Naombeni solution

Naombeni solution

Kwa uzoefu wangu, njia pekee ya kupunguza social anxiety ni kujichanganya na watu taratibu tu. Usiisubiri siku ambayo utafeel confident ndipo uanze kuongea na watu, anza hata ukiwa na wasiwasi. Kubali tu kwamba wakati mwingine unaweza kukosea, kukataliwa au mazungumzo yasiende vizuri, na hiyo ni kawaida. Kadri unavyozoea kuzungumza na watu, ndivyo ile hofu inapungua na confidence inaongezeka yenyewe
 
Kwa uzoefu wangu, njia pekee ya kupunguza social anxiety ni kujichanganya na watu taratibu tu. Usiisubiri siku ambayo utafeel confident ndipo uanze kuongea na watu, anza hata ukiwa na wasiwasi. Kubali tu kwamba wakati mwingine unaweza kukosea, kukataliwa au mazungumzo yasiende vizuri, na hiyo ni kawaida. Kadri unavyozoea kuzungumza na watu, ndivyo ile hofu inapungua na confidence inaongezeka yenyewe
Huenda utakuwa mke bora kwa mmeo maana ana changamoto kama hii
 
Habari wana JF .

naombeni solution ya kuondoa social anxiety na kuimprove social communication, napoteza vitu vingi sana Especially real connection , kwasababu tu ya kua na ile anxiety ya what if ?
Jaribu kupiga BIA MBILI uone kama utakua na aibu na uoga.

Pia kumbuka

MONEY, POWER, RESPECT.

Mara nyingi kama sio zote pesa huleta confidence maana ukiwa na pesa unatembea na mamlaka
 
Nimepoteza sana vitu vingi.

Mwaka flani nliwahi kwenda kwenye interview flani ilikua ni kazi ya kawaida tu lakini kutokana na ile anxiety nilishindwa kujieleza vile ipasavyo nahisi ile kazi nilipoteza kwasababu ya hii hali.

Sometimes naweza nikawa nipo kwenye conversion na mtu lakin najikuta nashindwa kukeep conversion.

Mda mwingne hua naweza nkawa nimekaa na watu wengi sana ila nikahisi all of them they staring me, nashindwa kua open up hua nafikiria kwamba hapa nkikosea inakuaje .

Hii hali inanifanya nistalk, na napoteza vitu vingi sana inanirudisha nyuma mno .
 
Kwa uzoefu wangu, njia pekee ya kupunguza social anxiety ni kujichanganya na watu taratibu tu. Usiisubiri siku ambayo utafeel confident ndipo uanze kuongea na watu, anza hata ukiwa na wasiwasi. Kubali tu kwamba wakati mwingine unaweza kukosea, kukataliwa au mazungumzo yasiende vizuri, na hiyo ni kawaida. Kadri unavyozoea kuzungumza na watu, ndivyo ile hofu inapungua na confidence inaongezeka yenyewe
Mimi saivii sipendii story na watu, nipo very low, sina furaha, nakua mpole sanaa.

Win one aliwai kuona picha yangu selfika NIMEKUA MPOLEEE,

For real , Mimi Huwa na aminiwa na wengi for sure hata humu mtu yeyote akiniona physically ananiamini na sijawai kuvunja Imani kwa wowote walio niaminii
 
Nimepoteza sana vitu vingi.

Mwaka flani nliwahi kwenda kwenye interview flani ilikua ni kazi ya kawaida tu , lakini kutokana ja ile anxiety nilishindwa kujieleza vile ipasavyo nahisi ile kazi nilipoteza kwasababu ya hii hali.

Sometimes naweza nikawa nipo kwenye conversion na mtu lakin najikuta nashindwa kukeep conversion.

Mda mwingne hua naweza nkawa nimekaa na watu wengi sana ila nikahisi all of them they staring me, nashindwa kua open up hua nafikiria kwamba hapa nkikosea inakuaje .

Hii hali inanifanya nistalk, na napoteza vitu vingi sana inanirudisha nyuma mno .
Mimi napenda watu WALIO sio talkative SANAA

Yaan kwenye conversation tuwe tutapeana PUNCH ukiwa muongeajii yaani ni Bora nisikilizee music au nikae kimya nijisikilize mwenyewe
 
Mimi napenda watu WALIO sio talkative SANAA

Yaan kwenye conversation tuwe tutapeana PUNCH ukiwa muongeajii yaani ni Bora nisikilizee music au nikae kimya nijisikilize mwenyewe
Haha mimi shida yangu nakua msikilizaji tu kuchangia kwangu ni kidogo mno, unaweza ukahisi labda nlikua sikusikilizi
 
Moja ya matibabu ya kisaikolojia yanaitwa exposure. Yaani kukabiliana na kitu unaogopa. So jiexpose kwenye social situations. Nenda church/msikitini, nenda kacheki mpira kibandani au uwanjani. Tembelea vijiwe vya draft, nenda beach nk nk.
 
Back
Top Bottom