uwiiiiiiii my ribs! lis hiyo ndio sifa nzuri kwa mdada yeyote mwaya, usiitoe kwa kidole wala mtwangio halisi. atatokea tu ambaye atakuthamini na kuithamini. so vumilia muda bado. take care.bikra sio sifa, bali ni usumbufu na karaha kwa sasa na hapo baadae, kwa maana kwamba hata mkija hitilifiana kitu kidogo tu, mtu anaanza ooh c unajua we ndo uliniharibia ubinti wangu, or bora ningebaki na bikra, oooh nilikupa zawadi kubwa....ooooh mi ndo msichana nilojitunza kuliko wengne wote....full makelele, hata mi siipendi.
Na namna ya kuandika je?!Huhitaji ushauri?!
so true. If you're going to cash in your V-card, do it with your husband. A lot of girls think just because they gave themselves to you then you owe them your life or something....bikra sio sifa, bali ni usumbufu na karaha kwa sasa na hapo baadae, kwa maana kwamba hata mkija hitilifiana kitu kidogo tu, mtu anaanza ooh c unajua we ndo uliniharibia ubinti wangu, or bora ningebaki na bikra, oooh nilikupa zawadi kubwa....ooooh mi ndo msichana nilojitunza kuliko wengne wote....full makelele, hata mi siipendi.
hicho ni kipimo cha slow thinking behavior, at 26yrs bado bikra? Utazaa lini upate watoto? At 75!
Na kuna risechi ya uswazi kuwa kama kicha cha chini ni butu hata cha juu butu pia, wee sio mtu unayependa kujifunza, kifupi mzembe.
Wanammme wanaogopa kuharibu mbegu za koo zao, inakuwa kama wanakaribisha kilaza.
Si uliona ile sred ya wanawake si wachoyo kwa wanamme wenye akili, wanapenda kuzaa nao lol
Mwaya, hapo juu nakutania si kweli wewe shujaa karibia utaingia kwenye Dar geneous book
BADILI TABIA unadhani kuna jingine hapo?