Naombeni machimbo ya kuku wa kienyeji tafadhali

Bushmamy

JF-Expert Member
Aug 18, 2019
8,848
15,252
Naomba kufahamishwa wapi/mkoa upi nitapata kuku wa kienyeji kwa jumla na kwa bei nzuri? Pamoja na aina ya usafiri toka huko masokoni /minadani kuleta mjini.

Asanteni
 
Kule kwetu Mara kuku wa kienyeji wanapatikana sana tu (hata hapa Mwanza na Simiyu),sasa issue ya usafiri kutoka kule hadi huko uliko sijui unapatikanaje na ni usafiri wa aina gani.Kwani we uko wapi?Tuanziea hapo kwanza.
 
Back
Top Bottom