Naomba ushauri kuhusu mahusiano yangu

Naomba ushauri kuhusu mahusiano yangu

JIONGEZE BRO

Mimi nilijua ulionyeshwa picha za kuthibitsha mahusiano au msg

Fanya uchunguzi wako ujiridhishe pasishaka Usijekuta mtu kakataliwa sababu yako sasa anaharibu mkose wote

Pole pia kwa hako kastress
Shukran mkuu
 
kila binadamu ana makosa, kosa la kuto kuwa mwaminifu kwenye urafiki wenu ni ishara mbaya. Shukuru Mungu wako umejua mapema yangekukuta mabaya zaidi. Chukua hizo fedha katoe sadaka
Sawa broo
 
Habari wanaJF,

Naombeni ushauri nipo na mpenz wangu tumedumu kwenye mahusiano kwa miaka miwili na miezi kadhaa mpaka leo hii

Shida iko hapa tulikuwa tunaaminiana sana mimi na mpenzi wangu kumbe yeye sio mwaminifu kwangu nilihisi anatembea na mtu fulani nikamuulza
Tutolee ujinga wako hapa, nami akushauri sasa..nenda kaishi kwenye hiyo nyumba uliyompangia
 
Siku nyingine fanya hvi ukihisi mwanamke anachepuka.
Nenda kwa upole usku akipika kula ukimaliza nenda nae bafuni muoge Anza kula mbususu huko Hadi kitandani ukimaliza Anza kumuuliza kuhusu uchepukaji wake mbane Kama unamlamba makofi Ni sawa mfanyie roho mbaya kulingana na moyo wako unavokutuma ukimaliza sepa Kama ulikua kwake kama Ni kwako inabid asepe yeye.
Usimuache mwanamke bila kumla Cha mwisho mwisho.
 
Yaani akienda polisi mkuu nakuhurumia. Muwahu muyajenge mumalizane kila mru aemse njia yake. Una bahati sana ni mpole huyo.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Ungemrudishia line yake na mambo ya pesa achana nayo.Kaa ,muombe msamaha akusamehe yaishe.Kwanini ulikuwa unampeleleza? Wewe unataka umgonge peke yako ulimuumba? Mambo ya kuchunguzana yalishapitwa na wakati.Haina shombo hiyo kitu.
 
Fanya uchunguzi..utakapopata jibu fanya maamuzi.
 
Habari wanaJF,

Naombeni ushauri nipo na mpenzi wangu tumedumu kwenye mahusiano kwa miaka miwili na miezi kadhaa mpaka leo hii

Shida iko hapa tulikuwa tunaaminiana sana mimi na mpenzi wangu kumbe yeye sio mwaminifu kwangu nilihisi anatembea na mtu fulani nikamuulza alibisha mimi nikaendelea na uchunguzi wangu mpaka nikaamua kumpangia chumba sehemu ili taaratibu maandalizi yaendelee ili baadaye nimuoe, na hakuna kitu amewahi kosa kwangu kula, kuvaa, kila kitu kama kumpelekea moto nimepeleka saana.

Kisa kinaanzia hapa siku ya jana huyo jamaaa niliyekuwa nahisi kuwa anatembea naye alinifuata kanieleza kila kitu... akanionesha na picha walizopiga pamoja.

Akanipa ushauri kuwa huyu mwanamke ukija kuoa umepotea maana ana mambo ya ajabu sana na mimi nishamuacha baada ya kuona hasomeki.

Mimi nilipatwa na hasira sana jana usiku nikamfuata anakoishi nikamuuliza lakini alibisha tena kuwa hajawahi kuwa na mahusiano na huyo mwanaume.

Nikatoa ushahidi wa picha akanambia alimuomba tu wapige picha lakini hakuna mahusinao baina yao na picha wamekaa mikao mibaya sana.

Basi nikamshushia kipigo cha mbwa mwizi halafu nikampola laini aliyokuwa anahifadhia hela zake.

Kwa sasa kinachoendelea anaomba nimpe laini yake atoe hela halafu aondoke na mimi nataka nitoe hela yangu ambayo nilitoa kodi pale maana yeye ndio aliomba nimpangie nikalipa na kodi sasa hivi nataka nikatoe hela yangu zitakazobaki nimpe maana amesemea anataka kuondoka.

Naombeni ushauri maana hata wazazi wake wanajua kuwa nipo nae japo nilikuwa bado sijajitambulisha.
Wewe unataka umgonge pekee yako, hapo umefeli mkuu
 
Ungemrudishia line yake na mambo ya pesa achana nayo.Kaa ,muombe msamaa akusamehe yaishe.Kwanini ulikuwa unampeleleza? Wewe unataka umgonge peke yake ulimuumba? Mambo ya kuchunguzana yalishapitwa na wakati.Haina shombo hiyo kitu.
Unajuwa hatari ya mwanamke kuchepuka huku akiwa na mahusiano? Mfano amepata ujauzito unadhani atapewa nan?
 
Bro, mwanamke hata umkamate macho kwa macho bado hakubali na haijawahi kutokea mwanamke kukubali kirahisi, inshu ya msingi n kuangalia moyo wako kama unaweza kuvumilia kama huwezi piga chini angalia mwanamke ambaye utaweza kumvumilia. Binafsi naweza kumvumilia mwanamke yeyote yule isipokuwa mchawi, mwizi,Malaya na muongo hao kwangu siwezi wavumilia
 
Habari wanaJF,

Naombeni ushauri nipo na mpenzi wangu tumedumu kwenye mahusiano kwa miaka miwili na miezi kadhaa mpaka leo hii

Shida iko hapa tulikuwa tunaaminiana sana mimi na mpenzi wangu kumbe yeye sio mwaminifu kwangu nilihisi anatembea na mtu fulani nikamuulza alibisha mimi nikaendelea na uchunguzi wangu mpaka nikaamua kumpangia chumba sehemu ili taaratibu maandalizi yaendelee ili baadaye nimuoe, na hakuna kitu amewahi kosa kwangu kula, kuvaa, kila kitu kama kumpelekea moto nimepeleka saana.

Kisa kinaanzia hapa siku ya jana huyo jamaaa niliyekuwa nahisi kuwa anatembea naye alinifuata kanieleza kila kitu... akanionesha na picha walizopiga pamoja.

Akanipa ushauri kuwa huyu mwanamke ukija kuoa umepotea maana ana mambo ya ajabu sana na mimi nishamuacha baada ya kuona hasomeki.

Mimi nilipatwa na hasira sana jana usiku nikamfuata anakoishi nikamuuliza lakini alibisha tena kuwa hajawahi kuwa na mahusiano na huyo mwanaume.

Nikatoa ushahidi wa picha akanambia alimuomba tu wapige picha lakini hakuna mahusinao baina yao na picha wamekaa mikao mibaya sana.

Basi nikamshushia kipigo cha mbwa mwizi halafu nikampola laini aliyokuwa anahifadhia hela zake.

Kwa sasa kinachoendelea anaomba nimpe laini yake atoe hela halafu aondoke na mimi nataka nitoe hela yangu ambayo nilitoa kodi pale maana yeye ndio aliomba nimpangie nikalipa na kodi sasa hivi nataka nikatoe hela yangu zitakazobaki nimpe maana amesemea anataka kuondoka.

Naombeni ushauri maana hata wazazi wake wanajua kuwa nipo nae japo nilikuwa bado sijajitambulisha.
Unampamgiaje maraya huyo??Si umempangia kijichi mkuu,wahuni sio watu wazuri🙄
 
Acha uxengee we jamaa ...utampigaje demu ambae hujamuoa?

Huyo yuko freee kwa mwanaume yeyote anayevutiwa nae, eboo
 
Back
Top Bottom