sam green
Senior Member
- Feb 21, 2020
- 176
- 256
Habari wanaJF,
Naombeni ushauri nipo na mpenzi wangu tumedumu kwenye mahusiano kwa miaka miwili na miezi kadhaa mpaka leo hii
Shida iko hapa tulikuwa tunaaminiana sana mimi na mpenzi wangu kumbe yeye sio mwaminifu kwangu nilihisi anatembea na mtu fulani nikamuulza alibisha mimi nikaendelea na uchunguzi wangu mpaka nikaamua kumpangia chumba sehemu ili taaratibu maandalizi yaendelee ili baadaye nimuoe, na hakuna kitu amewahi kosa kwangu kula, kuvaa, kila kitu kama kumpelekea moto nimepeleka saana.
Kisa kinaanzia hapa siku ya jana huyo jamaaa niliyekuwa nahisi kuwa anatembea naye alinifuata kanieleza kila kitu... akanionesha na picha walizopiga pamoja.
Akanipa ushauri kuwa huyu mwanamke ukija kuoa umepotea maana ana mambo ya ajabu sana na mimi nishamuacha baada ya kuona hasomeki.
Mimi nilipatwa na hasira sana jana usiku nikamfuata anakoishi nikamuuliza lakini alibisha tena kuwa hajawahi kuwa na mahusiano na huyo mwanaume.
Nikatoa ushahidi wa picha akanambia alimuomba tu wapige picha lakini hakuna mahusinao baina yao na picha wamekaa mikao mibaya sana.
Basi nikamshushia kipigo cha mbwa mwizi halafu nikampola laini aliyokuwa anahifadhia hela zake.
Kwa sasa kinachoendelea anaomba nimpe laini yake atoe hela halafu aondoke na mimi nataka nitoe hela yangu ambayo nilitoa kodi pale maana yeye ndio aliomba nimpangie nikalipa na kodi sasa hivi nataka nikatoe hela yangu zitakazobaki nimpe maana amesemea anataka kuondoka.
Naombeni ushauri maana hata wazazi wake wanajua kuwa nipo nae japo nilikuwa bado sijajitambulisha.
Naombeni ushauri nipo na mpenzi wangu tumedumu kwenye mahusiano kwa miaka miwili na miezi kadhaa mpaka leo hii
Shida iko hapa tulikuwa tunaaminiana sana mimi na mpenzi wangu kumbe yeye sio mwaminifu kwangu nilihisi anatembea na mtu fulani nikamuulza alibisha mimi nikaendelea na uchunguzi wangu mpaka nikaamua kumpangia chumba sehemu ili taaratibu maandalizi yaendelee ili baadaye nimuoe, na hakuna kitu amewahi kosa kwangu kula, kuvaa, kila kitu kama kumpelekea moto nimepeleka saana.
Kisa kinaanzia hapa siku ya jana huyo jamaaa niliyekuwa nahisi kuwa anatembea naye alinifuata kanieleza kila kitu... akanionesha na picha walizopiga pamoja.
Akanipa ushauri kuwa huyu mwanamke ukija kuoa umepotea maana ana mambo ya ajabu sana na mimi nishamuacha baada ya kuona hasomeki.
Mimi nilipatwa na hasira sana jana usiku nikamfuata anakoishi nikamuuliza lakini alibisha tena kuwa hajawahi kuwa na mahusiano na huyo mwanaume.
Nikatoa ushahidi wa picha akanambia alimuomba tu wapige picha lakini hakuna mahusinao baina yao na picha wamekaa mikao mibaya sana.
Basi nikamshushia kipigo cha mbwa mwizi halafu nikampola laini aliyokuwa anahifadhia hela zake.
Kwa sasa kinachoendelea anaomba nimpe laini yake atoe hela halafu aondoke na mimi nataka nitoe hela yangu ambayo nilitoa kodi pale maana yeye ndio aliomba nimpangie nikalipa na kodi sasa hivi nataka nikatoe hela yangu zitakazobaki nimpe maana amesemea anataka kuondoka.
Naombeni ushauri maana hata wazazi wake wanajua kuwa nipo nae japo nilikuwa bado sijajitambulisha.