Ivan Breaker
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 1,379
- 5,488
...
tayari mkuuWeka hapa matokeo yako.
tayali nimeshaweka matokeo‘Tayali’ ndo nini.?
tayali nimeshaweka matokeo kwenye post yangu‘Tayali’ ndo nini.?
Okay!! Hapo nimekusoma vizuri. Sijajua HRM kwa ngazi za chini inafanyaje kwenye Labour Market, mara ya kwanza nilibase kwenye Degree.kwa ngazi ya certificate nmechaguliwa moja kwa moja lakini wametuambia tunaweza kubadilisha course kama tunataka
"Aftika" ndo nini ?Watu mnasoma ili kufuata soko la ajira badala ya kusoma kike kilichopo moyoni mwako. Ndio maana aftika tunapoteza muda tu hapa duniani tukifa hatuachi legacy yoyote kwenye jamii
"Tayali" wasomi wetu wanashindwa kuandika na kutamka kwa ufasaha !!tayali nimeshaweka matokeo kwenye post yangu
Acha kumdanganya mwenzioNgazi gani mzee?? Mi nakushauri chukua Human Resource Management. Hii course ni kiraka. Kiraka kweli kweli, kwa week hukosi sehemu ya kutuma maombi. So naweza sema kwa sasa ni moja ya course zilizokatika soko.
Thibitisha??Acha kumdanganya mwenzio
HRM si bora ungesema maendeleo ya jamii au social work?Thibitisha??
Pitia matangazo ya ajira (ukirelate na alichosema record management) kusanya then angalia mtu anaehitajika sifa zake. Kumbuka HRM ina uwanja mpana sana ukilinganisha hizo ulizotaja, kila sehemu unaingia. Kwa utawala/Uongozi HRM ndo iko vizuri.Hrm si bora ungesema maendeleo ya jamii au social work?
Records management ni course nzuri tu na ajira zake zipo katika taasisi za serikali na hata katiak sekta binafsi. Pia si course ngumu kwa kuisoma. Huko katika makampuni ya simu au TV kunatakiwa uwe na cousre nyingine kama vile mass communication , marketing nk. Nakushauri ukomae na course hiyo, pengine ukatoka. Kwa mawasiliano piga 0655 775518tayali nimeshaweka matokeo kwenye post yangu