Msaada: Natafuta kazi yoyote halali

Jan 26, 2019
67
86
Habari waungwana mimi ni kijana mwenye umri 25. Natafuta kazi yoyote halali ili niweze kupata pesa ya kujikimu.

Nina Elimu ya kidato cha sita ila wazazi wangu wamekataa kata kunisomesha na kwa maana hiyo wanataka niendelee kuwatumikia kuwachungia ng'ombe nawakati mimi sina utayari huo.

Naombeni mnifikirie.
Natafuta kazi, napatikana KILWA~LINDI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom