Naombeni jina la mtoto wa kike

Naombeni jina la mtoto wa kike

Mimi naamin kazi ya jina ni kuitika tu na si vinginevyo, yani kuweka utofauti wa utambulisho wa mtu x na mtu y.
So hakuna baraka wala laana kupitia jina hizo ni chai kinachomatter na natendo ya mtu mwenyewe.

Kikubwa we zingatia unyama wa jina tu mtoto atafeel proud of her beautiful name basi.
 
Back
Top Bottom