Msaada: Mtazamo wa mke wangu kuhusu lishe ya mtoto wa miaka 2 na miezi 8

malembeka18

JF-Expert Member
Jan 26, 2018
2,780
2,716
Habari wakuu,

Mke wangu alibeba mimba mtoto akiwa na miaka 2na miezi 3. Sasa hivi mimba ya miezi 6 na mtoto ana Miaka 2 na miezi 8.

Sasa sijui kashauriwa na nani kuwa eti kambebea mtoto mimba akiwa mdogo haifai anatakiwa apewe uji lishe, nahisi kama anataka kutafuta madawa ya kienyeji maana nimemshauri vya kutosha kuwa hakuna uhusiano wowote wa mimba kubeba mtoto tayari ana miaka 2 na miezi kadhaa hiyo kubeba mimba iko sawa sawa kabisa lakini mke kawa mbishi kweli kweli.

Kaingia na gia ya uji lishe kwa mtoto wa miaka 2 na miezi 8 kwamba eti ndio kutatenganisha na mimba ila mi naona kama anadanganya kutaka kufanya dawa za kienyeji.

Wakuu, ni kweli mtoto wa miaka 2 na miezi 8 anahitaji kuendelea kupata uji lishe badalaa ya kujikita katika vyakula Bora?
 
uji lishe badalaa yakujikita katika vyakula Bora
Uji lishe - Ni mzuri kwa mtoto (hata kwa mtu mzima), sababu una virutubisho vingi, Hivyo ni jambo jema iwapo ameshauri matumizi ya uji lishe.

Unga wake unapatikana madukani au pia anaweze kununua yeye mwenye mahitaji sokoni na kwenad kusaga.

Mkeo yupo sahihi, hajakosea kupendekeza uji lishe kwa mtoto, Hivyo sambamba na vyakula bora ni vyema pia uji wa lishe ukawepo.
 
Habari wakuu,

Mke wangu alibeba mimba mtoto akiwa na miaka 2na miezi 3. Sasa hivi mimba ya miezi 6 na mtoto ana Miaka 2 na miezi 8.

Sasa sijui kashauriwa na nani kuwa eti kambebea mtoto mimba akiwa mdogo haifai anatakiwa apewe uji lishe, nahisi kama anataka kutafuta madawa ya kienyeji maana nimemshauri vya kutosha kuwa hakuna uhusiano wowote wa mimba kubeba mtoto tayari ana miaka 2 na miezi kadhaa hiyo kubeba mimba iko sawa sawa kabisa lakini mke kawa mbishi kweli kweli.

Kaingia na gia ya uji lishe kwa mtoto wa miaka 2 na miezi 8 kwamba eti ndio kutatenganisha na mimba ila mi naona kama anadanganya kutaka kufanya dawa za kienyeji.

Wakuu, ni kweli mtoto wa miaka 2 na miezi 8 anahitaji kuendelea kupata uji lishe badalaa ya kujikita katika vyakula Bora?
Mtoto hata anaenda shule bado anahitaji lishe ya uji hata kama anakula vyakula vyoote hadi hindi la kuchoma! Tulia kwanza....hapa unamaanisha lishe au kuna dawa umeziona au ni wewe na fikra zako na hujui lishe ina umuhimu gani kwa mtoto
 
Aisee kuna wanawake wanapitia magumu sana, haka kamwanaume kanaonekana nikabishi sana tena katakuwa kafupi.
Issue za malezi mama ndie anaeenda clinic yoote wanashauriwa huko
 
Hoja nikwamba hakubali kama nisahihi kubeba mimba Hali yakuwa mtoto ana miaka2 namiez kadhaa anaamini Bado mdogo...Sasa nikama huwa anamuelekeo wa wakutaka kutumia dawa zakienyeji Sasa nahis kama amekuja kwa gia za uji lishe
Sasa hapo tutakushauri nini wakati unaleta hisia zako kuhusu mkeo au ujilishe ni gharama sana na wewe hutaki kigharamia unakuja na gia ya kumsingizia mkeo anataka kufanya dawa?
 
Habari wakuu,

Mke wangu alibeba mimba mtoto akiwa na miaka 2na miezi 3. Sasa hivi mimba ya miezi 6 na mtoto ana Miaka 2 na miezi 8.

Sasa sijui kashauriwa na nani kuwa eti kambebea mtoto mimba akiwa mdogo haifai anatakiwa apewe uji lishe, nahisi kama anataka kutafuta madawa ya kienyeji maana nimemshauri vya kutosha kuwa hakuna uhusiano wowote wa mimba kubeba mtoto tayari ana miaka 2 na miezi kadhaa hiyo kubeba mimba iko sawa sawa kabisa lakini mke kawa mbishi kweli kweli.

Kaingia na gia ya uji lishe kwa mtoto wa miaka 2 na miezi 8 kwamba eti ndio kutatenganisha na mimba ila mi naona kama anadanganya kutaka kufanya dawa za kienyeji.

Wakuu, ni kweli mtoto wa miaka 2 na miezi 8 anahitaji kuendelea kupata uji lishe badalaa ya kujikita katika vyakula Bora?
Nd maana tunashauriwa tuoe wasomi. Tuoe waliopita shule ila ukioa haqa walioishia standard 7B utapata tab sana. Kwanz hawaelew na alaf ata ukiwaelekez wanakua wabish wao wana amin zaid manen ya mashoga zao huko nje ya kitaalam unayomwmbia. Alaf bado wana amin yale mamb ya zaman sjui ukiw mjamzito usile mapera mtoto atazaliw na vipele
 
Sio nakataaa ila anataka kutumia kama gia ila anakamulekeo kakutaka kutumia dawa zakienyeji so uji lishe nahis kama inatafutwa sababu
Kwani mwanzo hakuwa anatumia huo uji lishe? Mlikuwa mnampa uji wa aina gani?
 
Habari wakuu,

Mke wangu alibeba mimba mtoto akiwa na miaka 2na miezi 3. Sasa hivi mimba ya miezi 6 na mtoto ana Miaka 2 na miezi 8.

Sasa sijui kashauriwa na nani kuwa eti kambebea mtoto mimba akiwa mdogo haifai anatakiwa apewe uji lishe, nahisi kama anataka kutafuta madawa ya kienyeji maana nimemshauri vya kutosha kuwa hakuna uhusiano wowote wa mimba kubeba mtoto tayari ana miaka 2 na miezi kadhaa hiyo kubeba mimba iko sawa sawa kabisa lakini mke kawa mbishi kweli kweli.

Kaingia na gia ya uji lishe kwa mtoto wa miaka 2 na miezi 8 kwamba eti ndio kutatenganisha na mimba ila mi naona kama anadanganya kutaka kufanya dawa za kienyeji.

Wakuu, ni kweli mtoto wa miaka 2 na miezi 8 anahitaji kuendelea kupata uji lishe badalaa ya kujikita katika vyakula Bora?
Sasa si ununue wewe huo unga lishe na mpelekee nyumban. Mambo madogo
 
Back
Top Bottom