kanyela mumo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,034
- 2,106
Nawashauli anae wafunza kuibrock au kuifuta awafundishe na kuirudisha ipo siku mtanikumbuka.
Dah...rakini kubrock au kuludisha ni hiyali ya mmiriki blazaNawashauli anae wafunza kuibrock au kuifuta awafundishe na kuirudisha ipo siku mtanikumbuka.
Ohoooo.Mi nilishaisahau, kwa dstv unaenda kwenye parental control unai lock tu!
Ukijua kula ujue na kuchuchuma vizuri.Dah...rakini kubrock au kuludisha ni hiyali ya mmiriki blaza
Una tabu weyeee.
Haya tusubiri wajuzi waje na mie nione inafutwaje. Japo haijawahi nikosesha amani.
Basi ahame nchi na akifika huko anunue ving'amuzi ambavyo havina TBCHataki ujinga wa wanaTBC uhamie kwa watoto wake