naomben iushauri wapendwa

naomben iushauri wapendwa

We BADILI TABIA , mie pia sina cha kumshauri......lol....ngoja waje na hao wengine manake umetuita wengi

hahaha mie mleta uzi kanichosha kabisa. .
Hebu mshauri jamani bikira yake isiliwe na nyenyere. . . Halafu sikujua kuwa wanaume siku hizi wanaogopa bikira
 
Last edited by a moderator:
kuna mmoja mwenye miaka 70 alitangaza juzi kati hapa kwamba anayo, anatafuta mtu wa kuibanjua
inawezekana kabisa, anaweza akawa na miaka 70 lakini siyo mama................... mimi ni mama, na sikupata kwa njia ya Roho Mtakatifu
 
SIDE A.....Nadhani hiyo bikira unaiweka mbele sana kama ndio kila kitu mpaka una-loose touch ya wewe ni nani na unatakiwa ku-play yourself katika hivyo videti vyako....Don't make that loose vestigial skin a big deal and a leverage/ticket to relationship life...be yourself and play normal....when you feel its right time to loose it get over it.......beside its ain't fun to play bloody with newcomers in adults game.....

SIDE B: Hao wanaokimbia hawako tayari kuji-commit kwako kwa hiyo wanaona ni unfair wao kukutolea usichana wako, hivyo endelea kuwa makini, ambae yuko tayari hata kimbia bali atakuganda na ndio atakuwa wako na atavunja kibubu......
I salute you YoungCorporate
 
Last edited by a moderator:
mimi ni msichana wa miaka 26. Kila ninapopata boyfriend
nikijaribu tu kumwambia mimi ni bikra anapunguza mawasiliano
na ndo inakua,mwisho wamimi na yeye,nashindwa kuelewa ninakosea,
kusema ukweli au? Naombeni ushauri please.

promo only.
 
Hongera sn dada kwa kui2nza bk yko kwn n w.ke wachache sn wny uvumilivu wa kukip treasure km iyo.cha mcng be patient & continue kyping it 4 ur fu2ure H2B.
 
Ww ni sawa na mtu anaeomba kazi na hana uzoefu!si rahisi kupata ajira.huna uzoefu wa kuhendo mwanaume.kila kitu itabidi ufundishwe.wachache wenye muda huo.Tafuta kazi za kujitolea...ha ha ha



WSent from my BlackBerry 9700 susing JamiiForums
 
mimi ni msichana wa miaka 26. Kila ninapopata boyfriend
nikijaribu tu kumwambia mimi ni bikra anapunguza mawasiliano
na ndo inakua,mwisho wamimi na yeye,nashindwa kuelewa ninakosea,
kusema ukweli au? Naombeni ushauri please.

dada yangu usikupe shida,mungu anakulinda,ukimpata wa ukweli hatakuacha
 
Sidhani kama ni kweli, hao unaowapata ni wapuuzi tu, utampata anayemfaa, Mi nilikuwa 21 nilipobikiriwa na still jamaa alikuwa kaniganda kinoma, alikuwa amenihide kuwa ana GF, tulipendana sana na nilikuwa crazy sana kwake but nilijitahidi kumgomea vingi, ikiwemo kuzaa naye kababy ili nimuache amuoe yule mwingine ili asiumie cause walikuwa kwenye uhusiano kwa muda mrefu, ameoa but still anakuja kunitembelea, yale mambo nimemkatalia but akizidi kunisumbua itabidi awe ATM machine yangu, naona cheo alichonacho kinamuwasha kutaka kulea nyumba ndogo tena
Ww ni sawa na mtu anaeomba kazi na hana uzoefu!si rahisi kupata ajira.huna uzoefu wa kuhendo mwanaume.kila kitu itabidi ufundishwe.wachache wenye muda huo.Tafuta kazi za kujitolea...ha ha ha



WSent from my BlackBerry 9700 susing JamiiForums
 
maskini weee bikira! Sio dili kwa miaka hii labda zamani ndio ilikua dili,
hakuna mwanaume mwenye shida ya bikira miaka hii sana sana wanataka mwanamke mwenye makeke ili wapate starehe, wee katafute kaserengeti boy kamalize hiyo mambo
 
mimi ni msichana wa miaka 26. Kila ninapopata boyfriend
nikijaribu tu kumwambia mimi ni bikra anapunguza mawasiliano
na ndo inakua,mwisho wamimi na yeye,nashindwa kuelewa ninakosea,
kusema ukweli au? Naombeni ushauri please.

usikate tamaa ingoje ahadi ya bwana utampata atakaye kuthamini na kukupenda achana na kejeli za watu simamia ulichokiamua
 
pia hawawz hata kazi ya kubikiri kam aujuavyo wanaume wenyewe hawa wa punyeto, na mibia tu hawana hizo nguvu.

gfsonwin, tunagonga mbele, nyuma na PUNYETO hatuachi kwani hamjiwezi kunako shughuli. Nani anatosheka kwa vigoli viwili, demu ulimi nje ilhali wengine angalau nne ndio twajisikia! Acha tupige punyeto.

Bazazi ni Bazazi!
 
Nikwambie kitu hawana lolote hao ulowahi kuwa nao kimahusiano na tena hawajua thamani ya hiyo zawadi ulonayo,pia walitaka tu kukuchezea na kukuacha kutokana na hilo mungu amekuepushia,tulia dada utampata wa ukweli mwenye kujua thamani ya hicho ulichonayo. Mumeo atajivunia juu ya hilo so endelea kujitunza.
 
nijuavy mimi hao wanaimbia manake wanajua hadi kupata date itachukua muda sana, na pia hawawz hata kazi ya kubikiri kam aujuavyo wanaume wenyewe hawa wa punyeto, na mibia tu hawana hizo nguvu.
Ebana eeeeeeeeeeh,hiyo kali.Ushauri wako hapo chini ni mzuri ila sasa ajitunze mpaka lini na tayari keshaanza kuwashwa huyu?
 
kwani huwezi kumyima mtu mpaka ujieleze wewe ni bikra, sikiliza mdogo wangu akija mwingine mweleze tu lengo lako ni kutompa mpaka ndoa, asipoweza asepe huna haja ya kujieleza wewe ni bikra mwingine anaweza dhani unataka kumtapeli na kuamua kuondoka kimya kimya, wengi tu nawajua wamenza mahusiano na miaka kama yako au zaidi lakini life staili yao unaweza zani labda ana mijibaba kumi
 
gfsonwin, tunagonga mbele, nyuma na PUNYETO hatuachi kwani hamjiwezi kunako shughuli. Nani anatosheka kwa vigoli viwili, demu ulimi nje ilhali wengine angalau nne ndio twajisikia! Acha tupige punyeto.

Bazazi ni Bazazi!
Bazazi serious sikuchukii wewe ila nachukia sana comments zako tena mungu akusamehe sana wala asije patiliza dhambi hizi kwa watoto watokao kwenye viuno vyako.Binafsi sishabikii ushoga, usagaji na ufiraji to me these are dhambi kubwa
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom