Naombeni jina la mtoto wa kike

Naombeni jina la mtoto wa kike

Huna wazee wako waliokutangulia mkuu? Chagua jina la moja ya wazee wako ambao unatamani mwanao aje kuwa kama yeye. Katika jamii yetu tunaamini hata siku huyo mzee akifariki basi atakuwa moja kati ya Ancestors wake wanaomuongoza na kummold. Na kutokana na experience yangu nashuhudia kuwa mrithi wa jina hufanana na mwenye nalo kwa almost kila kitu katika maisha yake.
 
Mpwimbwiluk, Kanyempwe, Diukizula, Lukamundula, Mtimbila n.k
 
Wengi wetu bado tuna akili za kitumwa sana, matokeo yake tunapoteza alama ya UAfrica wetu..

Mtu anaitwa Carlen John Michael, unajua ni Mzungu kumbe ni mzigua wa kwedikwazu au mkwere wa msoga.
😂😂
Mac Alpho nilikuwa busy hapa natafuta jina la mwanangu, sijaamini nilichokutana nacho..!!
 
Na vile vijumba vyao choka mbaya ndio unawaita matajiri Kuna nyumba Gani nzuri pale kijijini? Shida tupu pale na madebe Yao ya kuuza vitunguu barabarani hayo majina yanawakilisha shida na masumbuko waliyonayo
Umeishi pale au huwa unapita tu??

Mji gani unakosa maskini kijana?

Hizo dini zenu zilizowamezesha uoga ndo tatizo eti jina linaathiri maendeleo yako nani kakudanganya kijana??
 
Back
Top Bottom