Jackson996
JF-Expert Member
- Oct 5, 2019
- 658
- 1,255
Wakuu habari zenu naiman mko wazima, nilikuwa naomba kujua kwa Tanzania ni kosa kisheria kutumia vpn maana nimeona ili swala likizungumziwa kidogo na uku mtaan watu kutishana kwa wale wanaotumia (VPN).
Ni hayo tu, naamin umu kuna wajuzi wa mambo nitapataje.
Samahanini kwa uwandishi wangu m bovu.
Ni hayo tu, naamin umu kuna wajuzi wa mambo nitapataje.
Samahanini kwa uwandishi wangu m bovu.