Naomba ushauri: Mke wangu aliondoka na mtoto sifahamu anapoishi sasa, hataki kumleta mtoto nimuone

Nmehusisha familia zte ila yake haijatoa ushirikiano, wanajua kabisa binti yao anachokifanya maana wao mtt anawatembelea ila siyo kunitembelea mimi. Kufanya hizo juhudi zote bila mafanikio ndo kumenifanya nitake kuchagua aidha kumwachia mtoto kabisa au kwenda ngazi za kisheria.
Huyu mtoto kuna asilimia kubwa akawa si wako! Pengine kawaambia ndugu zake ukweli hili na wao wanashindwa wakusaidiaje!
 
Habari za weekend wana JF

Nilioa mwaka 2016, na tukabahatika kupata mtoto 1 wa kiume mwaka 2017 ambae ana miaka 4 kwa sasa na sehemu ya makazi yetu ni hapa Mbeya. Mapema 2020 mke wangu alianza kubadilika sana baada ya yeye kupata biashara nzuri ukilinganisha na ile aliyokuwa anafanya mwanzo.

Katika mabadiliko yake, alihitaji na yeye kwenda kuishi maisha ya peke ake. Nilitafuta suluhu sana za kuweka ndoa sawa ila hakukuwa na mafanikio na hatimae mwezi wa 6 mwaka huo 2020 aliondoka na kwenda kuanzisha maisha yake pamoja na mtoto.

Wakat anaondoka hakusema anapoenda kukaa na mtoto na mpaka sasa sipajui anapokaa na mtoto japo yupo Mbeya hapa hapa. Hayuko tayari kunambia anapokaa mbali na kuhitaji kupajua kwa ajili ya kupata access ya kumuona mtoto wangu. Kila nikiomba aniletee au nifate mtoto nikae nae hata weekend analeta sababu na anaweza kukuahidi kumleta ila ikifika muda analeta sababu na hutomuona tena.

Mtoto akiumwa siambiwi mapema, ila nakuja kuambiwa anapokuwa amelazwa hospital na ndo hapo namuona mwanangu. Tangu aondoke kwangu, mtoto amelazwa hospital mara 3 na mara zote hizo nakuja kuambiwa kashalazwa, naenda kumuona na kumhudumia mpaka anaruhusiwa, akisharuhusiwa tu ndo humuoni tena. Nimeshajaribu kuongea nae juu ya umuhimu wa sisi kumpa malezi ya wazazi wote hata kama hatuishi na mtoto pamoja, kumpa mtoto nafasi ya kuwa ananiona au ananitembelea lakini hakuna matokeo chanya. Cha kusikitisha, mtoto anamruhusu kuwatembelea marafiki zake tena umbali mrefu na hata kwa ndugu zake mtoto anaenda hata kukaa baadhi ya siku ila siyo kumruhusu kuja kwangu au mm kumtembelea mtoto.

Sasa kama mwanaume mwenye hisia na moyo usio wa chuma na mwenye maumivu, nimechoka na haya maisha ya kuishi na mtoto wangu kwa kumuona kila anapolazwa hospital. Nahitaji kufanya maamuzi magumu.

Akilini mwangu kwa sasa nna mawazo mawili ambayo nahitaji mojawapo kufanyia kazi, moja ni kumsusia mtoto kabisa abaki nae milele au niende ngazi za sheria ambazo wataweza kunisaidia hili swala kwa kuzingatia sheria ya malezi ya mtoto hasa pale wazazi wanapotengana.

Naomba mawazo yenu ndugu zangu wenye uzoefu na changamoto hizi angalau nijue naamua kwenda mbele na wazo gani hapo.

Nitapitia ushauri wenu kwa ajili ya msaada.

Mkuu kama kama una ndoa kwa nn ukimpeleke kwenye dawati la jinsia.
 
Ushauri mzuri ila unamaneno machafu,yaani kinywa chako kichafu.Samahani kama ntakukwanza maana umetamka shit.
Am sorry....! Mwenzenu nina tatizo nikiona mwanaume anafanyiwa ujinga na mwanamke huwa inanivuruga akili cos sipendi hii kitu toka moyoni
 
Duuhh kuna wanaume mnanyanyaswa kijinsia balaaa.

Kwa kuscan maelezo yako chapchap

Kuna haya mawili

Mtoto sio wako ( hiii uhakika )

mtoto ni wako ila hakuwah kukupenda.

Kwann najiamin kusema ivi???.

Bila kujalisha vipato vyenu vipoje, wanawake wenye watoto, hupeenda kuishi na wazazi wenzio ,labda ,labda itokee kuna Jambo ulomfanyia unalofanya ambalo alijaribu sanaaaa kukubadilisha ila akashindwa akaamua kusepa..

Nahapa hata kma angesepa, bado uhakika wawewe kumuona mtoto ungekua mkubwaaa sana kuliko huu wakutafuta na tochi.

Nini ufanye???? Achana na mambo ya Polisi n.k, utaabishwaaa tu, maana demu anaweza sema mtoto sio wako ikakuumiza sana.

Ni ndoa au njoo nikuvute.

Kivyovyote vile ilivyo... HUYO MWANAMKE SIO MTU SAHIHI KWAKO .

mpotezee

Mpotezee

Mpotezee

Mpotezeee

Achana na mambo ya kumuulizia mtoto sijui nn

Achaaaaaaaaa

Futa namba yake wala usitafute kujua yupo wapi, anatombwa nanan?? Mtoto anaishije .

Achaaaaaaaaa, Kikubwa na cha msingi kama wazazi wako hujawaweka wazi, au wazazi wake hujawaweka wazi.... Wambieee jamaaan maione nipo kimya, nina mwaka sasa siishi na mke wangu, aliamua kuondoka bila sababu.

Alafu baada ya hapo fanya maishaaa

Mimi sijui sijui.kwakweli vile nisivyojua kubembeleza

Babakeee, ningekua nmeshaoa tayari.
Ushauri mzuri sana
 
Habari za weekend wana JF

Nilioa mwaka 2016, na tukabahatika kupata mtoto 1 wa kiume mwaka 2017 ambae ana miaka 4 kwa sasa na sehemu ya makazi yetu ni hapa Mbeya. Mapema 2020 mke wangu alianza kubadilika sana baada ya yeye kupata biashara nzuri ukilinganisha na ile aliyokuwa anafanya mwanzo.

Katika mabadiliko yake, alihitaji na yeye kwenda kuishi maisha ya peke ake. Nilitafuta suluhu sana za kuweka ndoa sawa ila hakukuwa na mafanikio na hatimae mwezi wa 6 mwaka huo 2020 aliondoka na kwenda kuanzisha maisha yake pamoja na mtoto.

Wakat anaondoka hakusema anapoenda kukaa na mtoto na mpaka sasa sipajui anapokaa na mtoto japo yupo Mbeya hapa hapa. Hayuko tayari kunambia anapokaa mbali na kuhitaji kupajua kwa ajili ya kupata access ya kumuona mtoto wangu. Kila nikiomba aniletee au nifate mtoto nikae nae hata weekend analeta sababu na anaweza kukuahidi kumleta ila ikifika muda analeta sababu na hutomuona tena.

Mtoto akiumwa siambiwi mapema, ila nakuja kuambiwa anapokuwa amelazwa hospital na ndo hapo namuona mwanangu. Tangu aondoke kwangu, mtoto amelazwa hospital mara 3 na mara zote hizo nakuja kuambiwa kashalazwa, naenda kumuona na kumhudumia mpaka anaruhusiwa, akisharuhusiwa tu ndo humuoni tena. Nimeshajaribu kuongea nae juu ya umuhimu wa sisi kumpa malezi ya wazazi wote hata kama hatuishi na mtoto pamoja, kumpa mtoto nafasi ya kuwa ananiona au ananitembelea lakini hakuna matokeo chanya. Cha kusikitisha, mtoto anamruhusu kuwatembelea marafiki zake tena umbali mrefu na hata kwa ndugu zake mtoto anaenda hata kukaa baadhi ya siku ila siyo kumruhusu kuja kwangu au mm kumtembelea mtoto.

Sasa kama mwanaume mwenye hisia na moyo usio wa chuma na mwenye maumivu, nimechoka na haya maisha ya kuishi na mtoto wangu kwa kumuona kila anapolazwa hospital. Nahitaji kufanya maamuzi magumu.

Akilini mwangu kwa sasa nna mawazo mawili ambayo nahitaji mojawapo kufanyia kazi, moja ni kumsusia mtoto kabisa abaki nae milele au niende ngazi za sheria ambazo wataweza kunisaidia hili swala kwa kuzingatia sheria ya malezi ya mtoto hasa pale wazazi wanapotengana.

Naomba mawazo yenu ndugu zangu wenye uzoefu na changamoto hizi angalau nijue naamua kwenda mbele na wazo gani hapo.

Nitapitia ushauri wenu kwa ajili ya msaada.

Kwani mtoto mwenyew anasemaje mkuu
 
Kuna kitu hebu niwaeleze wanaume wenzangu.

Huo upumbafu wa kujisema mimi na mtoto ni kopi moja ufuteni kabisa vichwani mwenu, mimi kuna mwanamke namahusiano nae ana mtoto, ukinikuta na yule mtoto huulizi kuwa si mwanangu.

Tunafanana huulizi, hata tabia zetu nyingi zipo sawa, mara ya kwanza mawifi wa yule mwanamke waliponiona wakamuuliza mama mtoto, hebu tuambie ukweli kuhusu baba mtoto. Sikuwahi kukutana nae kabla ya kuzaliwa huyu mtoto na ajabu sasa mtoto huyu tunabond hatari.

Faza huyo mtoto kajiridhishe kwanza kama ni wako kweli.
 
Kwenye swala la maamuzi kweli tunatofautiana mnooo!

Huwa sina urafiki na upumbavu, naishi na mwanamke, aniletee machejo kwa ujinga wake worse enough aondoke nyumbani bila kuniaga mimi nianze kuweweseka kumtafuta! Never.

Kuna mwanamke nilikuwa naishi nae, tukatofautiana ile jumamosi kabla ya kimbunga kutahadharishwa, jumapili ya kimbunga nimeondoka zangu kazini, kurudi jioni nakuta giza nikajua tu mtu keshasepa na mbaya zaidi kuna vitu vyangu aliondoka navyo, sikutaarifiwa wala kuagwa.

Nikaangalia baadhi ya vitu vyangu nikavikuta basi nikafuta namba zake nikaenda jikoni kupika nikala nikaanza maisha mapya. Mpaka leo hii sijamtafuta wala sina mpango huo.
 
Habari za weekend wana JF

Nilioa mwaka 2016, na tukabahatika kupata mtoto 1 wa kiume mwaka 2017 ambae ana miaka 4 kwa sasa na sehemu ya makazi yetu ni hapa Mbeya. Mapema 2020 mke wangu alianza kubadilika sana baada ya yeye kupata biashara nzuri ukilinganisha na ile aliyokuwa anafanya mwanzo.

Katika mabadiliko yake, alihitaji na yeye kwenda kuishi maisha ya peke ake. Nilitafuta suluhu sana za kuweka ndoa sawa ila hakukuwa na mafanikio na hatimae mwezi wa 6 mwaka huo 2020 aliondoka na kwenda kuanzisha maisha yake pamoja na mtoto.

Wakat anaondoka hakusema anapoenda kukaa na mtoto na mpaka sasa sipajui anapokaa na mtoto japo yupo Mbeya hapa hapa. Hayuko tayari kunambia anapokaa mbali na kuhitaji kupajua kwa ajili ya kupata access ya kumuona mtoto wangu. Kila nikiomba aniletee au nifate mtoto nikae nae hata weekend analeta sababu na anaweza kukuahidi kumleta ila ikifika muda analeta sababu na hutomuona tena.

Mtoto akiumwa siambiwi mapema, ila nakuja kuambiwa anapokuwa amelazwa hospital na ndo hapo namuona mwanangu. Tangu aondoke kwangu, mtoto amelazwa hospital mara 3 na mara zote hizo nakuja kuambiwa kashalazwa, naenda kumuona na kumhudumia mpaka anaruhusiwa, akisharuhusiwa tu ndo humuoni tena. Nimeshajaribu kuongea nae juu ya umuhimu wa sisi kumpa malezi ya wazazi wote hata kama hatuishi na mtoto pamoja, kumpa mtoto nafasi ya kuwa ananiona au ananitembelea lakini hakuna matokeo chanya. Cha kusikitisha, mtoto anamruhusu kuwatembelea marafiki zake tena umbali mrefu na hata kwa ndugu zake mtoto anaenda hata kukaa baadhi ya siku ila siyo kumruhusu kuja kwangu au mm kumtembelea mtoto.

Sasa kama mwanaume mwenye hisia na moyo usio wa chuma na mwenye maumivu, nimechoka na haya maisha ya kuishi na mtoto wangu kwa kumuona kila anapolazwa hospital. Nahitaji kufanya maamuzi magumu.

Akilini mwangu kwa sasa nna mawazo mawili ambayo nahitaji mojawapo kufanyia kazi, moja ni kumsusia mtoto kabisa abaki nae milele au niende ngazi za sheria ambazo wataweza kunisaidia hili swala kwa kuzingatia sheria ya malezi ya mtoto hasa pale wazazi wanapotengana.

Naomba mawazo yenu ndugu zangu wenye uzoefu na changamoto hizi angalau nijue naamua kwenda mbele na wazo gani hapo.

Nitapitia ushauri wenu kwa ajili ya msaada.

Halafu baadae mtoto akikua mama anammezesha sumu baba ako aliniacha na baada ya hapo hakuwahi kutoa huduma.Na mtoto anaamini maneno ya mama na kuweka chuki dhidi yako.Kina mama sie sometimes tunazingua.
 
Halafu baadae mtoto akikua mama anammezesha sumu baba ako aliniacha na baada ya hapo hakuwahi kutoa huduma.Na mtoto anaamini maneno ya mama na kuweka chuki dhidi yako.Kina mama sie sometimes tunazingua.
Yeah possible coz lengo la kumficha mtt ni kutaka atengeneze mazingira ya kuonekana badae kuwa yeye pekee ndo aliemtunza mtoto na ndoivo anakusudia kukifanya kwangu.
 
Duuhh kuna wanaume mnanyanyaswa kijinsia balaaa.

Kwa kuscan maelezo yako chapchap

Kuna haya mawili

Mtoto sio wako ( hiii uhakika )

mtoto ni wako ila hakuwah kukupenda.

Kwann najiamin kusema ivi???.

Bila kujalisha vipato vyenu vipoje, wanawake wenye watoto, hupeenda kuishi na wazazi wenzio ,labda ,labda itokee kuna Jambo ulomfanyia unalofanya ambalo alijaribu sanaaaa kukubadilisha ila akashindwa akaamua kusepa..

Nahapa hata kma angesepa, bado uhakika wawewe kumuona mtoto ungekua mkubwaaa sana kuliko huu wakutafuta na tochi.

Nini ufanye???? Achana na mambo ya Polisi n.k, utaabishwaaa tu, maana demu anaweza sema mtoto sio wako ikakuumiza sana.

Ni ndoa au njoo nikuvute.

Kivyovyote vile ilivyo... HUYO MWANAMKE SIO MTU SAHIHI KWAKO .

mpotezee

Mpotezee

Mpotezee

Mpotezeee

Achana na mambo ya kumuulizia mtoto sijui nn

Achaaaaaaaaa

Futa namba yake wala usitafute kujua yupo wapi, anatombwa nanan?? Mtoto anaishije .

Achaaaaaaaaa, Kikubwa na cha msingi kama wazazi wako hujawaweka wazi, au wazazi wake hujawaweka wazi.... Wambieee jamaaan maione nipo kimya, nina mwaka sasa siishi na mke wangu, aliamua kuondoka bila sababu.

Alafu baada ya hapo fanya maishaaa

Mimi sijui sijui.kwakweli vile nisivyojua kubembeleza

Babakeee, ningekua nmeshaoa tayari.
weee!! kweli jembe!!! Ila kumbuka sisi ke ni wachawi sana!!! Kupitia kwa mama zao!!! Na siku akiondoka hakufungui!!

Mtu amendoka mwenyewe umesha mkunyuga weeee!! Masiku bwena Mpaka vijambo kajampa weee!! Anakutisha nini??

Just huyu amekupunguzia mzigo shukuru Mungu huenda angekuua na ukimwi!!! Tena ikibidi msindikizie na kadawa ka kufukuza mtu mbali asikufirie kamwe!!

Ke wooote!! hawa utakuja pata ke bomba!! wewe mpaka ujiulize!!
" pale kwenye takataka ile nilitaka nini?? amini usiamini kuna mema yanakuja!! Utaliaaaa....
 
Yeah possible coz lengo la kumficha mtt ni kutaka atengeneze mazingira ya kuonekana badae kuwa yeye pekee ndo aliemtunza mtoto na ndoivo anakusudia kukifanya kwangu.
Loool!! Tuliza ball!! Hata akitengeneza wkt siyo kweli haikuhusu!! Ni yao hayo@!!

Hata akikutelekeza!! Akikujali hii ni kwa faida yake mwenyewe!! Hakwepi!! Respond yake kwako yeye itakuwa mara dufu!!
Hata kabla uzee haujamfika hivi...tulia nia yako njema itakuokoa...
 
Mmh jamani, kwani ulidhani mi ni gaidi???
Teeeh!!tetetw!! yaani ulivo vaa!! Vaa! Tu best daaa! Kwenye hiyo avatar yako!!
Nikaona hapa naweza pigwa risasi
.nikae mkao wa kula...

Avatar bana inaendana na mtu!! Wengine mnawekaga za ukweli...
 
Teeeh!!tetetw!! yaani ulivo vaa!! Vaa! Tu best daaa! Kwenye hiyo avatar yako!!
Nikaona hapa naweza pigwa risasi
.nikae mkao wa kula...

Avatar bana inaendana na mtu!! Wengine mnawekaga za ukweli...
Mi ni mpole kuliko hata upole wenyewe 😊, usitishwe na avatar
 
Fungia vioo huyo mwanamke, na weka tinted kabisa...

Pili, tafuta msaada wa kisheria ili mwisho wa siku kama huyo ni mwanao kweli akiwa mkubwa ajue kuna babaye (anaweza akalishwa sumu ya maneno kuwa uliwatelekeza)
 
Duuhh kuna wanaume mnanyanyaswa kijinsia balaaa.

Kwa kuscan maelezo yako chapchap

Kuna haya mawili

Mtoto sio wako ( hiii uhakika )

mtoto ni wako ila hakuwah kukupenda.

Kwann najiamin kusema ivi???.

Bila kujalisha vipato vyenu vipoje, wanawake wenye watoto, hupeenda kuishi na wazazi wenzio ,labda ,labda itokee kuna Jambo ulomfanyia unalofanya ambalo alijaribu sanaaaa kukubadilisha ila akashindwa akaamua kusepa..

Nahapa hata kma angesepa, bado uhakika wawewe kumuona mtoto ungekua mkubwaaa sana kuliko huu wakutafuta na tochi.

Nini ufanye???? Achana na mambo ya Polisi n.k, utaabishwaaa tu, maana demu anaweza sema mtoto sio wako ikakuumiza sana.

Ni ndoa au njoo nikuvute.

Kivyovyote vile ilivyo... HUYO MWANAMKE SIO MTU SAHIHI KWAKO .

mpotezee

Mpotezee

Mpotezee

Mpotezeee

Achana na mambo ya kumuulizia mtoto sijui nn

Achaaaaaaaaa

Futa namba yake wala usitafute kujua yupo wapi, anatombwa nanan?? Mtoto anaishije .

Achaaaaaaaaa, Kikubwa na cha msingi kama wazazi wako hujawaweka wazi, au wazazi wake hujawaweka wazi.... Wambieee jamaaan maione nipo kimya, nina mwaka sasa siishi na mke wangu, aliamua kuondoka bila sababu.

Alafu baada ya hapo fanya maishaaa

Mimi sijui sijui.kwakweli vile nisivyojua kubembeleza

Babakeee, ningekua nmeshaoa tayari.
There's some truth
 
Habari za weekend wana JF

Nilioa mwaka 2016, na tukabahatika kupata mtoto 1 wa kiume mwaka 2017 ambae ana miaka 4 kwa sasa na sehemu ya makazi yetu ni hapa Mbeya. Mapema 2020 mke wangu alianza kubadilika sana baada ya yeye kupata biashara nzuri ukilinganisha na ile aliyokuwa anafanya mwanzo.

Katika mabadiliko yake, alihitaji na yeye kwenda kuishi maisha ya peke ake. Nilitafuta suluhu sana za kuweka ndoa sawa ila hakukuwa na mafanikio na hatimae mwezi wa 6 mwaka huo 2020 aliondoka na kwenda kuanzisha maisha yake pamoja na mtoto.

Wakat anaondoka hakusema anapoenda kukaa na mtoto na mpaka sasa sipajui anapokaa na mtoto japo yupo Mbeya hapa hapa. Hayuko tayari kunambia anapokaa mbali na kuhitaji kupajua kwa ajili ya kupata access ya kumuona mtoto wangu. Kila nikiomba aniletee au nifate mtoto nikae nae hata weekend analeta sababu na anaweza kukuahidi kumleta ila ikifika muda analeta sababu na hutomuona tena.

Mtoto akiumwa siambiwi mapema, ila nakuja kuambiwa anapokuwa amelazwa hospital na ndo hapo namuona mwanangu. Tangu aondoke kwangu, mtoto amelazwa hospital mara 3 na mara zote hizo nakuja kuambiwa kashalazwa, naenda kumuona na kumhudumia mpaka anaruhusiwa, akisharuhusiwa tu ndo humuoni tena. Nimeshajaribu kuongea nae juu ya umuhimu wa sisi kumpa malezi ya wazazi wote hata kama hatuishi na mtoto pamoja, kumpa mtoto nafasi ya kuwa ananiona au ananitembelea lakini hakuna matokeo chanya. Cha kusikitisha, mtoto anamruhusu kuwatembelea marafiki zake tena umbali mrefu na hata kwa ndugu zake mtoto anaenda hata kukaa baadhi ya siku ila siyo kumruhusu kuja kwangu au mm kumtembelea mtoto.

Sasa kama mwanaume mwenye hisia na moyo usio wa chuma na mwenye maumivu, nimechoka na haya maisha ya kuishi na mtoto wangu kwa kumuona kila anapolazwa hospital. Nahitaji kufanya maamuzi magumu.

Akilini mwangu kwa sasa nna mawazo mawili ambayo nahitaji mojawapo kufanyia kazi, moja ni kumsusia mtoto kabisa abaki nae milele au niende ngazi za sheria ambazo wataweza kunisaidia hili swala kwa kuzingatia sheria ya malezi ya mtoto hasa pale wazazi wanapotengana.

Naomba mawazo yenu ndugu zangu wenye uzoefu na changamoto hizi angalau nijue naamua kwenda mbele na wazo gani hapo.

Nitapitia ushauri wenu kwa ajili ya msaada.

Pole sana,,,kisa chako kinafanana na changu kabisa..Ila utofauti ni kwamba Mimi nilienda Mererani kumchukua mwanangu mdogo wa miaka miwili,,.. Nakuja nae Mbeya mpaka mwezi huu wa nane anatimiza miaka minne naishi nae poa Sana,,,,...
 
Usikubali kirahisi rahisi kumpoteza mwanao, inaonyesha huyo mwanamke ni limbukeni wa maisha,itakuwa kapata mwanaume mwingine anakuona wewe sio wa hadhi yake,na vile anavisent basi anaona anaweza kumlea mtoto bila wewe,fanya juu Chini mtafute kwa mara ya mwisho ongea nae serious na usiwe na maneno mengi muulize kama mtoto ni wako au sio wako, akisema ni wako mwambie unataka kila weekend aje kwako.

Akianza kujing'ata ng'ata mwambie akupe ukae nae mwenyewe, akizingua watafute wazazi wa huyo mwanamke waambie adhma yako ni kumuona mtoto kila weekend au kumchukua jumla jumla, kama ni wazazi wenye busara wataongea na binti yao na mambo yatakwenda vizuri ukiona njia zote mbili zimefeli,Inua mikono juu mshukuru Mungu kwa kukuondolea huyo mwanamke maishani mwako,mtakie maisha mema na ulinzi wa Mungu mwanao huko atakako kuwa akiwa mkubwa atakutafuta mwenyewe.

Usisahau kuwa dunia imeharibika sana imeripotiwa mara kadhaa ma baba wa kufikia wamewafanyia ukatili wa kingono watoto.fanya jitihada ya kumuweka karibu mtoto ikishindikana basi.
Mtoto anarithi pande mbili aidha kwa mama au kwa baba unaweza kuta akili ya wazazi na binti yao ni inafanana,kwa mawazo yangu atafute mwanamke mwingine ajiridhishe kama kweli anampenda azae nae kingine akili yake yote apambane kutafuta pesa mtoto hajawahi kumkataa baba mwenye pesa labda kuwe sababu nyingine na asimpigie simu kabisa wa kuulizia kuhusu huyo mwanamke kama ni matumizi ya mtoto atume kupitia kwa bibi wa mtoto sisi ndo tunavyoishi
 
Back
Top Bottom