Nataman sana kutongoza sana ila nashindwa!

Nataman sana kutongoza sana ila nashindwa!

Binti tz

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2026
Posts
435
Reaction score
912
Kila nikijipa nguvu ya kumuapproach mwanamke naishiwa kabisa na maneno.sijui tatizo langu liko wap naomben msaada wenu wakuu.sijui kabisa kutongoza nina aibu mbel ya watoto wa kike.
 
Ninahisi sana aibu nikiongea mbel ya watoto wa kike hata kwangu ni vigumu sana nile chakula mbele ya mtoto wa kike
 
Mbona kitambo software za vichwa vya wadada zishakuwa updated? version mpya hii hawatongozwi.
 
Kila nikijipa nguvu ya kumuapproach mwanamke naishiwa kabisa na maneno.sijui tatizo langu liko wap naomben msaada wenu wakuu.sijui kabisa kutongoza nina aibu mbel ya watoto wa kike.
Kutongoza usichukulie siliaz wewe fanya kama unamtania tu 🤣

Ndiyo utongizaji ujue 🤣 ila ukikamia lazima mantiki mukichwa zihame

We kuwa mtani, tania humo humo unaingiza mtongozo

🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom