DAVID PALMER
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 285
- 1,448
1. Baada ya kupata mtoto Hana interest na sex kabisa. Hii ni tofauti na kipindi cha uchumba.. kama niliomba mzigo mara kumi, basi nimepewa mbili. Siku akiomba yeye sijawah kataa. Na anapoomba yy ni sababu anajistukia kuwa hajanipa siku nyingi. Na nikiomba mara kadhaa sijapewa huwa nasusa siombi. So ataona aibu ndo utaona ananiambia.
2. Akinipa basi muda wa romance mimi ndo nifanye kila kitu. Hatoi ushirikiano kabisa. Haikua hivi kwenye uchumba. Hanishiki wala hanigusi. Yeye atajitanua nichezee navotaka ila sio yeye kuhangaika na mimi. Nikiingiza angalau anajitikisa as anakata. Ila kwenye romance sahau.
3. Hataki mchana so nna muda mrefu sijamuona. Labda awe anabadilisha nguo mchana.
4. Hadi nmesahau mara ya mwisho lini me kupewa ile soon baada ya kulala. Mara zote nikipewa ni usiku wa manane au asubuh ile morning glory. Lakini ile eti tumekula twende tukalale, miaka imepita. Nikiomba naambiwa aah tulale kwanza ntakuamsha usiku. Sasa hii inanikera sababu me ukiniamsha usingiz mzito kuja tena. Usingiza ntapata tena alfajiri. Afu saa 12 inabidi nitoke niende mzigoni. Nmemueleza sana hii haelewi.
4. Hataki BJ kabisa lakini zaman ilikua fresh. Na mimi napenda saana BJ.
5. Nshaongea nae sana, ila anakuelewa wiki 2. Baada ya hapo anarudi kule kule.
6. Kuna tabia fulan huwa ananikera saana. Defence mechanism. Anajua huyu jamaa sahivi atanisumbua kutaka mzigo. So anaweka mazingira kujidefend. Atakaa sebulen wee anajifanya ana watch kumbe anazuga ulale, au akija kulala analala mbali na wewe anageuka upande ambao huwe fanya kitu.
Sasa wakuu ni mimi nacomplicate mambo, au haya ni mambo ya kawaida hata kwa nyie wezangu. Matokeo ya hii tabia yake ni nashindwa kutulia na ndoa. Nnmefunga ndoa 2016
2. Akinipa basi muda wa romance mimi ndo nifanye kila kitu. Hatoi ushirikiano kabisa. Haikua hivi kwenye uchumba. Hanishiki wala hanigusi. Yeye atajitanua nichezee navotaka ila sio yeye kuhangaika na mimi. Nikiingiza angalau anajitikisa as anakata. Ila kwenye romance sahau.
3. Hataki mchana so nna muda mrefu sijamuona. Labda awe anabadilisha nguo mchana.
4. Hadi nmesahau mara ya mwisho lini me kupewa ile soon baada ya kulala. Mara zote nikipewa ni usiku wa manane au asubuh ile morning glory. Lakini ile eti tumekula twende tukalale, miaka imepita. Nikiomba naambiwa aah tulale kwanza ntakuamsha usiku. Sasa hii inanikera sababu me ukiniamsha usingiz mzito kuja tena. Usingiza ntapata tena alfajiri. Afu saa 12 inabidi nitoke niende mzigoni. Nmemueleza sana hii haelewi.
4. Hataki BJ kabisa lakini zaman ilikua fresh. Na mimi napenda saana BJ.
5. Nshaongea nae sana, ila anakuelewa wiki 2. Baada ya hapo anarudi kule kule.
6. Kuna tabia fulan huwa ananikera saana. Defence mechanism. Anajua huyu jamaa sahivi atanisumbua kutaka mzigo. So anaweka mazingira kujidefend. Atakaa sebulen wee anajifanya ana watch kumbe anazuga ulale, au akija kulala analala mbali na wewe anageuka upande ambao huwe fanya kitu.
Sasa wakuu ni mimi nacomplicate mambo, au haya ni mambo ya kawaida hata kwa nyie wezangu. Matokeo ya hii tabia yake ni nashindwa kutulia na ndoa. Nnmefunga ndoa 2016