Naomba ushauri kuhusu mahusiano yangu

Naomba ushauri kuhusu mahusiano yangu

Acha kumdanganya mwenzako...mwingine atampata wapi?

Wanawake all most wote wana maigizo, na wengi kama sio wote wanafanana tabia huwa zinatofautiana tu size ya upana na urefu
Mbona ww inakuuma sana mtu akitoa mawazo yake sion haja ya kushambulia wengine kila mtu anatoa mawazo yake
 
Umeshampiga tayari umelipa kisasi hivyo sameheaneni tu. Ungekua hujampiga na kupokonya simu yake hapo ningekushauri vyema. Ila kwa sasa nyote mna makosa hivyo sameheaneni
Kumpiga si kulipa kisasi mkuu, kumpiga n kuonesha tu kuwa umekasirishwa na kile umetendewa. Kusalitiwa hakuwezi kufananishwa na kipigo maana , kipigo n maumivu ya mwili na kusalitiwa n maumivu ya nafsi (moyo) na saikolojia
 
Mbona ww inakuuma sana mtu akitoa mawazo yake sion haja ya kushambulia wengine kila mtu anatoa mawazo yake
Wapi imeniuma mkuu?

Na mimi nimepinga wazo lake kama alivyopinga la mwenzake

Wote tunatoa maoni...this 's free forum dude
 
Hahahaaaa daaah kinyonge sana. Ila unaonaje ukigundua kuwa si mtoto wako
Haitakiwi ufuatilie hiyo issue,kitanda huwa hakizai haramu,kuna dhana ya uhalali wa mtoto akizaliwa ndani ya ndoa ni halali.Mtu akidai siyo halali inabidi athibitishe vinginevyo.Mtoto unalea tu haina taabu.
 
Haitakiwi ufuatilie hiyo issue,kitanda huwa hakizai haramu,kuna dhana ya uhalali wa mtoto akizaliwa ndani ya ndoa ni halali.Mtu akidai siyo halali inabidi athibitishe vinginevyo.Mtoto unalea tu haina taabu.
Hahahaa! daah mkuu sina jibu ila nadhani unasema na haijakukuta, ndio maana unaona matukio mengi ya mauaji yanatokana na mahusiano (wivu wa mapenzi) ikihusisha kugundua kulea mtoto ambaye si wako huku ukiwa umedanganywa kuwa n mtoto wako) aiseee n nomaa mkuu
 
Haitakiwi ufuatilie hiyo issue,kitanda huwa hakizai haramu,kuna dhana ya uhalali wa mtoto akizaliwa ndani ya ndoa ni halali.Mtu akidai siyo halali inabidi athibitishe vinginevyo.Mtoto unalea tu haina taabu.
Bro, kauli ya kitanda hakizai haramu , hiyo kauli inatakiwa ifutwe inapotosha jamii. Mtu unaenda kushughulikiwa na mtu ambaye hajakuoa (hawala) bila kinga na huku unafahamu kabisa upo ndani ya ndoa (mahusiano) na upo kwenye Siku za hatari za kubeba mimba harafu mtu anakwambia kitanda hakizai haramu daah mkuu sio poa
 
Mwanamke malaya ni mbaya mno,kaa chini umkanye akikiri kuwa alifanya hayo msamehe ,ila akiendelea kukataa mpe mda na uendelee kumchunguza,ila tabia za kimalaya huwa hazikomi,kama ana tabia hiyo utamnasa tu tena .ila navyohisi atakuwa na tabia za kichepukaji hata akiolewa,na ndio tabia za wanawake walio wengi.
 
Mbona vitu vya kawaida tu hvyo
Kulalwa nje ya mahusiano ni kitu cha kawaida??kuna magonjwa mengi kwa sasa ,tusileteane matatizo ndani ya mahusiano,sio kila mwanamke anafaa kuwa mke,ww unae ona ni kawaida utapata wa type yako wanao ona ni kawaida pia kuchepuka.
 
Haya mambo ndo yanafanya napoteza interest sana sku hz na madem
 
Back
Top Bottom