Naomba ushauri: Mke wangu aliondoka na mtoto sifahamu anapoishi sasa, hataki kumleta mtoto nimuone

Ndiyo mkuu maana ni copy yangu kabisa hata ukimwona kwa picha. Shida ipo kwa mwanamke tu
Unaweza kukuta we unamfananisha ila wala hamfanani,

Ila kwa hayo maelezo kuna uwezekano mtoto huyo ana baba mwingine na huenda huyo ndio baba halisi,

Halafu huyo mtoto inabidi mumfanyie uchunguzi wa kina, yani toka 2020 mpaka 2021 ameshalazwa mara 3?? Hili inabidi mjadiliane ili kuhakikisha afya ya mtoto inakaa sawa, na hii ni muhimu zaidi ya hayo mahusiano yenu,
 
Mtoto anamfanya biashara nahisi kuna mtu mwingine pia anahudumia huyo mtoto,pole sana mkuu, DNA ila jiandae kisaikolojia inawezekana pia mtoto si wako,huko kusema ni copy yako ni kutaka kujiaminisha tu mkuu kiukweli hata wewe una doubt kama ni wako,kuondoa ukungu wa wasiwasi wanasayansi wapo lol pima tu mkuu huna jinsi.
 
Habari za weekend wana JF

Nilioa mwaka 2016, na tukabahatika kupata mtoto 1 wa kiume mwaka 2017 ambae ana miaka 4 kwa sasa na sehemu ya makazi yetu ni hapa Mbeya. Mapema 2020 mke wangu alianza kubadilika sana baada ya yeye kupata biashara nzuri ukilinganisha na ile aliyokuwa anafanya mwanzo.

Katika mabadiliko yake, alihitaji na yeye kwenda kuishi maisha ya peke ake. Nilitafuta suluhu sana za kuweka ndoa sawa ila hakukuwa na mafanikio na hatimae mwezi wa 6 mwaka huo 2020 aliondoka na kwenda kuanzisha maisha yake pamoja na mtoto.

Wakat anaondoka hakusema anapoenda kukaa na mtoto na mpaka sasa sipajui anapokaa na mtoto japo yupo Mbeya hapa hapa. Hayuko tayari kunambia anapokaa mbali na kuhitaji kupajua kwa ajili ya kupata access ya kumuona mtoto wangu. Kila nikiomba aniletee au nifate mtoto nikae nae hata weekend analeta sababu na anaweza kukuahidi kumleta ila ikifika muda analeta sababu na hutomuona tena.

Mtoto akiumwa siambiwi mapema, ila nakuja kuambiwa anapokuwa amelazwa hospital na ndo hapo namuona mwanangu. Tangu aondoke kwangu, mtoto amelazwa hospital mara 3 na mara zote hizo nakuja kuambiwa kashalazwa, naenda kumuona na kumhudumia mpaka anaruhusiwa, akisharuhusiwa tu ndo humuoni tena. Nimeshajaribu kuongea nae juu ya umuhimu wa sisi kumpa malezi ya wazazi wote hata kama hatuishi na mtoto pamoja, kumpa mtoto nafasi ya kuwa ananiona au ananitembelea lakini hakuna matokeo chanya. Cha kusikitisha, mtoto anamruhusu kuwatembelea marafiki zake tena umbali mrefu na hata kwa ndugu zake mtoto anaenda hata kukaa baadhi ya siku ila siyo kumruhusu kuja kwangu au mm kumtembelea mtoto.

Sasa kama mwanaume mwenye hisia na moyo usio wa chuma na mwenye maumivu, nimechoka na haya maisha ya kuishi na mtoto wangu kwa kumuona kila anapolazwa hospital. Nahitaji kufanya maamuzi magumu.

Akilini mwangu kwa sasa nna mawazo mawili ambayo nahitaji mojawapo kufanyia kazi, moja ni kumsusia mtoto kabisa abaki nae milele au niende ngazi za sheria ambazo wataweza kunisaidia hili swala kwa kuzingatia sheria ya malezi ya mtoto hasa pale wazazi wanapotengana.

Naomba mawazo yenu ndugu zangu wenye uzoefu na changamoto hizi angalau nijue naamua kwenda mbele na wazo gani hapo.

Nitapitia ushauri wenu kwa ajili ya msaada.
Binafsi nahisi huyo mtoto sio wako kwa vinasaba kabisa!
 
Habari za weekend wana JF

Nilioa mwaka 2016, na tukabahatika kupata mtoto 1 wa kiume mwaka 2017 ambae ana miaka 4 kwa sasa na sehemu ya makazi yetu ni hapa Mbeya. Mapema 2020 mke wangu alianza kubadilika sana baada ya yeye kupata biashara nzuri ukilinganisha na ile aliyokuwa anafanya mwanzo.

Katika mabadiliko yake, alihitaji na yeye kwenda kuishi maisha ya peke ake. Nilitafuta suluhu sana za kuweka ndoa sawa ila hakukuwa na mafanikio na hatimae mwezi wa 6 mwaka huo 2020 aliondoka na kwenda kuanzisha maisha yake pamoja na mtoto.

Wakat anaondoka hakusema anapoenda kukaa na mtoto na mpaka sasa sipajui anapokaa na mtoto japo yupo Mbeya hapa hapa. Hayuko tayari kunambia anapokaa mbali na kuhitaji kupajua kwa ajili ya kupata access ya kumuona mtoto wangu. Kila nikiomba aniletee au nifate mtoto nikae nae hata weekend analeta sababu na anaweza kukuahidi kumleta ila ikifika muda analeta sababu na hutomuona tena.

Mtoto akiumwa siambiwi mapema, ila nakuja kuambiwa anapokuwa amelazwa hospital na ndo hapo namuona mwanangu. Tangu aondoke kwangu, mtoto amelazwa hospital mara 3 na mara zote hizo nakuja kuambiwa kashalazwa, naenda kumuona na kumhudumia mpaka anaruhusiwa, akisharuhusiwa tu ndo humuoni tena. Nimeshajaribu kuongea nae juu ya umuhimu wa sisi kumpa malezi ya wazazi wote hata kama hatuishi na mtoto pamoja, kumpa mtoto nafasi ya kuwa ananiona au ananitembelea lakini hakuna matokeo chanya. Cha kusikitisha, mtoto anamruhusu kuwatembelea marafiki zake tena umbali mrefu na hata kwa ndugu zake mtoto anaenda hata kukaa baadhi ya siku ila siyo kumruhusu kuja kwangu au mm kumtembelea mtoto.

Sasa kama mwanaume mwenye hisia na moyo usio wa chuma na mwenye maumivu, nimechoka na haya maisha ya kuishi na mtoto wangu kwa kumuona kila anapolazwa hospital. Nahitaji kufanya maamuzi magumu.

Akilini mwangu kwa sasa nna mawazo mawili ambayo nahitaji mojawapo kufanyia kazi, moja ni kumsusia mtoto kabisa abaki nae milele au niende ngazi za sheria ambazo wataweza kunisaidia hili swala kwa kuzingatia sheria ya malezi ya mtoto hasa pale wazazi wanapotengana.

Naomba mawazo yenu ndugu zangu wenye uzoefu na changamoto hizi angalau nijue naamua kwenda mbele na wazo gani hapo.

Nitapitia ushauri wenu kwa ajili ya msaada.
Fanya uchunguzi wa kimya kimya utafahamu alipo mtoto
 
Huyo mwanamke ni mjinga sana, sasa mtoto anahusika vipi katika kuachana kwenu!! Hawa ndio kesho na keshokutwa unamkuta nae anatukana wanaume kutelekeza watoto kumbe ulikuwa upumbavu wake.

Umehusisha ngazi ya familia ktk hilo? Ikishindikana nenda kisheria ila usifikirie kabisa kumsusia mtoto, hana hatia jamani na hahusiki kwenye hizo drama za mama yake.
 
Huyo mwanamke ni mjinga sana, sasa mtoto anahusika vipi katika kuachana kwenu!! Hawa ndio kesho na keshokutwa unamkuta nae anatukana wanaume kutelekeza watoto kumbe ulikuwa upumbavu wake.

Umehusisha ngazi ya familia ktk hilo? Ikishindikana nenda kisheria ila usifikirie kabisa kumsusia mtoto, hana hatia jamani na hahusiki kwenye hizo drama za mama yake.
Nmehusisha familia zte ila yake haijatoa ushirikiano, wanajua kabisa binti yao anachokifanya maana wao mtt anawatembelea ila siyo kunitembelea mimi. Kufanya hizo juhudi zote bila mafanikio ndo kumenifanya nitake kuchagua aidha kumwachia mtoto kabisa au kwenda ngazi za kisheria.
 
Nmehusisha familia zte ila yake haijatoa ushirikiano, wanajua kabisa binti yao anachokifanya maana wao mtt anawatembelea ila siyo kunitembelea mimi. Kufanya hizo juhudi zote bila mafanikio ndo kumenifanya nitake kuchagua aidha kumwachia mtoto kabisa au kwenda ngazi za kisheria.
Wapotezee
 
Pole sana kwa changamoto kama una uhakika mtoto ni wako fuata sheria ni haki yako mtoto kutambua kuwa wewe ni Baba yake.
 
Duuhh kuna wanaume mnanyanyaswa kijinsia balaaa.

Kwa kuscan maelezo yako chapchap

Kuna haya mawili

Mtoto sio wako ( hiii uhakika )

mtoto ni wako ila hakuwah kukupenda.

Kwann najiamin kusema ivi???.

Bila kujalisha vipato vyenu vipoje, wanawake wenye watoto, hupeenda kuishi na wazazi wenzio ,labda ,labda itokee kuna Jambo ulomfanyia unalofanya ambalo alijaribu sanaaaa kukubadilisha ila akashindwa akaamua kusepa..

Nahapa hata kma angesepa, bado uhakika wawewe kumuona mtoto ungekua mkubwaaa sana kuliko huu wakutafuta na tochi.

Nini ufanye???? Achana na mambo ya Polisi n.k, utaabishwaaa tu, maana demu anaweza sema mtoto sio wako ikakuumiza sana.

Ni ndoa au njoo nikuvute.

Kivyovyote vile ilivyo... HUYO MWANAMKE SIO MTU SAHIHI KWAKO .

mpotezee

Mpotezee

Mpotezee

Mpotezeee

Achana na mambo ya kumuulizia mtoto sijui nn

Achaaaaaaaaa

Futa namba yake wala usitafute kujua yupo wapi, anatombwa nanan?? Mtoto anaishije .

Achaaaaaaaaa, Kikubwa na cha msingi kama wazazi wako hujawaweka wazi, au wazazi wake hujawaweka wazi.... Wambieee jamaaan maione nipo kimya, nina mwaka sasa siishi na mke wangu, aliamua kuondoka bila sababu.

Alafu baada ya hapo fanya maishaaa

Mimi sijui sijui.kwakweli vile nisivyojua kubembeleza

Babakeee, ningekua nmeshaoa tayari.
Chukua hili mkuu
 
Ana mtu mwengine anaishi nae..
Kutunza mahusiano yake mapya anaona bora ajiweke mbali nawe pamoja usiende ukavuja penzi la mtu anae mpenda..

......... Anampenda mwanae lkn wewe mwisho wako kwake kukufanyia kitu mbaya na utajuta, usimuwaze yuko vingine sasa......

Umeona wazazi wake wana kuona boya kwa sababu wanajua kila kitu juu yenu na nakushauri....
Nenda Ustawi wa jamii nina imani utapata ufumbuzi wa maana..
 
Unajuaje pengine mtoto sio wako anakuepushia na maumivu utakayopata mbeleni,
Ushauri
Achana nae kabisa usiwahi kumuulizia habari za mtoto tenaaa, kama ni wako atakutafuta
 
Habari za weekend wana JF

Nilioa mwaka 2016, na tukabahatika kupata mtoto 1 wa kiume mwaka 2017 ambae ana miaka 4 kwa sasa na sehemu ya makazi yetu ni hapa Mbeya. Mapema 2020 mke wangu alianza kubadilika sana baada ya yeye kupata biashara nzuri ukilinganisha na ile aliyokuwa anafanya mwanzo.

Katika mabadiliko yake, alihitaji na yeye kwenda kuishi maisha ya peke ake. Nilitafuta suluhu sana za kuweka ndoa sawa ila hakukuwa na mafanikio na hatimae mwezi wa 6 mwaka huo 2020 aliondoka na kwenda kuanzisha maisha yake pamoja na mtoto.

Wakat anaondoka hakusema anapoenda kukaa na mtoto na mpaka sasa sipajui anapokaa na mtoto japo yupo Mbeya hapa hapa. Hayuko tayari kunambia anapokaa mbali na kuhitaji kupajua kwa ajili ya kupata access ya kumuona mtoto wangu. Kila nikiomba aniletee au nifate mtoto nikae nae hata weekend analeta sababu na anaweza kukuahidi kumleta ila ikifika muda analeta sababu na hutomuona tena.

Mtoto akiumwa siambiwi mapema, ila nakuja kuambiwa anapokuwa amelazwa hospital na ndo hapo namuona mwanangu. Tangu aondoke kwangu, mtoto amelazwa hospital mara 3 na mara zote hizo nakuja kuambiwa kashalazwa, naenda kumuona na kumhudumia mpaka anaruhusiwa, akisharuhusiwa tu ndo humuoni tena. Nimeshajaribu kuongea nae juu ya umuhimu wa sisi kumpa malezi ya wazazi wote hata kama hatuishi na mtoto pamoja, kumpa mtoto nafasi ya kuwa ananiona au ananitembelea lakini hakuna matokeo chanya. Cha kusikitisha, mtoto anamruhusu kuwatembelea marafiki zake tena umbali mrefu na hata kwa ndugu zake mtoto anaenda hata kukaa baadhi ya siku ila siyo kumruhusu kuja kwangu au mm kumtembelea mtoto.

Sasa kama mwanaume mwenye hisia na moyo usio wa chuma na mwenye maumivu, nimechoka na haya maisha ya kuishi na mtoto wangu kwa kumuona kila anapolazwa hospital. Nahitaji kufanya maamuzi magumu.

Akilini mwangu kwa sasa nna mawazo mawili ambayo nahitaji mojawapo kufanyia kazi, moja ni kumsusia mtoto kabisa abaki nae milele au niende ngazi za sheria ambazo wataweza kunisaidia hili swala kwa kuzingatia sheria ya malezi ya mtoto hasa pale wazazi wanapotengana.

Naomba mawazo yenu ndugu zangu wenye uzoefu na changamoto hizi angalau nijue naamua kwenda mbele na wazo gani hapo.

Nitapitia ushauri wenu kwa ajili ya msaada.

Kama una hakika mtoto ni wako VUMILIA tu kipindi hiki atakuja tuu... Ni haki yako kumuona mwanao kama anakukataza sheria zipo nenda ustawi wa jamii ukaripoti
 
Yote hayo ya nini piga kimya uendelee na mishe zako mzee akikupa taarifa za mtoto kuumwa mwambie malete kwako ndio utahudumia kwanini ujichoshe na mtu asiejari.

Achana nae siku akiiona umhimu wako atakutafuta asipoona basi mtoto akikua atakutafuta.

Mimi yupo alinifanyia hivyo na kuni broke juu nilikaa kimya sikumtafuta yalivyo mshinda huko akaja mbio kuomba msamaha tulee mtoto sasa hivi nikimwambie amlete mwanangu hata usiku saa nane atamleta.
 
Yote hayo ya nini piga kimya uendelee na mishe zako mzee akikupa taarifa za mtoto kuumwa mwambie malete kwako ndio utahudumia kwanini ujichoshe na mtu asiejari.

Achana nae siku akiiona umhimu wako atakutafuta asipoona basi mtoto akikua atakutafuta.

Mimi yupo alinifanyia hivyo na kuni broke juu nilikaa kimya sikumtafuta yalivyo mshinda huko akaja mbio kuomba msamaha tulee mtoto sasa hivi nikimwambie amlete mwanangu hata usiku saa nane atamleta.
Shukrani mzee na nmekuelewa kwa huu ushauri wako
 
Mkuu,Mpe mimba nyingine.Or Else Get another woman and she will stop bothering you.All in All.Mimi naona huyo demu anakuona boya so we endelea nae taratibu ila mpotezee kinamna maana atakuchosha akili for no reason.
 
Back
Top Bottom