Naomba ushauri wenu

Naomba ushauri wenu

Ukishakuwa na familia yako,kukaa na mzazi wako ni changamoto
Huruma isipite uwezo wako,mrudishe nyumbani akigoma fukuza!
Harafu umri wake ni 46 yrs? Huyu bado ni kijana anaweza kufanyakazi na kujitunza!
Imetosha kwa muda wote uliomsaidia.
 
Tatizo naishi kwenye nyumba ya serekali na wakijua anaishi hapa nitakuwa nimepoteza nyumba yangu ya kwasababu mkataba utavunjwa kwa kutoheshimu mkataba pili hajishauriagi yeye ni uongo tu ata nikimwambia mambo ya kujenga maisha yake anakuona kama adui yake vile
Kwanza nikusahihshe, usitumie neno "nyumba yangu" hiyo siyo nyumba yako.
 
Pamoja na yote hayo ndio useme anapenda kula sana 😳 ......heshimu Baba na mama upate miaka mingi na heri duniani....tumia wazee wenzake kumshauri ataelewa tu.usimfukuze mzazi wako
Kwanza hako ka dingi siyo kazee, 46yrs si msela tu huyo? Nawaza sijui kalimzaa huyu dogo kwenye uasherati, miaka 46 sasa kalimpata kakiwa na miaka 16? Fikria kijana labda ana miaka 30! Akatimue tu maana hakana maana!
 
Kwanza hako ka dingi siyo kazee, 46yrs si msela tu huyo? Nawaza sijui kalimzaa huyu dogo kwenye uasherati, miaka 46 sasa kalimpata kakiwa na miaka 16? Fikria kijana kabda ana miaka 30! Akatimue tu maana hakana maana!
Huyu andazi ni andazi kweli kweli. Ni mtu wa fix sana. Juzi juzi hapa alileta stori akidai kuwa yamemkuta. Stori hiyo inaaminika alicopy na kupaste kutoka Facebook. Huyu ni mtu wa kamba sana na hapaswi kuaminika.

Mzee ana miaka 46 huku yeye kasoma, ana kazi na ana watoto wawili. Huyo mzee alimzaa akiwa na miaka mingapi? Baba ana muda mfupi Canada. Mara Green Card yake kanyang'anywa. Ina maana alifika tu na kupewa Green Card? Si tunaambiwa kupata Green Card takes time?

Kuna uwongo mwingi kwenye maelezo yake na sijui lengo lake hasa ni nini?

Thread 'Yamenikuta na mimi kwa mke wangu'
 
Ushauri huyo siyo mzee ni muhuni kama sisi hapa.

Cha kufanya mpangishie nyumba lipia kwa miezi3 then mtafutie kazi kisha mchana ukweli kuwa mzee wangu msaada wangu ndo huu ukiharibu sina namna nyingine ya kukusaidia.

Baada ya hapo puguza mahaba kwake hata akikuambia anaumwa usichukilie serious sana. Huyo bado kijana mbichi kabisa.

NB:Sijui maisha ya huko ucanadani yapoje hivyo statue changamoto kulingana na maisha /mazingira ya huko.
 
Inawezekana ana changamoto ya afya ya akili. Jaribuni kutibu hilo kwanza uone. Kama hana mtimue tatizo miaka 46 ni mtu anayetakiwa kujitegemea, hajafika hata umrinwa kustaafu. Hata angekuwa na 56, ni umri wa kujitegemea, si wa kutegemea watoto
 
Miaka 46 sio umri wa kutunzwa iwapo mtu ana afya njema. Msaidie kutafuta makazi na kazi yake. Akishindwa kuishi Canada, arudi nyumbani Tanzania. Hakuna sheria yoyote wala busara yoyote inayoelekeza kumtunza mtu wa miaka 46 mwenye afya njema.
 
Tatizo naishi kwenye nyumba ya serekali na wakijua anaishi hapa nitakuwa nimepoteza nyumba yangu ya kwasababu mkataba utavunjwa kwa kutoheshimu mkataba pili hajishauriagi yeye ni uongo tu ata nikimwambia mambo ya kujenga maisha yake anakuona kama adui yake vile
sasa ulimchukuaje aje kuishi kwako wakati unajua ni kosa? au hilo kosa kisheria ndo unaliona sahv baada ya kugundua hayo madhaifu ya baba yako

we unamtafutia sababu tu
 
Kama mkataba hauruhusu yeye kukaa hapo, mrudishe nyumbani.

Hapo ili kusiwe kelele, inabidi Udraft na kuprint mwenyewe notice letter ikionyesha serikali imekumind kwa ulicho kifanya, imekupa Onyo la siku 7 kuonyesha kua ambae hayuko kwenye mkataba aondoke otherwise utaondolewa hapo.

Iletwe hapo na mtu au mail box, Asome na yeye, Arudi homme. Utamsaidia akiwa nyumbani
 
Hapo ni 46 unahangaika, akifika 55 hadi 60 utajuta, akianza kuchanganya togwa na tumbaku ndo shida kabisa.
 
Ndugu yangu yeye sio criminal hapana uku canada ukiwa criminal ndo.utakuwa umepoteza maisha yake alipoteza vyeti vyake kama green card na kadi zingine nimejaribu kumshauria lakini wapi na hii sio mara yake ya kwanza anaishi ivi toka 2022 anafanyaga ukimpa tu nafasi ya kulala anasau shida zake zote ana kwasababu ana nafasi ya kulala 😪😪 ni mambo mengi ya aibu ambayo siwezi kuweka hapa
Wewe na mzee wako mlishawahi kuishi Bongo?
 
Kumbe miaka 46 MTU ni Mzee wa kwenda kulelewa Kwa watoto
Dunia iko speed sana
 
Haiwrzekani baba yako ana miak 46,alafu wewe upo canada na unafamilia mpaka nakuoa kabisa..,amekuzaa akiwa na miaka mingapi....?mbona baba yako bado kijana sana...acha kutuleta kati.
 
Back
Top Bottom