6WaS9
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 2,508
- 2,875
Huyo ni malaya na udangaji hawezi kuacha wewe umempangia nyumba na huduma nyingine unatoa. Kwa kifupi anakuoana wewe ni zoba ya haujitambuwi ndio maana anakucheat na kufanya umalaya waziwazi.
Na kqaakili zako mtu anakuonyesha hadi ushahidi kuwa anatembea nae lakini wewe bado unataka mtuhumiwa mwenyeqe ndio akiri ili iweje??
Hizo sign zote huzioni mzee au unataka mpaka usababishiwe matatizo kwa huyo mwanamke ndio akili ikukae sawa ??
Acha utoto bana!!!!!!
Hakuna faida yoyote utakayoambulia kwa kuendelea kuzini na huyo demu unayemuaona kma mke..
sanasana tegemea kuathirika kiuchumi na kiafya!!
Focus kwenye maendeleo yako binafsi kuwa bora zaido ya jana saka pesa.. jipende wewe kwanza ji value .. harafu uje ufungue uzi hapa utoe ushuhudi jinsi maduu wanavyoshoboka....
Vinginevyo itakuwa mtu wa kulia lia "mapenzi fake" na kuacha kufanya vitu vya msingi kwenye maisha yako !
Na kqaakili zako mtu anakuonyesha hadi ushahidi kuwa anatembea nae lakini wewe bado unataka mtuhumiwa mwenyeqe ndio akiri ili iweje??
Hizo sign zote huzioni mzee au unataka mpaka usababishiwe matatizo kwa huyo mwanamke ndio akili ikukae sawa ??
Acha utoto bana!!!!!!
Hakuna faida yoyote utakayoambulia kwa kuendelea kuzini na huyo demu unayemuaona kma mke..
sanasana tegemea kuathirika kiuchumi na kiafya!!
Focus kwenye maendeleo yako binafsi kuwa bora zaido ya jana saka pesa.. jipende wewe kwanza ji value .. harafu uje ufungue uzi hapa utoe ushuhudi jinsi maduu wanavyoshoboka....
Vinginevyo itakuwa mtu wa kulia lia "mapenzi fake" na kuacha kufanya vitu vya msingi kwenye maisha yako !