buzitata
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 2,315
- 7,767
Habarin wakuu
Kwanza kabisa mimi ni mkatoliki pure, nimekulia na kulelewa katika misingi ya imani..
Kama ujuavyo tena sisi wakatoliki sio watu wa kusoma biblia, mara nyingi tunaskiliza tu mahubiri na kusomewa neno halafu ndo inakua imetoka hiyo.
Kuna mwaka fulani nilibahatika kukaa na watu wanaopenda sana dini hivyo ikapelekea na mimi kuanza kuichimba biblia kisawasawa na nikafanikiwa kusoma vitabu vingi ambavyo viliniacha na maswali mengi sana
1.wana wa israel wamewahi kuibiwa sanduku la agano baada ya kuchezea kichapo kikali sana ila baadaye walifanikiwa kulirudisha, utata ndo unaanzia hapo kwenye kulirudisha, wakiwa njiani wamelibeba lile sanduku ilitokea ajali ndogo ambayo ilipelekea lile sanduku litake kudondoka hivyo bwana mmoja akaona ni vema akaliwahi ili lisidondoke ila cha kushangaza alikufa pale pale kwa sababu yeye haruhusiwi kulishika sanduku hilo
Swali langu likawa ni kwa hao walioliiba walikua wamelibebaje bila kuwa dhuru au ndo ilikua ni mipando ya mungu tu?
2.yesu akiwa mlimani alitokewa na watu wawili ambao ni musa na elia hali iliyopelekea simion kumwambia yesu wajenge vibanda vitatu, tukirudi nyuma tunaambiwa roho ya elia ilikuwa ndani ya yohana mbatizaji(swali litengeneze mwenyewe)
Maswali ni mengi mengine nitayaweka kwenye comment.
Ikabidi nizame kwa weslamu au mnyaazi.
Kiukweli kile kitabu ni kigumu sana kukisoma kutokana na mfumo wake wa uandi na ukitaka ukielewe inatakiwa usome kwanza kitabu cha mithali halafu ndo uanze kusoma quran
Ukizichambua hadithi hata hizo sahih utaona kabisa kuna fix nying zimewekwa
Kwanza kabisa mimi ni mkatoliki pure, nimekulia na kulelewa katika misingi ya imani..
Kama ujuavyo tena sisi wakatoliki sio watu wa kusoma biblia, mara nyingi tunaskiliza tu mahubiri na kusomewa neno halafu ndo inakua imetoka hiyo.
Kuna mwaka fulani nilibahatika kukaa na watu wanaopenda sana dini hivyo ikapelekea na mimi kuanza kuichimba biblia kisawasawa na nikafanikiwa kusoma vitabu vingi ambavyo viliniacha na maswali mengi sana
1.wana wa israel wamewahi kuibiwa sanduku la agano baada ya kuchezea kichapo kikali sana ila baadaye walifanikiwa kulirudisha, utata ndo unaanzia hapo kwenye kulirudisha, wakiwa njiani wamelibeba lile sanduku ilitokea ajali ndogo ambayo ilipelekea lile sanduku litake kudondoka hivyo bwana mmoja akaona ni vema akaliwahi ili lisidondoke ila cha kushangaza alikufa pale pale kwa sababu yeye haruhusiwi kulishika sanduku hilo
Swali langu likawa ni kwa hao walioliiba walikua wamelibebaje bila kuwa dhuru au ndo ilikua ni mipando ya mungu tu?
2.yesu akiwa mlimani alitokewa na watu wawili ambao ni musa na elia hali iliyopelekea simion kumwambia yesu wajenge vibanda vitatu, tukirudi nyuma tunaambiwa roho ya elia ilikuwa ndani ya yohana mbatizaji(swali litengeneze mwenyewe)
Maswali ni mengi mengine nitayaweka kwenye comment.
Ikabidi nizame kwa weslamu au mnyaazi.
Kiukweli kile kitabu ni kigumu sana kukisoma kutokana na mfumo wake wa uandi na ukitaka ukielewe inatakiwa usome kwanza kitabu cha mithali halafu ndo uanze kusoma quran
Ukizichambua hadithi hata hizo sahih utaona kabisa kuna fix nying zimewekwa