we ach tu...mi huwa nikifikiria najiuliza wanangu wataoa kina nani maana wazungu siwataki na waafrika wengi hapendwi mtu!!!wenye kazi,yanawashinda yeye haelewi...lol
we ach tu...mi huwa nikifikiria najiuliza wanangu wataoa kina nani maana wazungu siwataki na waafrika wengi hapendwi mtu!!!wenye kazi,yanawashinda yeye haelewi...lol
we ach tu...mi huwa nikifikiria najiuliza wanangu wataoa kina nani maana wazungu siwataki na waafrika wengi hapendwi
mtu!!!
hovyooooooooooooooo!!!iliyobaki waoe ombaomba labda lol
hovyooooooooooooooo!!!
ha haaa sasa wazungu huwataki?wafanyeje?
mhh ila wazungu siwataki kabisaaa.....mungu ataleta kheri zake mbele ya safari!
iliyobaki waoe ombaomba labda lol
Malimbukeni yale......naimani wanangu kwa sababu fulani fulani hawawezi kuwa malimbukeni wa wazungu japo tunaishi M.nyamala hahahahahaha!na kuolewa je,kama ungekuwa na binti?hutaki ya mange kimambi?lol
Malimbukeni yale......naimani wanangu kwa sababu fulani fulani hawawezi kuwa malimbukeni wa wazungu japo tunaishi M.nyamala hahahahahaha!
yaani.....ngoja nijinyamazie nisije kuongea ya akiba hadharani,sijui kwa nini tunakuwa wababaikaji!wapo wazungu wanazaliwa mpaka wanakufa,toka babu na babu
hawajawahi kumiliki nyumba hata za kiwango cha mwananyamala
au kuishi nyumba za chini...watu hawajui tu..