Swahili_Patriot
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 231
- 413
Nipo chuo na ninaishi na mshkaji wangu. Huyu jamaa ninayeishi nae, ni mpenzi mkubwa sana wa dagaa. Ila, jamaa hawezi kuzipika.
Kwa wiki ni LAZIMA tuzile angalau mara 1 ila ladha ndio mtihani.
Nilikuwa ninapenda sana kula dagaa ila huyu jamaa ameniharibia kabisa taste yangu.
Kwa wenye ujuzi wa upishi wa dagaa, naomba mnisaidie recipes tofauti tofauti.
Kuhusu viungo sio shida, nitanunua tu.
Asanteni
Kwa wiki ni LAZIMA tuzile angalau mara 1 ila ladha ndio mtihani.
Nilikuwa ninapenda sana kula dagaa ila huyu jamaa ameniharibia kabisa taste yangu.
Kwa wenye ujuzi wa upishi wa dagaa, naomba mnisaidie recipes tofauti tofauti.
Kuhusu viungo sio shida, nitanunua tu.
Asanteni