naomben iushauri wapendwa

naomben iushauri wapendwa

jitunze dada yangu... Unayo heshima kubwa mno. Hao waliokuja woooote ni wahuni, na walikuwa na njaa zao. Kila siku tuko nao vijiweni, tunawajua vizuri, wakiharibu, hawaangalii nyuma tena, wanajisifia haooooo.


Kuwa makini kwani unaweza kujitunza sana, siku ya siku ukalgea kutokana na ushauri wa saluni, bombani, n.k. Ukajikuta unalia maisha yako yote
Kama ningepata hiyo fursa, ningetangaza nia, ila kwa sasa....
 
du ulibana sa unaamua kuachia,pole subira yavuta kheri utampata tu si mume mwema anatoka kwa bwana.
 
Kama kweli wewe ni bikira kanza nakupa hongera na pongezi kwa kujitunza..hao unawambia bado ni bikira wanakimbia wanataka kukuchezea.kuwa na msimamo na endelea kujitunza mpaka usiku wa ndoa yako.usoiangalie watu wanaseamje angalia ndoto yako nini kwa mume wako.

Mimi nilifunga ndoa na mke wangu kwa kukaanaye kwa miaka 4 bila kukutana kimwili.alikuwa ananiambia bado nibikira japo ilikuwa ni ngumu kuamiani ila baada ya kufunga naye ndoa ukweli alikuwa bikira..
Nilijisikia fahari sana usiku wa harusi yetu..na amenijengea heshima na uhaminifu mkubwa kwa hiyo sina wasiwasi naye..kama aliweza kujitunza akiwa bado binti mpaka miaka 28,huwa sina mashaka naye mda wote

Jitunze mpaka Mungu atakapo kupa ubavu wako ,,kuwa imara na wala usiyumbishwe na hao vijana.yupo ayayekuja kuwa pamoja na wewe wakati wote..

HONGERA AND BIG UP!..
 
hata mm sijajua kwann iko hivi kakangu ni mmoja wa kuchukia mabint bikra..pole watatokea wamero tu wataitufua...
 
mimi ni msichana wa miaka 26. Kila ninapopata boyfriend
nikijaribu tu kumwambia mimi ni bikra anapunguza mawasiliano
na ndo inakua,mwisho wamimi na yeye,nashindwa kuelewa ninakosea,
kusema ukweli au? Naombeni ushauri please.

eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.oooooooooooooooooooooooooo
*uuuuuuuuuuuuuuu2
 
Kama kweli wewe ni bikira kanza nakupa hongera na pongezi kwa kujitunza..hao unawambia bado ni bikira wanakimbia wanataka kukuchezea.kuwa na msimamo na endelea kujitunza mpaka usiku wa ndoa yako.usoiangalie watu wanaseamje angalia ndoto yako nini kwa mume wako.

Mimi nilifunga ndoa na mke wangu kwa kukaanaye kwa miaka 4 bila kukutana kimwili.alikuwa ananiambia bado nibikira japo ilikuwa ni ngumu kuamiani ila baada ya kufunga naye ndoa ukweli alikuwa bikira..
Nilijisikia fahari sana usiku wa harusi yetu..na amenijengea heshima na uhaminifu mkubwa kwa hiyo sina wasiwasi naye..kama aliweza kujitunza akiwa bado binti mpaka miaka 28,huwa sina mashaka naye mda wote

Jitunze mpaka Mungu atakapo kupa ubavu wako ,,kuwa imara na wala usiyumbishwe na hao vijana.yupo ayayekuja kuwa pamoja na wewe wakati wote..

HONGERA AND BIG UP!..

ushauri mzuri sana huu..
 
kama kweli wewe ni bikira kanza nakupa hongera na pongezi kwa kujitunza..hao unawambia bado ni bikira wanakimbia wanataka kukuchezea.kuwa na msimamo na endelea kujitunza mpaka usiku wa ndoa yako.usoiangalie watu wanaseamje angalia ndoto yako nini kwa mume wako.

Mimi nilifunga ndoa na mke wangu kwa kukaanaye kwa miaka 4 bila kukutana kimwili.alikuwa ananiambia bado nibikira japo ilikuwa ni ngumu kuamiani ila baada ya kufunga naye ndoa ukweli alikuwa bikira..
Nilijisikia fahari sana usiku wa harusi yetu..na amenijengea heshima na uhaminifu mkubwa kwa hiyo sina wasiwasi naye..kama aliweza kujitunza akiwa bado binti mpaka miaka 28,huwa sina mashaka naye mda wote

jitunze mpaka mungu atakapo kupa ubavu wako ,,kuwa imara na wala usiyumbishwe na hao vijana.yupo ayayekuja kuwa pamoja na wewe wakati wote..

Hongera and big up!..

Ushauri mzuri sana.wanaokukimbia wote hawajatulia,niwa kupita tu.msubiri mumeo.
 
Duh! Hapa wifi AshaDii na mke mwenza Sweetlady wanahitajika!
 
mimi ni msichana wa miaka 26. Kila ninapopata boyfriend
nikijaribu tu kumwambia mimi ni bikra anapunguza mawasiliano
na ndo inakua,mwisho wamimi na yeye,nashindwa kuelewa ninakosea,
kusema ukweli au? Naombeni ushauri please.

Hakuna kosa lolote unalolifanya...Yule mwanaume atakayekuwa na mapenzi ya kweli na wewe akishafahamu kama wewe ni bikira atafurahia sana na kamwe hatakuwa tayari kukuacha.


 
Last edited by a moderator:
Big up endelea kujitunza Lkn uwe na bikra ya ukweli coz siku hizi mchina anatengeneza bikra zinauzwa kariakoo.
 
bikra back and forth? hilo lundo la maboifrendi la nini sasa au ndo uko kwenye mchakato ingawa wao wanakuonea huruma kuitoa?
 
Wanakata mawasiliano,cyo kwamba hawakutaki,wanakupenda,ila wengine ujana bado unawasumbua,wanaona watakuumiza waki do halafu wakimbie.Wanawafuata wazoefu waliokomaa sector hizo,hao hata wakiachwa maumivu c makali,kama utakayo yapata wewe wakitoa and run.Mshukuru mungu wanakupenda.Mwingine anaanza mawasiliano,anakupata anakuacha.KEEP IT FOR YOUR HUSBAND.Siyo maboyfriend.
 
uwiiiiiiii my ribs! lis hiyo ndio sifa nzuri kwa mdada yeyote mwaya, usiitoe kwa kidole wala mtwangio halisi. atatokea tu ambaye atakuthamini na kuithamini. so vumilia muda bado. take care.
@casico aliyekuruhusu kutoa ushauri hapa ni nani?.......aliyekwambia mtoa mada ni jinsia ya kike ni nani?....... BADILI TABIA nilivyosikia unaniita nimekuja mbio nikijua unaniitia kitu cha maana kumbe ni haya maigizo hapa?????....siku ingine akitokea mwigizaji kama huyu usiwe unaniita sawa eeh....
 
Last edited by a moderator:
@casico aliyekuruhusu kutoa ushauri hapa ni nani?.......aliyekwambia mtoa mada ni jinsia ya kike ni nani?....... BADILI TABIA nilivyosikia unaniita nimekuja mbio nikijua unaniitia kitu cha maana kumbe ni haya maigizo hapa?????....siku ingine akitokea mwigizaji kama huyu usiwe unaniita sawa eeh....
mthamaha naomba sweetlady, sirudii tena! sikujua miiko ya jei efu, uwe unanifunza taratibu kwenye PM.
 
mthamaha naomba sweetlady, sirudii tena! sikujua miiko ya jei efu, uwe unanifunza taratibu kwenye PM.

Hehehehe....nilijua tu nikigomba kwa sauti utasikia sauti yangu afu utakuja mbio mbio lol......sasa wewe unadhani ningekuona tha ngapi???? ....tehe tehe.....mie memiss wewe sana cacico.....
 
Last edited by a moderator:
mimi ni msichana wa miaka 26. Kila ninapopata boyfriend
nikijaribu tu kumwambia mimi ni bikra anapunguza mawasiliano
na ndo inakua,mwisho wamimi na yeye,nashindwa kuelewa ninakosea,
kusema ukweli au? Naombeni ushauri please.

Gold hiyo mamii.KIP IT for ur future fiancee.
 
ma-fiancee ni wasepaji wakubwa pia, labda asubiri apate mume kabisa

kwani mume anakuja tu kwa msichana nataka kuwa your mume?.inaanzia kwenye uchumba.
And no matter what kwa yule alie mpenda na mwenye malengo mazuri nae,hamuachi ng'o.
Only playerz do that.

"Future fiance"=MUME.
 
mimi ni msichana wa miaka 26. Kila ninapopata boyfriend
nikijaribu tu kumwambia mimi ni bikra anapunguza mawasiliano
na ndo inakua,mwisho wamimi na yeye,nashindwa kuelewa ninakosea,
kusema ukweli au? Naombeni ushauri please.[/QUOTE lis kwa sababu ya ukweli wako ndio maana hao wachumba wako wanakukimbia kwani hao wachumba wako hawako Serious na wewe kukuowa wanachotaka kwako ni kufanya mapenzi

na wewe kisha wakuache njiani hawana nia nzuri na wewe unachofanya ni kitu kizuri sana laiti ningelikuwa mimi mmoja wapo unaniambia hivyo ningelikuja kwenu kukuposa moja kwa moja mkuu kama ni kweli wewe ni bikra usijaribu kufanya

mapenzi nao kwani ukifanya na Mmoja wao hao wachumba zako hawata kuowa kabisa chunga bikra yako utapata mtu aliyekuwa Serious na wewe kukuowa nakutakia kila la kheri bibie.

sina ushauri, ila subiri nikuitie hawa waje kukushauri Bishanga @ asprin @klorokwin Mbu TANMO Mbu sweetlady Kongosho Mtambuzi MziziMkavu @taemo Judgement Erickb52 Erotica
badili TABIAMkuu nimesha mjibu Bibie lis
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom