza tu na begi lake
 
Mkuu, tulia tu huko huko na hizo dola buku na mianane zako, maisha yamebadilika sana sana mambo yanaenda kasi sana tangu 1992, wewe endelea kukata vitunguu na kubeba mabox huko, game ya TZ ni mziki mwingine.
 
Apambane apate japo $6000 hivi akiludi anunue ist afanye uber atapata hela ya kuanzia kuishi mjini
Kama kwa miaka 26 amekusanya dola 1,800 sawa ni dola 70 kwa mwaka. Hadi afikishe dola 6,000. Kwa mantiki io itabidi aikusanye kwa miaka kama 52,jumlisha umri alionao....
 
Back
Top Bottom