Naombeni jina la mtoto wa kike

Naombeni jina la mtoto wa kike

90% majina ya yaliyotajwa ni kizungu, kigiriki, kireno, Arab n.k
Inamaana wazazi tumeshindwa kabisa kutunga majina mzuri ya kiswahili? Tunajiona wajanja wenyewe. Tunajiona wasomi wenyewe.

Kufikia 2070 Tanzania itakuwa imejaa wagiriki, wareno, warabu na waingereza.
 
90% majina ya yaliyotajwa ni kizungu, kigiriki, kireno, Arab n.k
Inamaana wazazi tumeshindwa kabisa kutunga majina mzuri ya kiswahili? Tunajiona wajanja wenyewe. Tunajiona wasomi wenyewe.

Kufikia 2070 Tanzania itakuwa imejaa wagiriki, wareno, warabu na waingereza.
Binafsi sina jina la kiswahili.. kwanini nije kuita mtoto jina la mitishamba?
 
Back
Top Bottom